Vijana wengi wa kikristo huchelewa kuoa ama hawaoi ni ushahidi tosha kwamba ndoa za kikristo ni gereza

Vijana wengi wa kikristo huchelewa kuoa ama hawaoi ni ushahidi tosha kwamba ndoa za kikristo ni gereza

Mimi ni mkristo na nina ndoa ya kikristo lakini kuna jambo moja nimeliona linanifikirisha saana kuhusu ndoa zetu hizi

Kuna dogo namfahamu ana miaka 27 lakini miaka miwili nyuma alifunga ndoa ya kikristo. Miezi kama sita nyuma ndoa yake imevunjika yaan ndoa ilidumu kwa mwaka mmoja na nusu tu. Saivi kila mtu ana maisha yake na dogo hana mpango wa kurudiana na huyo mwanamke na uzuri au ubaya ni kwamba katika ndoa hii haikupata mtoto

Kinacho nifikirisha na tunalojadili ni kua kwa mujibu wa dini ya kikristo huwezi kufunga ndoa nyingine na mtu mwingine kama uliefunga nae ndoa yupo hai au mpk afe ndo ufunge ndoa nyingine,

Na ukianza kuishi na mtu mwingine ambae hujafunga nae ndoa mnaonekana ni wazinzi na huwezi kupata huduma za kanisa maana unaishi nje ya utaratibu wa kidini

Je hawa vijana walioachana wanaweza kuishi bila kua na wenza wengine maisha yao yote kwa ndoa iliyodumu kwa muda wa mwaka mmoja na nusu pekee.

Nadhani ipo haja ya dini zetu hizi kurudi kulitazama upya

Hizi dini zilipaswa ziendane na tamaduni zetu za asili hapa ndipo tulipokosea
 
Wengi wanapochanganya ni hapo....upande ule imani yao(dini)ni part fulani tu ya maisha wakati upande mwingine dini(imani)ni part ya mifumo yote ya maisha.......uislam ni mfumo kamili unaweza kujiendesha bila hata ya sheria za serikali /eneo fulani ila upande wa pili mambo mengi hayawezi kwenda bila sheria za nchi /eneo husika
Sheria za nchi nyingi zimewekwa na wakristo wao ndio walikuwa wasomi toka enzi na wamesimika mfumo kristo karibia Dunia nzima , mpaka juzi tu karibia Dunia nzima imeshashangilia kalenda ya wakristo kuingia 2023 ya Yesu

Waislamu wanachofanya ni kujaribi kuingiza mfumo wao ndani ya mfumo wa wakristo ambao inamizizi mirefu tayari
 
Sheria za nchi nyingi zimewekwa na wakristo wao ndio walikuwa wasomi toka enzi na wamesimika mfumo kristo karibia Dunia nzima , mpaka juzi tu karibia Dunia nzima imeshashangilia kalenda ya wakristo kuingia 2023 ya Yesu

Waislamu wanachofanya ni kujaribi kuingiza mfumo wao ndani ya mfumo wa wakristo ambao inamizizi mirefu tayari
Fatilia historia vizuri ujue mambo mengi yalianzia wapi,,unachoongelea ni kitu latest kabisa kwa historia ya dunia bado ni mambo machanga sana,,,,maarifa na mifumo mingi unayotumia kwa sasa yalianzia afrika na mashariki ya kati,hao wazungu ndo walikua jamii ya mwisho kabisa kustaarabika duniani, sema kwa sasa upepo upo upande wao na dunia ndo huenda hivyo hata ikija miaka hata 200 huko mbeleni mfumo utakuta umebadilika,,,,,,mifumo mingi na elimu nyingi za sasa zilianzia misri(kemet)na hapo mashariki ya kati sumerians.........maarifa kwa wazungu yalipitia kwa wagiriki ambao wengi walijifunza misri na wagiriki wakapitisha maarifa yao kwa warumi ambao ndo wakatengeneza mifumo yao hadi sasa kupitia hizo imani na maarifa mengine waliyobeba kutoka huko, jiulize kwa nini unatumia namba za kiarabu zaidi kuliko kutumia namba za kirumi,,,,,,na maarifa mengi yamebebwa na jamii husika na wala si imani husika.....na ndio maana jamii fulani ikitawala watu fulani basi watafata taratibu za hao watu,,,mifumo ya ukristo kushamiri sasa hivi ni sababu jamii fulani ,wakati fulani ndo ilishika mpini na mambo yakija kubadilika akija mwingine nae pia atasema mifumo iliopita haikua na maana acha tufafe hii
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kwa vijana wengi wa kiislam ninkawaida kukuta ashaoa akiwa na 23 hadi 25.

