Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #61
Vibaya mnoDuuuuh imekuingia sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibaya mnoDuuuuh imekuingia sana?
Hiyo sio sababu tuulize sisi wa kwenye ndoahahahahaha naukipenda sana kupiga miti, huwezi kuona umuhimu wa ndoa, maana utabanwa urudi nyumbani wakati unaappointment na kiumbe mmoja aliyenona.
Nawewe ni mtoto wa single mother?Ngono inapatikana kirahisi kwanini uhangaike kuoa?
Ukizalisha single mother 3, hapo watoto 3, unawachukua unakaa nao na unawawekea mfanyakazi wa ndani.
Uoe ili ugundue nini? Hapa nimetoka kulala na mke wa mtu, tena amehaidi kunizalia mtoto[emoji3][emoji3][emoji3]
Hayo wewe wasemaNawewe ni mtoto wa single mother?
Sawa mwenye akiri za kikubwaInaonekana kama bado una akili za kitoto toto hivi. No hard feelings
Ongeza mbona unachelewaWakuu ndoa tamu Sana Sana natamani kuongeza Mke, seriously maana Naona utamu umezidi. Nahitaji Sana Watoto pia.
Kama wewe unaona sawa kuzalisha single mother na kuchukua Watoto akulele beki3 mbona baba Yako hakufanya hivo?Hayo wewe wasema
Wewe hupendi?Vijana wangu mnapenda sana kuto mbana
Nataka nimpate yule ambaye Yuko tayari, ndoa sio Sawa na kununua matunda gengeniOngeza mbona unachelewa
Unajifanya mzee wa busara sana kumbe kenge tuuUsikute wewe ndio shoga sasa
Afu uko mstari wa mbele kuonge
Mala nyingi mtu huwa kulingana na mawazo yake!!
Siungani nao hata chembe
Ila pia sipingani nao hata chembe
Kwakua kila kitu kina sababu zake
Na ukweli usiopingika ni kua mambo yameharibika sana
Ladies + gentlemen wote wamesahau wajibu wao kwenye ndoa ni nini
Mwanaume hataki kuhudumia familia yake KIKAMILIFU
Mwanamke nae vilevile
Mwisho wa siku ni mapalangano yasio na mwisho
Na kwa bahati mbaya nowadays feminists wameshikilia kisahani cha dj
Wanawayumbisha wanawake kushoto kulia
Juu kushoto
Utaishi vipi na mwanamke ambae hataki kukusikiliza? Wote wawili ndani ni + kwa +
Mtaishi vipi
Mkizinguana mali zote mnagawana
Nani anataka?
Ndoa ni kitu chema
Ntaowa tu
Ilamsipende kuona km mawazo yenu ni sahihi kuzidi wengine kwakua hawakwnda utakavyo
Wanasababu zao ,hawakusema na kuamua kama kuku asie na kichwa.
Have a great day big boss🙏🏻Unajifanya mzee wa busara sana kumbe kenge tuu
Na wewe ni wale wale kataa ndoa pumbavu kabsaa pambana na hali yako chakubanga wewe
Sawa Mimi shoga. Mkuu turudi kwenye mada
Wanafata kanuni ya ndoa kila mmoja anatimiza wajibu wakeMimi ninadhani tuache ku deal na matokeo
Kwakua kukataa ndoa ni matokeo
Matokeo ya vitu vilivyo ndani ya ndoa
Tukumbushane kurudi kwenye tamaduni
Tukumbushane kurudi kwenye kila mmoja kutimiza wajibu
Yamkini ndoa yako ni nzuri
Ila ni nzuri kwakua wew na mkeo wote mnatimiza wajibu wenu kikamilifu
kutoa mbwa bandani haahaaVijana wangu mnapenda sana kuto mbana