Vijana wenzangu acheni kiwewe cha simu, iPhone 15 Pro Max ni simu ya kawaida sana, Kampuni ya Apple inauzia jina

Vijana wenzangu acheni kiwewe cha simu, iPhone 15 Pro Max ni simu ya kawaida sana, Kampuni ya Apple inauzia jina

Vijana wenzangu acheni kiwewe cha simu, iPhone 15 Pro Max ni simu ya kawaida sana, kampuni ya Apple inauzia jina
Punguzeni tamaa za dunia tumieni fedha mnazopata kufanya maendeleo

iPhone 15 Pro Max Original ni zaidi ya 4,000,000/= kwenye Apple Store. Je hamuoni fedha hizo mnaweza kufanyia mtaji?

Mimi namiliki hii simu tangu December 2023 nimegundua ni simu ya kawaida sana na ningelijua hilo 5,000,000/= ile ningeifanyia mtaji

Simu hii sikununua kwa starehe bali mimi ni Developer kwahiyo lazima niwe na simu ya iOs na Android kwaajili ya kufuatilia Products zangu
View attachment 3031496View attachment 3031498View attachment 3031499
Uliposema nimtaji, nikagundua tatizo ni pesa. Wengine hiyo 4m ni hela ya kawaida bro
 
Wee hiyo I4n sio yako, umeazima kwa mtu upige picha, ili hapa wasikupopoe kuwa tafuta hela ununue I4n, Lol

Kwani kila mtu anataka mtaji? Je km anao tayari? Unapangia watu matumizi kwan hela zako? Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vijana wenzangu acheni kiwewe cha simu, iPhone 15 Pro Max ni simu ya kawaida sana, kampuni ya Apple inauzia jina
Punguzeni tamaa za dunia tumieni fedha mnazopata kufanya maendeleo

iPhone 15 Pro Max Original ni zaidi ya 4,000,000/= kwenye Apple Store. Je hamuoni fedha hizo mnaweza kufanyia mtaji?

Mimi namiliki hii simu tangu December 2023 nimegundua ni simu ya kawaida sana na ningelijua hilo 5,000,000/= ile ningeifanyia mtaji

Simu hii sikununua kwa starehe bali mimi ni Developer kwahiyo lazima niwe na simu ya iOs na Android kwaajili ya kufuatilia Products zangu
View attachment 3031496View attachment 3031498View attachment 3031499
Uliposema nimtaji, nikagundua tatizo ni pesa. Wengine hiyo 4m ni hela ya kawaida bro
 
Hili ni kweli kabisa, ni wachache sana wanao kwenda in details of that. Wengi wananunua sababu flani kanunua
Shemeji yenu alini_force nimnunulie hilo dubwana nikamwambia wewe unataka kufanya nini ambacho ya kwako "samsung" Inashindwa Akanuna 😂😂😂
 
Vijana wenzangu acheni kiwewe cha simu, iPhone 15 Pro Max ni simu ya kawaida sana, kampuni ya Apple inauzia jina
Punguzeni tamaa za dunia tumieni fedha mnazopata kufanya maendeleo

iPhone 15 Pro Max Original ni zaidi ya 4,000,000/= kwenye Apple Store. Je hamuoni fedha hizo mnaweza kufanyia mtaji?

Mimi namiliki hii simu tangu December 2023 nimegundua ni simu ya kawaida sana na ningelijua hilo 5,000,000/= ile ningeifanyia mtaji

Simu hii sikununua kwa starehe bali mimi ni Developer kwahiyo lazima niwe na simu ya iOs na Android kwaajili ya kufuatilia Products zangu
View attachment 3031496View attachment 3031498View attachment 3031499
Naunga mkono hoja na wengi wanamiliki hizi za mtumba Mkuu from dubei
 
Wee hiyo I4n sio yako, umeazima kwa mtu upige picha, ili hapa wasikupopoe kuwa tafuta hela ununue I4n, Lol

Kwani kila mtu anataka mtaji? Je km anao tayari? Unapangia watu matumizi kwan hela zako? Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nidanganye watu ili inisaidie nini ndugu?
Ukweli ni kuwa ni simu ya kawaida sana wala isikuchanganye
Nafanya hivi kwasababu kuna baadhi ya watu wanafadhaika sana wakidhani kuwa ni simu ya tofauti sana duniani na nataka kuwambia kuwa wala isiwasumbue
IMG_1787.png