Huu ni usbhahidi tosha kwamba ndoa za kikristo ni gereza ambalo wanaume huofia kuingia kwa kuwekewa vizuizi ambavyo kinadharia vinasomeka lakini kiuhalisia ni ngumu kutendeka.

watu wazima wakifunga ndoa kifo pekee ndio kiwatenganishe ama waanze kupoteza muda wao kuandaa mafumanizi ili wapeleke ushahidi huo kuvunja ndoa, nini kama sio ujinga hiki?
Kuna ndoa halali kabisa za kunaanza na mke mmoja, unaongeza wa pili, wa tatu na hata wanne baadaye udungadunga
 
,mifumo ya ukristo kushamiri sasa hivi ni sababu jamii fulani ,wakati fulani ndo ilishika mpini na mambo yakija kubadilika akija mwingine nae pia atasema mifumo iliopita haikua na maana acha tufafe hii
Ndio waislamu wakae kwa kutulia kwa sasa , shekh ponda alianzisha kampeni ya kupinga mfumo kristo kilicho mpata kinajulikana
 
Ndio waislamu wakae kwa kutulia kwa sasa , shekh ponda alianzisha kampeni ya kupinga mfumo kristo kilicho mpata kinajulikana
Mambo yanabadilika....................hasa upande wa mfumo wa elimu na ajira,,....maswala ya kujiajiri upande fulani ndo uko vizuri sana kuliko upande ule.................
 
Ndoa za kikristo ni kumuondolea uhuru wake wa asiili aliopewa mwanaume ndio maana michepuko imeanza kuonekana ni jambo la kawaida.

Ndoa za kiislamu mwanaume haondolewi uhuru wake inakuwa rahisi kuoa hata akiwa na miaka 22
Mara 22 huo sasa ni ujinga..!! Yaani wewe huyo huyo uowe mara 22 halafu ionekane hao uliowaacha ndo wana matatizo..!!!
 
Sheria za nchi nyingi zimewekwa na wakristo wao ndio walikuwa wasomi toka enzi na wamesimika mfumo kristo karibia Dunia nzima , mpaka juzi tu karibia Dunia nzima imeshashangilia kalenda ya wakristo kuingia 2023 ya Yesu

Waislamu wanachofanya ni kujaribi kuingiza mfumo wao ndani ya mfumo wa wakristo ambao inamizizi mirefu tayari
Bila shule hawataweza..!!!
 
Dhambi ni ipi!?

Toa ufafanuzi mkuu!

Wapi nimedanganya!

Kama nilichoandika ni uongo nambie wapi!!!

Hakuna katazo la mke zaidi ya mmoja katika Mwandiko!

Yesu alikataza kuachana hata akasema alichokiunganisha Mungu kisitenganishwe hakukataza mitara ambayo aliikuta KWA ndugu zake WAISRAEL waliorithi utamaduni huo KWA yakobo mwenye wake wanne Yaani Leah, Rachel,Bilha na zilpa!

Ndio maana paulo anakazia uaskofu na ushemasi unawafaa wenye mke mmoja!!

Sasa jiulize anasemaje mke mmoja kama hawapo wenye mitara waliopo KANISANI!!?
Au miongoni mwa waamini!?

Njoo na hoja!

Au ndio we ndio wale mlioamnishwa KUHOJI Mwandiko ni dhambi na asemalo mchungaji,askofu au padri ni lazima kifuatwe hata kama kina ukakasi!!!?
Sikiliza Bwana mdogo!. Unafanya makosa makubwa kuchanganya tamaduni na maamrisho ya Mungu.
Mbaya zaidi unalazimisha kufundisha kitu Usichokijua.
Ni sawa unikute mimi na Rozali yangu ninafundisha nama ya ku- practice talawee wakati hata sijui 😁😁.

Sikia:-
Mimi siongelei tamaduni mimi ninaongelea maamrisho na makatazo.
Msimamo wa biblia na Apocalypses zote Linapokuja swala la ndoa ni mke mmoja na Mme mmoja fullstop.

matendo/tamaduni ya Ibrah, Solomon ama Daud hazibatilishi chochote kuhusu agizo la ndoa lilitolewa na Mungu pale mwanzo.
Yesu alipoulizwa kuhusu ndoa hakumrejea Ibrahim, Solomon ama Daudi kama rejeo lake kuhusu Ndoa bali alirejea mwanzo kabisa pale Edeni akasema" Yeye aliyewaumba hao kutoka mwanzo(sio kutoka tamaduni za Ibrahim ama wana Waisrael) aliwafanya mwanamke na mwanaume". Kabla ya Ibrahim ama wana wa Israeli kujenga tamaduni zao yeye alikuwepo na ndiye mwasisi wa ilo agizo. Mungu didn't run out of options ikiwa alitaka adamu awe na wake wengi.
 
