Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #121
Unaweza nambia kuwa mtoto aliyelelewa na wazazi wote2 analingana na aliyelelewa na na mzazi 1? Kama huna familia tulia hujui kitu weweKwamba malezi yanakua na tofauti gani ? Mbona tunaona vibaka wa mali za uma na banya Road kibao wametokea familia za baba na mama ?
Na unauhakika gani watoto wako mda wote wataishi na wewe na mke wako kwa pamoja mpaka watoke mikononi mwenu?
Mfano wa panya rodi hayo ni matokeo ya ugomvi ndani ya familia na mtoto mwenyew wengine ni watukutu tu Kuna mifano Mingi ya watu maarufu hapa Tz na kwingineko Watoto wao wametumbukia kwenye madawa ya kulevya nk
Mfano mmoja wapo fatilia maisha ya mtoto wa Obama yule binti mkubwa anaitwa Sasha Obama kama sijakosea.