Vijana wengi Watanzania asili ya Kiarabu na Wahindi wana Hela sana Dar, lakini hawatrendi na matukio kama wale wa Kitanzania na Afrika

Hahaah
 
Kwamba wao Hawana ma Rungu? Au marungu yao yana Kasoro?
 
Yapi? Hawapigi vizuri? Mungu hakupi vyote?

Kama wewe Mungu angekwambia uchague kati ya Kupiga rungu na pesa ungechagua kipi?
Acha tu niwe na pesa kupiga Ata dk moja fresh s ilmradi niridhike mimi
 
Ukizaliwa pesa unaikuta huwezi kuwa na kelele. Wapo hata weusi wengi wana pesa kuliko fikra ya kawaida lakini huwezi hata kuhisi ukikutana nao.

Kazi ipo kwa kina Kasongo waliotoka kwenye ufukara, wanataka kila mtu ajue kuwa sio mafukara tena. Wanaishi na inferiority complex kuwa labda asipojionyesha watu watahisi ni fukara bado.
 
Hata huko India uhindini na Saudi Arabia hakuna Kelele Pia?

Biashara za magendo hua hazihitaji Show Off.. Jua hilo kuanzia leo
 
Pesa haihitaji kelele, pesa haihitaji mbwembwe...ukiipata tulia, zuia miwasho ya pesa. Na hayo ndio maisha.
 
Mkuu umechefukwa hadi umesema wanajaza toiletee 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…