Kijana kaa chini ya mfumo kristo na utulie , huna uwezo wowote wa kutoa talaka
Hamna mfumo nyie makondoo manafuata wazungu wanapanga na kuamua muishi vip na bible mpya ipo tayar.
20230106_155823.jpg
 
Hamna mfumo nyie makondoo manafuata wazungu wanapanga na kuamua muishi vip na bible mpya ipo tayar.

Wewe kaa chini ya mfumo kristo tulia, mfumo wote wa uongozi umetolewa kwenye biblia

Jifanye kuupinga uone
 
Huu ni usbhahidi tosha kwamba ndoa za kikristo ni gereza ambalo wanaume huofia kuingia kwa kuwekewa vizuizi ambavyo kinadharia vinasomeka lakini kiuhalisia ni ngumu kutendeka.

watu wazima wakifunga ndoa kifo pekee ndio kiwatenganishe ama waanze kupoteza muda wao kuandaa mafumanizi ili wapeleke ushahidi huo kuvunja ndoa, nini kama sio ujinga hiki?

Umepata binti huko umemchunguza mwaka mzima na kuona ana tabia njema kumbe anakuchezea bongo mubi tu, umeingia kwenye ndoa ndio anayatoa makucha yake, ukitaka kumuacha dini yakuktaza wanakwambia umvumilie, huko mahakamani mlolongo mrefu na hata ukija tena kuoa dini yako haitafungisha hio ndoa.
 
Waislamu wajinga wajinga ndio wanaona kuoa wake wengi na kutoa toa talaka na kuoa oa wake wapya kila siku ni ufahari.

Waislamu wenye akili kina Kikwete, bakhressa, kina Mo dewji, kina Gsm, kina hussein mwinyi , kina Mafuruki ,awadh wana mke mmoja miaka yote


Pia heshimu imani za watu wengine maana dini unayoisifia ya kweli ina mambo ya ajabu kibao

Pia dini ya kweli inaruhusu vipi mtume wake mwenye miaka zaidi ya 50 kuoa mtoto wa miaka 6.

Hata wewe mwenyewe huwezi kubali binti yako wa miaka 6 aolewe tena na mzee wa miaka 50. Maana ni ubakaji..

Dini ya kweli inaruhusu ndoa ya masaa kazaa tu tena baada ya kumaliza kupigana miti mnalipana pesa kisha ndoa inaisha

Dini ya kweli inawafundisha muwaue watu wa dini zingine wasiomuamini mtumwe wenu.

Dini ya kweli inaruhusu utumwa. Na tena inafundisha mpaka kuwatombaaz watumwa wenu wa kike.

Dini ya kweli inaruhusu wanawake wapigwe na waume zao. Yaani wanawake ni kupigwa pigwa tu sababu hawana nguvu.
Wewe ni kafiri unayeongelea mambo usiyoyajua ..kwanza mtume hakuoa binti wa miaka sita..pila kinachozungumziwa ni ishu ya kuachana kama hakuna maelewano kwenye ndoa kwa upande wa dini ya kiislamu kama hakuna maelewano kwenye ndoa kuna ruhusa ya kuachana..sasa upande wa wakiristo umefunga ndoa baadae hakuna maelewano na mkewako amebadilika kitabu tofauti na mwanzo lakini bado hakuna ruhusa ya kuachana ..je huoni hili kama ni tatizo?
 
Waislamu wajinga wajinga ndio wanaona kuoa wake wengi na kutoa toa talaka na kuoa oa wake wapya kila siku ni ufahari.

Waislamu wenye akili kina Kikwete, bakhressa, kina Mo dewji, kina Gsm, kina hussein mwinyi , kina Mafuruki ,awadh wana mke mmoja miaka yote


Pia heshimu imani za watu wengine maana dini unayoisifia ya kweli ina mambo ya ajabu kibao

Pia dini ya kweli inaruhusu vipi mtume wake mwenye miaka zaidi ya 50 kuoa mtoto wa miaka 6.

Hata wewe mwenyewe huwezi kubali binti yako wa miaka 6 aolewe tena na mzee wa miaka 50. Maana ni ubakaji..

Dini ya kweli inaruhusu ndoa ya masaa kazaa tu tena baada ya kumaliza kupigana miti mnalipana pesa kisha ndoa inaisha

Dini ya kweli inawafundisha muwaue watu wa dini zingine wasiomuamini mtumwe wenu.

Dini ya kweli inaruhusu utumwa. Na tena inafundisha mpaka kuwatombaaz watumwa wenu wa kike.

Dini ya kweli inaruhusu wanawake wapigwe na waume zao. Yaani wanawake ni kupigwa pigwa tu sababu hawana nguvu.
Acha kuongea usivovijua mzee. Ving hapo umeviongea kwa kuvisikia t
 
Back
Top Bottom