Wengi huwa wanafanya biashara huku wakiwaza ajira kwasababu biashara wanazofanga haziwalipi hasa ukizingatia wengi uwanja wa biashara hawana uzoefu nao na wana bagua biashara za kufanya.
Nataka niseme kwamba kwa kijana mwenye degree ili aachane na ndoto za ajira ni lazima awe kaonja utamu wa biashara in terms of profit.
Biashara ukija kuanza kulamba faida hata 150K kila siku ni kazi sana kuanza kuzikumbuka ajira.
Graduate anawaza ndoto kwamba kwenye ajira ipo siku atafikia mishahara ya milioni 4, na hiyo ni ndoto maana wapo wanaopata hio mishahara ila ni wachache. Ili aache kuwaza ajira inabidi azime ndoto za huo mshahara...
Nataka niseme kwamba kwa kijana mwenye degree ili aachane na ndoto za ajira ni lazima awe kaonja utamu wa biashara in terms of profit.
Biashara ukija kuanza kulamba faida hata 150K kila siku ni kazi sana kuanza kuzikumbuka ajira.
Graduate anawaza ndoto kwamba kwenye ajira ipo siku atafikia mishahara ya milioni 4, na hiyo ni ndoto maana wapo wanaopata hio mishahara ila ni wachache. Ili aache kuwaza ajira inabidi azime ndoto za huo mshahara...