Vijana wengi wa kiume wamejiajiri kwenye boda, wa kike wamejiajiri kwenye nini?

Usiwaite wanawake Malaya,sio wote wanafanya hivyo
 
Mbona wamejiajiri Kwenye Kazi nyingi tu,kuna Walioolewa(Mother houses),House girls,Bar maids,etc
 
Mbona mnamumunya manenoo!?.....

Wametegesha miili yao kwenye barbershops na massage parlors! Kama ajira iliyojirasimisha yenyewe ya kuuza kile kinachojiuza chenyewe!

Kupitia sumaku iliyoko machoni mwako (Me) baina ya mwili wake wenye kushawishi
 
Wamejiajiri kwenye Bongo movie na kutikisa makalio kwenye makundi ya Insta,telegram pia wamejiajiri kama ''public figure'' kwenye mitandao ya kijamii. Ukitaka kufahamu vizuri muulize Kajala na mwanae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…