Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Bonde la Baraka,
u r right.
u r right.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti pushup wanapiga kwenye godoro.
Hebu imba ule wa kuwananga police.
Ila wote ni wanajeshi ingawa wanatumikia majeshi tofauti
Kutoka sitoki mpaka nimalize depot X2Ile chenja naikubali sana.. ila Jwtz usiwafananishe na police mkuu.. lile bakabaka lione kama lilivyo.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Haaaa haaaa haaaa dah aiseEti pushup wanapiga kwenye godoro.
Hebu imba ule wa kuwananga police.
Ila wote ni wanajeshi ingawa wanatumikia majeshi tofauti
Walimu tuna hali ngumuIla kweli mwalimu ni mjinga kweli..maana ndiye anazalisha..raisi....mawaziri..madaktari..wanajeshi.. engineers malecture.nk...halafu yeye anadharaulika kimaslahi na kijamii mfano hakuna!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka hapo nyuma ya Ibiza kulikuwa na bar moja kali hiviiii. Bado ipo?Dah Ibiza.. My favorite guest... Niko hapa kwenye mishe ya prawns.. Nisipoondoka leo tukutane Ibiza jioni tafadhali
Jr[emoji769]
Ndio wote 10 wafe kwa mpigo? Hiyo inaweza ikawa sumu kwenye chakula walichokulaHuenda mafunzo yalikuwa makali sana wakashindwa kuhimili.
Au wana mazoea ya kununua vyakula eneo fulani na pengine kuna wauzaji wenye visasi nao waliamua kulipa kisasi kwa kuwalengeshea vyakula vyenye sumu maeneo hayo na baada ya kuwauzia hao wenye visasi wakasepa pasipo kuwauzia raia wengine ndiyo maana hakujaripotiwa vifo vya raia eneo hilo. Au kuna mmoja wao aliyechoka na kuhenyeka huko kambini aliamua kufanya hujuma kwa wenzake na kuwawekea sumu kwenye mess tins zao au gudulia la uji waliokunywa kabla ya kuanza route match.Inawezekana huko kwenye route match walikula matunda pori yenye sumu!
Una uhakika na unachokisema? Tafuta sheria iliyounda JKT kwanza usikurupuke.Jkt ni jeshi lililo kamilika kama majeshi mengine
Ukirudi ututayarishie taarifa hata ya kitaani (radio Mbao)Niko Mafia nikifika Msata ninaweza kupata updates
Jr[emoji769]
Umenikumbusha mbali sana..sasa ilikuwa ikipigwa hii chenja mida ya mkesha mtu ushavurugwa na mapenzi ya nyoka anaeimbisha anapiga kukatia hapa eh polisi tanzaniaaa..watu wanamind sana kwanini ututabirie tutaenda polisi? Watu walikuwa wanapenda useme bakabaka..[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app