Vijana wengi wa kiume wamejiajiri kwenye boda, wa kike wamejiajiri kwenye nini?

Vijana wengi wa kiume wamejiajiri kwenye boda, wa kike wamejiajiri kwenye nini?

Wanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.

Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.

Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi mjini.
Nilikuwa chuo nikajichanganya biashara flani inafanywa kienyeji na pisi kali. Nikaona potential ya kuifanya vyema kwa concentration, sikupata mafanikio kivile. Baadae ndio nikajua wala hata hawaitegemei kuishi ndio maana nashangaa wanaifanya kizembe, nikaacha kujipa stress.

Tangu hapo nikagundua kitu ambacho hakitajwi kwenye business research, fanya research ya kina nani wanafaa biashara flani, the same thing ambavyo mdada mfupi una kitambi huwezi kuwa air hostess ndivyo biashara nyingine zinakataa watu, mdada una mapunye unauzaje skin products.
Na ukitaka kuiiga biashara chunguza wanaoifanya hiyo wanaitegemea kuishi au kuna kitu kingine. Sio uko Mwenge unauza simu pekee unashindana na mwingine ana mishe nyinginezo uko. Kama mnafanana vyanzo vya mapato hapo tafuta unakwama wapi
 
Lema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.

Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.

Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Lema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.

Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.

Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Wanawake hawajawahi kosa kazi na kazi zao ni nyingi na ndogo ndogo ambazo Lema anatukana.
 
Yes, mko na hisa kwenye Telecommunications industry, particularly TIGO.

You guys are really into "the big thing".

[emoji28][emoji28][emoji28]
Also Airtel, Halotel, TTCL, Zantel, and Vodacom and other not mentioned you can add eniwei
 
Ulimwengu unaendeshwa kibepari na si ujamaa; chochote atakachoweza kufanya ambacho hakipingani na maadili au sheria, afanye tu; muhimu aweze kujikimu kwenye mahitaji yake.​
 
Wanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.

Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.

Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi mjini.
Mama wa nchi yumo jamii forum chief taratibu
 
Wanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.

Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.

Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi mjini.
Sikupingi mkuu
 
Ila watu wazima wanafanya biashara ila vijana wao wanaishi kwa puss zao hela ya kusuka kula n.k
 
Back
Top Bottom