Vijana Wenzangu, Connection za Maisha zipo Bar na Kwenye Viwanja!

Vijana Wenzangu, Connection za Maisha zipo Bar na Kwenye Viwanja!

Usikae tu home na vijiwe viisvyo maana.

Hata kama sio Mlevi, Toka nenda Kiwanja ambacho unajua wastaarabu wanakaa.

Huko ukutane na RC, DC, RAS, DAS, DED na Ma CEO mbalimbali. Hawa watu typically ni Walevi, ni wanywaji Pombe haswaa, nahuko Niko wanakutana kupeana michongo.

Sio lazima unywe, wewe nenda hakikisha una Hela mfukoni. Alafu ukifika Agiza Juisi hata ya Azam.

Chungulia chungulia mazingira, Muagizieee Mzee Fulani yule aliyekaa pale , au wazee Fulani walokaa pale , au Jamaa fulan wanaokunywa vitu mdogdogo wakionekana wanajadili!

Muagize tu Muhudumu, Kamuongezee yule Mzee pale, akikuuliza, mwambie Yule kijana palee!!

Hapo utajenga Uhusiano na watu bila kujua na ndo Connection iyo!

Nimewaibia Siri!
hii nchi Ina vijana wa hovyo wewe sio miongoni mwa vijana wa hovyo.. unaakili nyingi amini nakuambia!
 
point kabisa mkuu.mi ilinitokea asee kila jioni niko baa nakunywa soda,nilizoeana na madc,waku wamapolisi, unakuta baada ya kulewa anakwambia wekijana mbona unatinga hapa kila siku unamchongo gani? anasema umemaliza kidato changapi? unavyeti? ukijibu ndio anakutukana anakwambia kilevi kesho uje ofini kuna usaili wa kaz flani ole wako ukose nakufata huko huko kwenu,aisee baa kuna siri na michongo mingi asee sema raia hawajui, na namba za wakuu kibao sababu ya kwenda baa japo sio mnywaji.sha saidiwa sana sababu ya baa.saf sana mkuu kwa mada yako
 
Back
Top Bottom