Vijana wenzangu acheni kiwewe cha simu, iPhone 15 Pro Max ni simu ya kawaida sana, Kampuni ya Apple inauzia jina

Nadhani taarifa ya msingi hapa ni kwamba ''unamiliki'' iphone 15 pro max.... zaid ya hapo ulichandika ni mbwembwe tu
 
Nadhani taarifa ya msingi hapa ni kwamba ''unamiliki'' iphone 15 pro max.... zaid ya hapo ulichandika ni mbwembwe tu
Dhumuni nikuwaeleza uhalisia wale waliokuwa wakipata kiwewe mpaka wakashindwa hata kulala wakidhani ni simu ya ajabu sana duniani wapunguze munkari ni simu ya kawaida
 
Mimi na Google Pixel mpaka kifo kitutenganishe
 
Dhumuni nikuwaeleza uhalisia wale waliokuwa wakipata kiwewe mpaka wakashindwa hata kulala wakidhani ni simu ya ajabu sana duniani wapunguze munkari ni simu ya kawaida
Hizo ni mambo za personal preference mkuu.
 
Hiyo ni kawaida sana, hata demu ukishamla utaona ni wa kawaida sana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…