BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Usiwaite wanawake Malaya,sio wote wanafanya hivyoWanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.
Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.
Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi mjini.