Vijana wengi wa kiume wamejiajiri kwenye boda, wa kike wamejiajiri kwenye nini?

Vijana wengi wa kiume wamejiajiri kwenye boda, wa kike wamejiajiri kwenye nini?

😀 Sasa wewe kwa mfano Ebitoke na nana_dollz wakija kukuuzia product yupi utanunua kwake? 😀 Hebu just imagine tu anakuja kukuuzia kitu complex kama gari utanunua la nani?

Exactly.... Na wanapeana vichwa kwa kujiita MALKIA WA NGUVU hali ya kuwa hiyo biashara inampa hasara ila Namna/Nyenzo nyingine inakwamua hilo swala.

Mwanamke si wa kushindana nae kbs ktk maswala ya Biashara hata kiuhalisia Akija mwanamke mzuri anauza kitu mara nyingi utanunua kile kitu kiunafki (Hujakipenda sana), ila utachukua mawasiliano hapo then ujaribu bahat yako. So automatically hajauza product moja hapo na Wanawake wapo very strategic tujiulize why ktk MABANK wanatumia warembo kwenda kushawishi wateja wachukue MIKOPO?!! au hata ktk hizo kampuni za Ndege wanachukua warembo tuu ndio ujue Umalaya na Biashara kwa Mwanamke ni pipa na mfuniko...
 
Wanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.

Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.

Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi
Umeona mbali sanaaa
 
😀 Sasa wewe kwa mfano Ebitoke na nana_dollz wakija kukuuzia product yupi utanunua kwake? 😀 Hebu just imagine tu anakuja kukuuzia kitu complex kama gari utanunua la nani?
Ninunue kwa ebitoke nitapata faida gani mimi... hapo two in one nanunua gari na muuzaji
 
Hahahahahah bila shaka itakuwa ile biashara ya kuuza ubuyu wa babu Issa kwenye vipakti vya maua maua na vikopo vya glass vile 🤣🤣🤣 ukahisi zile buku buku ndio zinawalipa sio?
Sio hiyo, kuna nyingine wanafanya kumbe bidhaa ni two in one 😂
 
Mdada ana duka la mpesa, akija jamaa kuweka 1m anamuachia 10k kama tip. Wakija watano kwa siku unadhani utashindana nae?

Fungua na wewe tigopesa yako next to her uone kama utasavaiv.
 
Mdada ana duka la mpesa, akija jamaa kuweka 1m anamuachia 10k kama tip. Wakija watano kwa siku unadhani utashindana nae?

Fungua na wewe tigopesa yako next to her uone kama utasavaiv.
😃😃😃 Utabak kusema tu ni mshirikina.mkuu hapa arusha nilishuhudia mtu anacha tip 200k after kuweka hela mpesa.Uyo demu sasa ni black beuty ana bonge la tako.
 
😃😃😃 Utabak kusema tu ni mshirikina.mkuu hapa arusha nilishuhudia mtu anacha tip 200k after kuweka hela mpesa.Uyo demu sasa ni black beuty ana bonge la tako.
Sure mkuu, tena hizi tigopesa nk ziwewaweka wanawake wengi sana town na wana maisha safi tu. Wakati huo commission sio kubwa sana kwa sasa.

Ila kuna wanaume wanajua sana kuhonga. Nina washkaji yani kwa kweli kile ni kipaji.
 
Sure mkuu, tena hizi tigopesa nk ziwewaweka wanawake wengi sana town na wana maisha safi tu. Wakati huo commission sio kubwa sana kwa sasa.

Ila kuna wanaume wanajua sana kuhonga. Nina washkaji yani kwa kweli kile ni kipaji.
Acha mzee watu wanaonga tip 200k kuweka hela tu.Ndo utajua kwel watu wana hela..
 
Back
Top Bottom