Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kuna vitu vinachekesha sana yaan wanaume waliooa wanawalaumu ambao hawajaoaš¤£wanaotakiwa kuolewa wamekaa kimya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa nawashangaa sana , wapo kama wana msongo wa mawazo , ukiwasikia huwa mpaka wanatukana kwa hasira kabisa , huwa hawana hoja zaidi ya matusi na kuita watu mashoga , alafu unakuta mtu kaoa ila yupo nyumba ya kupanga chumba kimoja na kijiko cha gesi kanajifanya kanajua kuhudumia mke ,mchicha wa 500 na vijisamaki uchwara, utawasikia wanaokataa ndoa wanakwepa majukumu ,ukiwauliza wana majukumu gani ambayo wanahisi mimi siyaweza wanaingia mitini[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Kuna vitu vinachekesha sana yaan wanaume waliooa wanawalaumu ambao hawajaoa[emoji1787]wanaotakiwa kuolewa wamekaa kimya.
Haya majamaa huwa nayaona hayana hoja za msingi.Huwa nawashangaa sana , wapo kama wana msongo wa mawazo , ukiwasikia huwa mpaka wanatukana kwa hasira kabisa , huwa hawana hoja zaidi ya matusi na kuita watu mashoga , alafu unakuta mtu kaoa ila yupo nyumba ya kupanga chumba kimoja na kijiko cha gesi kanajifanya kanajua kuhudumia mke ,mchicha wa 500 na vijisamaki uchwara, utawasikia wanaokataa ndoa wanakwepa majukumu ,ukiwauliza wana majukumu gani amabayo wanahisi mimi siyaweza wanaingia mitini[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Ukifa mkeo hatumuoi ilaaaaaaa šššUkisoma thread zao nyingi wanachohofia ni mwanamke yupo kimaslahi zaidi yaani yupo Kwa mwanaume Kwa ajiri ya Mali na sio kujenga familia!
Bika ndoa kizazi hakiendelei.Hapa duniani sio peponi lazima changamoto ziwepo tu lakini kuoana ni lazima Kwa ajiri ya kuendeleza kizazi.
Leo umewaweza kweli,eti mtu anajenga hoja fulani hakuoa,anasahau huyo huyo ametoka kwa baba na mama,ELIYA alitoka kwenye familia yenye mke na mume.Point yake imekaa [emoji304][emoji304] sana
Kwa hiyo utafautiana vipi na ng'ombe,nguruwe na mbwa kama wewe unazalisha hovyo tu.Halafu hakuna cha ndoa za zamani/kisasa, usaliti,nginjanginja za ndani zilikuwepo tangiapoNi wapi iliandikwa kwamba usipooa hutopata mtoto.
Kinachopingwa kwenye ndoa ni vitendo vinavyofanywa kwenye ndoa za sasa.
Unafikiri ndoa za mababu zetu zilikuwa kama ndoa hizi za sasa.
Ndoa zimejaa usaliti wa kila namna, maradhi ni nje nje tena anayekupa ni mtu uliyemuamini.
KATAA NDOA ZA KISASA.
NDOA ZA KISASA NI UTAPELI.
NB:KAMA IMANI YAKO NI KWAMBA TUNAOZIKATAA NDOA NI
Nikabidhi mkeo masaa mawili
- Vibamia
- Hatuna nguvu za kiume
- Shoga
Atakupa Habari................
Kuzalisha ovyo ndio kuzalisha vp ? Kwani wewe ulie zaa na mwanamke mmoja na mimi nilizaa na wanawake watatu tofauti kuna tofauti gani unayohisi wewe umeyapatia maisha zaid?Kwa hiyo utafautiana vipi na ng'ombe,nguruwe na mbwa kama wewe unazalisha hovyo tu.
Ng'ombe, Nguruwe na Mbwa watabaki kuwa wanyama na mimi nitabaki kuwa mwanadamu.Kwa hiyo utafautiana vipi na ng'ombe,nguruwe na mbwa kama wewe unazalisha hovyo tu.Halafu hakuna cha ndoa za zamani/kisasa, usaliti,nginjanginja za ndani zilikuwepo tangiapo
Hayana akili wanaona kuteseka ndo sifa sijui....hv mm nimesema Sina mpango wa kuoa kidume mwenzangu unateseka nn unapungukiwa nn? Nini ananizidi alie kwenye ndoa? kuhemeana na mtoto wa watu kila siku?Huwa nawashangaa sana , wapo kama wana msongo wa mawazo , ukiwasikia huwa mpaka wanatukana kwa hasira kabisa , huwa hawana hoja zaidi ya matusi na kuita watu mashoga , alafu unakuta mtu kaoa ila yupo nyumba ya kupanga chumba kimoja na kijiko cha gesi kanajifanya kanajua kuhudumia mke ,mchicha wa 500 na vijisamaki uchwara, utawasikia wanaokataa ndoa wanakwepa majukumu ,ukiwauliza wana majukumu gani amabayo wanahisi mimi siyaweza wanaingia mitini[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
kwani wanaongea uongo?Ukisoma thread zao nyingi wanachohofia ni mwanamke yupo kimaslahi zaidi yaani yupo Kwa mwanaume Kwa ajiri ya Mali na sio kujenga familia!
Hahahahahahasawa ukifa mke wangu asiolewe
Nasubiri wakuue tuone tutazika wapiKuoa ni wajibu ila kusema kweli ndoa ni za moto sana huu mwaka wangu wa 6 kwenye ndoa ila sijawahi kuifurahia, ila nitatoboa tu
Hakuna point ya maana waliyo nayoWana pointi sana ,SEMA kama hujaoa itabidi uwe Malaya wa kuruka ruka na Kila demu ,manake ugumu nao ni shida ,vinginevyo upige nyeto jambo ambalo pia ni taaabu.mimi Huwa nahisi Hawa ni mashoga