Boda boda kila nikipita mara nyingi huniomba hata buku. Najiuliza hivi hawaingizi hawa?Njaa tu hakuna kitu
Zimekuwa nyingi kuzidi abiria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boda boda kila nikipita mara nyingi huniomba hata buku. Najiuliza hivi hawaingizi hawa?Njaa tu hakuna kitu
Tena ni rahisi kwao wanawake ni ngumu kumkuta mwanaume anajiuza kwa bongo.. Hayo ndo maumbile yao yeye anataka wafanane na wanaume 😂😂Hao wanawake kutwa kujiremba huo mda wa kumka 11 alfajiri na kulala saa 8 usiku wataweza kweliWengi wao wanafanya ile biashara ya kukodisha utamu
Boda boda kila nikipita mara nyingi huniomba hata buku. Najiuliza hivi hawaingizi hawa?
Zimekuwa nyingu kuzidi abiria
Ujasiriamali kama mama lishe...Lema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.
Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.
Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Agreed 90%Wanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.
Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.
Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi mjini.
Wapo kwenye vikoba na wachache wapo kwenye tigo pesa na miamala huko.Lema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.
Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.
Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Kaka, msamiati 'KUDANGA' haujaja kwa bahati mbaya.Lema ana hoja nzuri sana na nzito shida ni jinsi alivyowasilisha. Nami napenda kuizungumzia lakini katika namna tofauti.
Vijana wengi wa kiume wameonekana kujiajiri kwenye boda na betting. Bila kujali viwango vyao vya elimu wapo kwenye boda au betting.
Lakini Je, umejiuliza lile kundi kubwa la vijana wa kike, ambao naamini ni wengi kuliko wa kiume, wamejiajiri kwenye nini? Serikali na wapambe wake watupe ufafanuzi wa kitakwimu.
Yes, mko na hisa kwenye Telecommunications industry, particularly TIGO.Tuna hisa in big companies and Telecommunications industry
In such we are for big thing [emoji2]
Kabisa. Wengi wadangaji..Kaka, msamiati 'KUDANGA' haujaja kwa bahati mbaya.
Serikali iseme kama hii ni ajiraKaka, msamiati 'KUDANGA' haujaja kwa bahati mbaya.
Kabisa sio kwa investment hiyo.Naomba koneksheni 😅😅
Ndoa zingine majanga tuuKumbe kuolewa ni bahati eenhe!?
😃😃😃Kwa sasahivi wanawake ndo wamejiajiri huko..Serikali iseme kama hii ni ajira
Nakadori, umeolewa?Ndoa zingine majanga tuu
Wanawake asilimia kubwa wameficha UMALAYA ktk Biashara ndg ndg mfano kuuza Ubuyu, kuuza Nguo na Viatu au Pochi Online, kuuza vipodozi na mambo kama hayo.
Ukitaka kuangukia pua we Mwanaume fanya Biashara kama zao utaona nini kinakukuta.
Hawategemei Biashara kuendesha Maisha yao bali wengi wao wanategemea Umalaya kuishi mjini.
Dah nimechoka kuulizwa hili swaliNakadori.umeolewa?
Kuna siku nimepita pale Riverside mida ya saa 3 usiku..nimekuta bodaboda nyingi ajabu, wamezubaa tu pale. Nikajisemea hii biashara ishakuwa ngumu.Boda boda kila nikipita mara nyingi huniomba hata buku. Najiuliza hivi hawaingizi hawa?
Zimekuwa nyingu kuzidi abiria
Nyie si ndo mnawanunua huko telegram kwenye masoko yaoKabisa.Wengi wadangaji..
Si mpo kwenye ndoa, kila kitu mnapatiwa [emoji28]
Hapo kwenye miguu ya kuku na utumbo, umesahau na ngozi 😅😅😅Wali maharage mara moja
Miguu ya kuku ,utumbo
Na vijora kwisha habari yetu