Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Mapema sana...Hahahahahah mzee wa economies of scale huchezei fursa 😀,,, unarara mbere na toto la kinyaturu fwashtaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapema sana...Hahahahahah mzee wa economies of scale huchezei fursa 😀,,, unarara mbere na toto la kinyaturu fwashtaa.
Mkuu huyu nae ana dau lake,na eneo lake hachomoi.Sasa hao nao ni wanawake wa kujivunia mkuu? Hebu nioneshe mwanamke aina hii ambaye anauza mboga mboga aniletee nyumbani kwangu weekend. View attachment 2542818
Huo umalaya wanafanya na nani ? Maana wenye jinsia ya kiume asilimia kubwa kwa sasa ni mashoga.Wanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.
Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.
Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi mjini.
Saloon,mama ntilieLema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.
Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.
Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Kumbe hulijui hilo sheikh?Kumbe kuolewa ni bahati eenhe!?
Hii ipo clear, wadada wengi wanauza uchi, na wachache sana waliojiajiri ktk shughuli ndogondogoLema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.
Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.
Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Wakina dada wengi wanauza pafyumu na nguoLema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.
Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.
Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Vijana wa kike ni wateja wa boda boda wa kiume!Lema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.
Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.
Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Usiseme wengi. Tumia tu wote. Hata wa kwako anakuuzia. Usipotoa hela ya maana hupewi au unasusiwa!Hii ipo clear, wadada wengi wanauza uchi, na wachache sana waliojiajiri ktk shughuli ndogondogo
Wala hamna haja ya kujiuliza wanaenda wapi, pita baa jioni utaona mijibaba inaata mvinyo na vibinti vya 17-24yrs, unaweza jua ni vibinti vyao ila wanavikula.Lema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.
Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.
Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Hilo la kutembeza Nguo na Viatu ni kweli kabisaWanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.
Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.
Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi mjini.
Mitaa yenu wauza mboga na samaki wakali mkuu?Tupo wateja, Mimi kwa experience naona hawa wanatupitishia sijui samaki, mboga mboga n.k majumbani, wakiingia nyumba watu wanakaa single wanagongwa sana, Mimi kuna kadhaa uwa wananiambia hela yako tu.
Wanapita asub asub wanatukuta na hang over, huwa sizingatii sana uzuri muda huo.Mitaa yenu wauza mboga na samaki wakali mkuu?
Aisee upwiru huu 🤔
😂😂😂Wanapita asub asub wanatukuta na hang over, huwa sizingatii sana uzuri muda huo.
Kadhaa wapo poa , unamwelekeza kuandaa samaki wabichi kazi,anakuambia narudi nitapika kabisa niungishe...sasa unafanyaje?