IMG_1786.png

IMG_1785.jpeg
 
Naunga mkono hoja na wengi wanamiliki hizi za mtumba Mkuu from dubei
Wanapata sana tabu kudhani ni simu ya tofauti sana duniani lakini ukweli ni ya kawaida sana na wala mtu usijekukosa usingizi wako bure na haka ka device
 
iPhone 15 Pro Max sio simu ya kawaida kama unavyosema. Inategemeana na unavyoitumia. Pengine matumizi yako ndio yanafanya uone ni simu ya kawaida sana ila kwa wanaotumia power ya hiyo simu to the maximum wanajua what is it capable of. Sina iPhone na sijawahi kutumia iPhone yoyote kwa sababu sio mpenzi wa iOS ila as much as I have a lot of informations kuhusu hizo simu kupitia sources mbalimbali, nasema hiyo simu ni flagship na kamwe haiwezi kuwa ya kawaida kiasi hicho
1. Tukianza na gsmarena. iPhone 15 Pro Max ipo kwenye list of best gaming phones. iOS ipo more optimized for gaming kuliko Android, unfortunately kama wewe sio heavy gamer unaweza usijue uwezo wa iPhone yako ulivyo licha ya kuitumia kila siku

2. GSMArena wameitaja iPhone 15 Pro Max kwenye list ya best flagship 2024. Kumbuka hii simu imetoka 2023 ila bado ina compete na flagship nyingi hadi za mwaka huu

3. GSMArena wanaitaja iPhone 15 Pro Max kwenye list ya simu zenye kamera bora 2024. Naendelea kukukumbusha kuwa simu hii imetoka mwaka 2023 ila bado inaendelea kufunika wapinzani mwaka 2024 Best camera phones 2024 - buyer’s guide

4. iPhone 15 Pro Max imetajwa kwenye list ya simu zinazotunza sana chaji na GSMArena. Phones with best battery life 2024 - buyer’s guide

5. Hawa ni phone reviewers wakubwa YouTube, na hii video kila mmoja anataja simu ambayo anaona inamfaa kuliko simu zote. Kumbuka hawa wamepata chance ya kutumia simu nyingi na kwenye reviews zao unaweza kuta wana point out weakness nyingi za Apple ila mwisho wa siku inabaki kuwa simu pendwa kwao. Kwenye hii video karibia asilimia 70 au 80 ya reviewer wanasema iPhone 15 Pro/ Pro Max ndio simu bora kwao

View: https://youtu.be/66GvVvQ8Oho?si=15uyc81Pxoif5ziU

6. iOS nayo ni selling point. Angalia hii video uone iPhone yako ina uwezo wa kufanya nini kupitia software. Wabongo wengi wanaonunua simu expensive hawajui hata simu zao zinaweza kufanya nini. Pia iOS 18 imeleta features nyingi ambazo zilikuwepo kwenye Android kabla. Sasahivi iPhone zina vitu vingi kama Android tu. Moving icons wherever you want, changing themes, screen mirroring, video out using USB Type C 3

View: https://youtu.be/RrzZ1bZEHlc?si=-khlXpjw9Rq7yKq7

7. Upande wa akili bandia angalia vitu ambavyo iPhone 15 Pro Max inaweza kufanya kupitia Apple Intelligence

8. Watu wanaonunua iPhone wana sababu nyingi za kuwavutia kufanya hivyo. Watu hufanya research kabla ya kununua simu. Achana na wabongo wengi wanaonunua iPhone kwa ajili ya fashion. 10 reasons you should buy an iPhone in 2024 | Digital Trends

9. Resale value???

10. Lastly sio kila sehemu iPhone 15 Pro Max inauzwa milioni 5

Hauwezi kuniambia simu yenye vyote hivyo ni simu ya kawaida, labda kama hujui how capable your phone is.
Sasa kama ulinunua iPhone kisa umemwona Zuchu anatumia, hiyo inakula kwako. Unapata simu ambayo selling point zake zote huzijui na kumbe sio hata zile unazozipa kipaumbele
 
Nimepoteza kabisa kiwewe na kuhangaika na brandy za simu kabisa...

