Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #41
Huo ndio uanaume mkuu hongera sanaWakuu ndoa tamu Sana Sana natamani kuongeza Mke, seriously maana Naona utamu umezidi. Nahitaji Sana Watoto pia.
[emoji38][emoji38]Dah! Huu ni msumari mwingine huu.
ππππWakuu ndoa tamu Sana Sana natamani kuongeza Mke, seriously maana Naona utamu umezidi. Nahitaji Sana Watoto pia.
Duuuuh imekuingia sana?Shoga baba yako aliyesingiziwa wewe
hahahahaha naukipenda sana kupiga miti, huwezi kuona umuhimu wa ndoa, maana utabanwa urudi nyumbani wakati unaappointment na kiumbe mmoja aliyenona.Vijana wangu mnapenda sana kuto mbana
Aje na makombora yake yte na hoja zake za kishoga shoga tumutoe ndukiAmiri jeshi mkuu dronedrake wa kataa ndoa ,kuna shambulio lenu huku[emoji1787][emoji1787].
Unajibu vipi mapigo na jeshi lako?
Hiyo sio sababuWanaume kukataa ndoa ndiyo unaandika maneno machafu kiasi hiki?
Mwanamke anatakiwa aolewe akiwa bikra
Wewe sio ridhikiShoga baba yako aliyesingiziwa wewe
Naunga mkono hojaHizi tuhuma ni nzito sana, mi nadhani sio mashoga ila wengi wao ni wenye hali ngumu ya kiuchumi, wanaogopa watampa nini mchuchu akiwa ndani.
Wengine ni wabahili
Asisahau na jeshi lake ngazi zote?π€£Aje na makombora yake yte na hoja zake za kishoga shoga tumutoe nduki
Ngono inapatikana kirahisi kwanini uhangaike kuoa?Hiyo sio sababu
Sijui umeandika nini? Ukinyimwa unyumba unaanza kuweka vikao.Vijana wa kileo wanapenda sana kuto mbana
Makahaba tangu mwanzo yalikuwepo na ndoa ziliendelea kuwepo. Kuachana pia kulikuwepo hata enzi za mababu zetu vilevile na uzinzi ulikiwepo na huwezi kuisha!Kinachokufanya kuoa ni kuijaza dunia na kupata starehe ya ngono, hii kwa mujibu wa wewe.
Siku hizi ngono inauzwa na kuzaa sio issue, wapo kibao mitaani wameoa na bado wanawatoto nje ya ndoa, tafsiri yake ni kwamba wazee wa kataa ndoa wanapiga mboo, wanazalisha lakini hawahitaji kuishi mke na mume.
Point yake imekaa [emoji304][emoji304] sanaKwa hiyo ule mstari wa zaeni mkaongezeke hauna maana siyo.Au kwa nini Mungu alitofautisha jinsia?
Sawa Mimi shoga. Mkuu turudi kwenye madaUsikute wewe ndio shoga sasa
Afu uko mstari wa mbele kuonge
Mala nyingi mtu huwa kulingana na mawazo yake!!
Siungani nao hata chembe
Ila pia sipingani nao hata chembe
Kwakua kila kitu kina sababu zake
Na ukweli usiopingika ni kua mambo yameharibika sana
Ladies + gentlemen wote wamesahau wajibu wao kwenye ndoa ni nini
Mwanaume hataki kuhudumia familia yake KIKAMILIFU
Mwanamke nae vilevile
Mwisho wa siku ni mapalangano yasio na mwisho
Na kwa bahati mbaya nowadays feminists wameshikilia kisahani cha dj
Wanawayumbisha wanawake kushoto kulia
Juu kushoto
Utaishi vipi na mwanamke ambae hataki kukusikiliza? Wote wawili ndani ni + kwa +
Mtaishi vipi
Mkizinguana mali zote mnagawana
Nani anataka?
Ndoa ni kitu chema
Ntaowa tu
Ilamsipende kuona km mawazo yenu ni sahihi kuzidi wengine kwakua hawakwnda utakavyo
Wanasababu zao ,hawakusema na kuamua kama kuku asie na kichwa.
Hujakatazwa Wala hujaanza wewe mkuu uzinzi ulikiwepo tangu mwanzo wewe sio mwanzilishi au wa mwisho utauacha unaendelea tu![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kama dakika 10 nimetoka kulala na mke wa mtu.
Tena amehaidi atanizalia mtoto