Vijana wenzangu acheni kiwewe cha simu, iPhone 15 Pro Max ni simu ya kawaida sana, Kampuni ya Apple inauzia jina

Vijana wenzangu acheni kiwewe cha simu, iPhone 15 Pro Max ni simu ya kawaida sana, Kampuni ya Apple inauzia jina

Vijana wenzangu acheni kiwewe cha simu, iPhone 15 Pro Max ni simu ya kawaida sana, kampuni ya Apple inauzia jina
Punguzeni tamaa za dunia tumieni fedha mnazopata kufanya maendeleo

iPhone 15 Pro Max Original ni zaidi ya 4,000,000/= kwenye Apple Store. Je hamuoni fedha hizo mnaweza kufanyia mtaji?

Mimi namiliki hii simu tangu December 2023 nimegundua ni simu ya kawaida sana na ningelijua hilo 5,000,000/= ile ningeifanyia mtaji

Simu hii sikununua kwa starehe bali mimi ni Developer kwahiyo lazima niwe na simu ya iOs na Android kwaajili ya kufuatilia Products zanguView attachment 3031608
View attachment 3031496View attachment 3031498View attachment 3031499
View attachment 3031611
Nadhani taarifa ya msingi hapa ni kwamba ''unamiliki'' iphone 15 pro max.... zaid ya hapo ulichandika ni mbwembwe tu
 
Nadhani taarifa ya msingi hapa ni kwamba ''unamiliki'' iphone 15 pro max.... zaid ya hapo ulichandika ni mbwembwe tu
Dhumuni nikuwaeleza uhalisia wale waliokuwa wakipata kiwewe mpaka wakashindwa hata kulala wakidhani ni simu ya ajabu sana duniani wapunguze munkari ni simu ya kawaida
 
Mimi na Google Pixel mpaka kifo kitutenganishe
 
Dhumuni nikuwaeleza uhalisia wale waliokuwa wakipata kiwewe mpaka wakashindwa hata kulala wakidhani ni simu ya ajabu sana duniani wapunguze munkari ni simu ya kawaida
Hizo ni mambo za personal preference mkuu.
 
Hiyo ni kawaida sana, hata demu ukishamla utaona ni wa kawaida sana tu.
 
Back
Top Bottom