Nahisi nimekuwa sasa.
 
iPhone 15 Pro Max sio simu ya kawaida kama unavyosema. Inategemeana na unavyoitumia. Pengine matumizi yako ndio yanafanya uone ni simu ya kawaida sana ila kwa wanaotumia power ya hiyo simu to the maximum wanajua what is it capable of. Sina iPhone na sijawahi kutumia iPhone yoyote kwa sababu sio mpenzi wa iOS ila as much as I have a lot of informations kuhusu hizo simu kupitia sources mbalimbali, nasema hiyo simu ni flagship na kamwe haiwezi kuwa ya kawaida kiasi hicho
1. Tukianza na gsmarena. iPhone 15 Pro Max ipo kwenye list of best gaming phones. iOS ipo more optimized for gaming kuliko Android, unfortunately kama wewe sio heavy gamer unaweza usijue uwezo wa iPhone yako ulivyo licha ya kuitumia kila siku

2. GSMArena wameitaja iPhone 15 Pro Max kwenye list ya best flagship 2024. Kumbuka hii simu imetoka 2023 ila bado ina compete na flagship nyingi hadi za mwaka huu

3. GSMArena wanaitaja iPhone 15 Pro Max kwenye list ya simu zenye kamera bora 2024. Naendelea kukukumbusha kuwa simu hii imetoka mwaka 2023 ila bado inaendelea kufunika wapinzani mwaka 2024 Best camera phones 2024 - buyer’s guide

4. iPhone 15 Pro Max imetajwa kwenye list ya simu zinazotunza sana chaji na GSMArena. Phones with best battery life 2024 - buyer’s guide

5. Hawa ni phone reviewers wakubwa YouTube, na hii video kila mmoja anataja simu ambayo anaona inamfaa kuliko simu zote. Kumbuka hawa wamepata chance ya kutumia simu nyingi na kwenye reviews zao unaweza kuta wana point out weakness nyingi za Apple ila mwisho wa siku inabaki kuwa simu pendwa kwao. Kwenye hii video karibia asilimia 70 au 80 ya reviewer wanasema iPhone 15 Pro/ Pro Max ndio simu bora kwao

View: https://youtu.be/66GvVvQ8Oho?si=15uyc81Pxoif5ziU

6. iOS nayo ni selling point. Angalia hii video uone iPhone yako ina uwezo wa kufanya nini kupitia software. Wabongo wengi wanaonunua simu expensive hawajui hata simu zao zinaweza kufanya nini. Pia iOS 18 imeleta features nyingi ambazo zilikuwepo kwenye Android kabla. Sasahivi iPhone zina vitu vingi kama Android tu. Moving icons wherever you want, changing themes, screen mirroring, video out using USB Type C 3

View: https://youtu.be/RrzZ1bZEHlc?si=-khlXpjw9Rq7yKq7

7. Upande wa akili bandia angalia vitu ambavyo iPhone 15 Pro Max inaweza kufanya kupitia Apple Intelligence

8. Watu wanaonunua iPhone wana sababu nyingi za kuwavutia kufanya hivyo. Watu hufanya research kabla ya kununua simu. Achana na wabongo wengi wanaonunua iPhone kwa ajili ya fashion. 10 reasons you should buy an iPhone in 2024 | Digital Trends

9. Resale value???

10. Lastly sio kila sehemu iPhone 15 Pro Max inauzwa milioni 5

Hauwezi kuniambia simu yenye vyote hivyo ni simu ya kawaida, labda kama hujui how capable your phone is.
Sasa kama ulinunua iPhone kisa umemwona Zuchu anatumia, hiyo inakula kwako. Unapata simu ambayo selling point zake zote huzijui na kumbe sio hata zile unazozipa kipaumbele

Ukishakaa nayo unakuja gundua ya kawaida ila ilinipa kichaa sana ukizingatia mm ni developer lazima niwe na iOS na Android
 
Vijana wenzangu acheni kiwewe cha simu, iPhone 15 Pro Max ni simu ya kawaida sana, kampuni ya Apple inauzia jina
Punguzeni tamaa za dunia tumieni fedha mnazopata kufanya maendeleo

iPhone 15 Pro Max Original ni zaidi ya 4,000,000/= kwenye Apple Store. Je hamuoni fedha hizo mnaweza kufanyia mtaji?

Mimi namiliki hii simu tangu December 2023 nimegundua ni simu ya kawaida sana na ningelijua hilo 5,000,000/= ile ningeifanyia mtaji

Simu hii sikununua kwa starehe bali mimi ni Developer kwahiyo lazima niwe na simu ya iOs na Android kwaajili ya kufuatilia Products zanguView attachment 3031608
View attachment 3031496View attachment 3031498View attachment 3031499
View attachment 3031611
Chai
 
Back
Top Bottom