Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu anataka apate mke wa hivyo ila dah noma mzee wife material wengi kutoa mbunye full time kipengele.Mimi wa hivi ndo tunaendana, muda wote ni mboo tu...iwe jikoni,sebuleni, chumbani,uani sio mchana, asubuhi,jioni wala usiku ...ni mboo tu
Mpaka wote muwe mnapenda hiyo haliKila mtu anataka apate mke wa hivyo ila dah noma mzee wife material wengi kutoa mbunye full time kipengele.
Unakuwa mgumu kuamin wapo watu Wana enjoy kwenye ndoa zao aseeHili ni parod la kike....
[emoji23][emoji23][emoji23]maake hapo kwanza nchekee[emoji849]Sawa mkuu ila nina bro ni Tiss na bado kabambikiwa mtoto unafanya mchezo nn[emoji28][emoji28][emoji28]
kaka nadhani ndoa yako ni changa. baada ya mwaka uje na mrejeshoWakuu Ndoa ni tamu, ndiyo ndoa ni tamu kwani kuna mtu anabisha kwenye hilo
Emu fikiria unaamshwa asubuhi upate cha asubuhi baada ya hapo unasindikizwa bafuni kuoga. Muda huo nguo zinapigwa pasi ukimaliza mke anakusaidia kujiandaa ukimaliza unakunywa chai yako safi. Dah baada ya hapo anakuaga kwa maneno matam na yenye kukutia moyo unapoenda kutafuta riziki.
Kila baada ya masaa 2 lazima ahakikishe hali yako huko, ukirudi unapokelewa vizuri na maneno ya pole na ahsante. Jaman hayo ni baadhi ya mazuri ya ndoa nawashangaa mnaogopa kuoa. Mwanamke anakupa ushauri mzuri na ukiufuata lazima tu ufanikiwe. Mke ndo anakuwa wa kwanza kuufariji pale unapokuwa na stress hakika tabasamu lake tu ni tiba ya mambo mengi kwangu.
Vijana wenzangu tusiogope kuoa tafuta yule unaempenda na yeye anakupenda hakika siku zote hutajutia kuoa.
Namalizia ndoa tamu, mke ni faraja ni chanzo cha mafanikio yako.
Usiogope kuoa
KATAA NDOAWale wakataa ndoa wakiona hii asee
🤣🤣🤣Weee endelea kufurahia honeymoon chief subiri shubiri aingie usije kutupa maneno yakutukatisha tamaa kila mtu ana okoto lake kapangiwaWakuu Ndoa ni tamu, ndiyo ndoa ni tamu kwani kuna mtu anabisha kwenye hilo
Emu fikiria unaamshwa asubuhi upate cha asubuhi baada ya hapo unasindikizwa bafuni kuoga. Muda huo nguo zinapigwa pasi ukimaliza mke anakusaidia kujiandaa ukimaliza unakunywa chai yako safi. Dah baada ya hapo anakuaga kwa maneno matam na yenye kukutia moyo unapoenda kutafuta riziki.
Kila baada ya masaa 2 lazima ahakikishe hali yako huko, ukirudi unapokelewa vizuri na maneno ya pole na ahsante. Jaman hayo ni baadhi ya mazuri ya ndoa nawashangaa mnaogopa kuoa. Mwanamke anakupa ushauri mzuri na ukiufuata lazima tu ufanikiwe. Mke ndo anakuwa wa kwanza kuufariji pale unapokuwa na stress hakika tabasamu lake tu ni tiba ya mambo mengi kwangu.
Vijana wenzangu tusiogope kuoa tafuta yule unaempenda na yeye anakupenda hakika siku zote hutajutia kuoa.
Namalizia ndoa tamu, mke ni faraja ni chanzo cha mafanikio yako.
Usiogope kuoa
NAKAZIAkuna mdau alisema
Nanukuu[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
EPUKA NDOA
NDOA NI UTAPELI
NDOA NI WIZI
NDOA NI UJAMBAZII[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]