Vijana wengi wa kiume wamejiajiri kwenye boda, wa kike wamejiajiri kwenye nini?

Vijana wengi wa kiume wamejiajiri kwenye boda, wa kike wamejiajiri kwenye nini?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Lema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.

Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.

Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
 
Wanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.

Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.

Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi mjini.
 
Huyo jamaa yenu daily anafikiria kutetea alichosema uone kama ni hamnazo.

Kingine tambua ajira nyingi zinakuwa rahisi katika maumbile ya mwanaume ninamaanisha kuna ajira common kwa wanaume na zipo pia za wasichana Mfano kuwa secretary halafu mwanaume ni kioja kabisa kikawaida haileti picha.

Bodaboda wa kike tena huko kwao wapo kibao aende shinyanga, mwanza, Tabora wanawake wanapiga mpaka za baiskeli huko kijijini hata kwao Kilimanjaro wapo wanapiga pesa kwa bodaboda wanawake.

Moja ya ujinga ni kutofikiria hao vijana wakikaa wakingonja kuajiriwa nan atawalisha si mtasema wavivu.

Yaani mtu daily anatetea kitu kimoja ni kwamba hajiamini na mifano haina maana kakalia kufananisha viongozi na wananchi.
 
Lema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.

Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.

Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Wamejiajiri kuwapiga vibomu hao boda
 
Back
Top Bottom