Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Wengi wanadanga, isipokuwa wachache sana tena sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndilo jibu alilokuwa analitaka 😅😅😅uzuri wateja wapo that's y biashara Ina shamiri miaka na dahariWengi wanadanga, isipokuwa wachache sana tena sana!!
Tafran juuHapo kwenye miguu ya kuku na utumbo, umesahau na ngozi 😅😅😅
Ni biashara pia Tena yenye wateja lukuki 😅😅Wanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.
Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.
Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi mjini.
Kuolewa ndio fursa ya kiuchumi,, unaakili mgando kweliTumeolewa na bodaboda [emoji2301]
Wateja mpo 😅😅😅Na wengi asilimia 90 ana mtoto au watoto na ni single mama.
Kama alivosema mdau mmoja hapo juu, wamejificha kwenye vibiashara vidogo vidogo...nowadays wadada mtaani ukimtaka anakuambia matatizo yake kwanza kabda ajatoa mzigo maanake usolve issue yake ndio mambo mengine.
Kwa kifupi wanawake wengi wanajiuza,wametofautiana style tu, sio mtaani,mavyuoni,maofisini n.k
Kila mwanamke ana bei yake, ukipanda hagomi.
🤣🤣Wameolewa na boda boda
Tupo wateja, Mimi kwa experience naona hawa wanatupitishia sijui samaki, mboga mboga n.k majumbani, wakiingia nyumba watu wanakaa single wanagongwa sana, Mimi kuna kadhaa uwa wananiambia hela yako tu.Wateja mpo 😅😅😅
Noma juu ya nomaTafran juu
Asante kwa kukiri,so msiwanange wanauza huduma 😅😅Tupo wateja, Mimi kwa experience naona hawa wanatupitishia sijui samaki, mboga mboga n.k majumbani, wakiingia nyumba watu wanakaa single wanagongwa sana, Mimi kuna kadhaa uwa wananiambia hela yako tu.
Eti wanasema wameolewa. Sasa hiyo ni ajira?Kwani wanawake wenyewe wanasemaje [emoji848]
PupuchiLema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.
Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.
Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Wanawake wengi wanafanya biashara lakin ukifatilia kwenye hzo biashara zao wanapata faida kidogo sana na wengine hawapati faida kabisa ila kila siku unakuta wamo,hilo shimo la asili linawabeba sanaWanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.
Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.
Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi mjini.
Itabidi kuchonga vizuri na bodaboda,,maana bodaboda na wake za watu ni kama nyimbo za burna boy na wavuta bangi.Eti wanasema wameolewa. Sasa hiyo ni ajira?