Hukutakiwa kuwasubiri mpaka waje ulitakiwa wakati unaandika bandiko lako ungeelezea kama wakati wa Magufuli uliwahi kutoa wazo la kupinga huo mtindo au ulinyamaza ili kuepusha mjadala usio wa lazima. Kupania kuwasubiri waje inatoa ishara kwamba unauhakika kuwa wakati wa Magufuli hukulikemea hili so ni kama una "preempt " kadamnasi kabla hawajakuwahi 🤣🤣🤣.Oh, halafu nawasubiri wale mtaosema kwa nini hatukuhoji kipindi Magufuli anaendesha vikao vya CCM Ikulu….nawasubiri kwa hamu kubwa sana!
You couldn’t be more wrong !Hukutakiwa kuwasubiri mpaka waje ulitakiwa wakati unaandika bandiko lako ungeelezea kama wakati wa Magufuli uliwahi kutoa wazo la kupinga huo mtindo au ulinyamaza ili kuepusha mjadala usio wa lazima. Kupania kuwasubiri waje inatoa ishara kwamba unauhakika kuwa wakati wa Magufuli hukulikemea hili so ni kama una "preempt " kadamnasi kabla hawajakuwahi 🤣🤣🤣.
You can’t be serious 🤣🤣Ni bora ufunge bakuli lako maana nakujua kama nimekuzaa yaani
Wewe nyaningabu ulikua mnufaika wa utawala wa mwendazake
Wewe na wenzio 49 kutoka kanda ya ziwa kutoka kabila lenu mlipewaga favor na serikali ya mwendazake hadi ukaja nchini kwa kuchaguliwa katika mpango wa siri wa kuwachomeka wasukuma 50 katika sekta nyeti na wewe jamaa kituo chako kilikua ni ifakara bora afunge bakuli lako tu tunajua kila kitu najua mnapambana ili mumuangushe mama samia ili mpachike mtu wa kabila lenu
Hii ni tz ya makabila 120 huo usukuma gang wenu ukafie chato
Nilimpinga na ushahidi upo.Ulikaa kimya hukulipinga.ukiwa silent kipindi cha oppression unakua upande wa oppresser.we ni miongoni mwa watu wengi mliochotwa akili na mwendazake na akawa anatembea nazo mfukoni,leo hii yupo nazo udongoni sasa ndo unakuja hapa kupiga piga kelele.
The bad news is that mwendazake is gone and the good news is that he won't lead us again.
Acha ukabila na vitisho,aya tuna kuuliza why hukulisema hili kipindi cha mtukufu jiwe??
Yaani unalazimisha ukabila kwa udi na uvumba. Kulikoni kamanda?Mnachukia huyu mama kwa sabab sio kabila lenu...
Well, I got the receipt.Lete Ushahidi Ili Tukuamini Mkuu
Take that!Nikikumbuka utetezi wenu wa Hisia kwa Bwana Meko... now it's your turn bro...
Time to have your dose...
Najistukia nini? Take that, bitch boy.Naona unajistukia mwenyewe, we dogo bana!
Najistukia nini? Take that, bitch boy.
Vikao vya CCM Ikulu vinakera
Kwa karibu miaka 10 sasa baadhi yetu tumekuwa tukipinga na kukemea vikali sana vikao vya CCM kufanyikia ikulu ya Dar es salaam. Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda]. Magufuli naye sasa anauendeleza huo utaratibu wa hovyo. Hii...www.jamiiforums.com
🤣🤣🖕🖕🖕Ndio umejua leo!? Hao huwa wanaunga mkono chochote anachosema mwenyekiti wao. Umewahi kuona wapi mtu anapata kura asilimia mia. Na wale wanaonyesha kupinga wanazuiwa kuingia kwenye vikao vya maamuzi.
Sasa Hapo upunga wake Ni Upi?Ww mtoto utaacha lini hizo tabia za upunga?
Take that….take it up your ass and tell me if you likey 🤣🤣Ww mtoto utaacha lini hizo tabia za upunga?
Jiwe kwenu alikuwa ni munguOh, halafu nawasubiri wale mtaosema kwa nini hatukuhoji kipindi Magufuli anaendesha vikao vya CCM Ikulu….nawasubiri kwa hamu kubwa sana!
Hana hoja huyo! Kabaki kutukana tu.Sasa Hapo upunga wake Ni Upi?
Labda kwenye akili zenu za kinyumbu.Jiwe kwenu alikuwa ni mungu
Take that….take it up your ass and tell me if you likey 🤣🤣
Nimecheka kwa nguvu kinoma, sentensi zako ukifika kwangu ni fupi fupi tu, maana kukuchumisha matembele sio kazi.
Hata Sabaya alikuwa na Kibri kama hichiUnataka iongozwe kutokea ufipa? Kubali kataa CCM itatawala milele
Yule Mzee wenu chances za kuwa motoni ni Kubwa sanaLabda kwenye akili zenu za kinyumbu.