Vikao vya CCM Ikulu vinakera

Oh yeah? Hebu rudi ukurasa wa kwanza unambie niliandika nini…
 
Wana bavicha wanavyompenda mama utavumilia matusi yao hapa?

[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa! Jamaa mazuzu sana.

Hebu rudi usome ukurasa wa kwanza uone jinsi nilivyomsifia Magufuli…
 
 
Pole kwa msiba wa Meko..
Ameenda for good..
Nchi nzima ina furaha..
 
Ikulu ndiyo mahala pake Bro , hutumika na Chamatawala kwa vile mpangaji wake anatoka Chamatawala. Hii haikuanza na Magufuli tu, ilikuwapo hata wakati wa Mwinyi (CCM), Nyerere (TANU), Sir Richard Turnbull (Liberal), Sir Donald Cameron (Conservative), Sir Horace Byatt (Labour), Grossfuehrer (Gavana) von Wissman (Hitler Youth). Ila of course tutakuwa tumepanajisi tukimpeleka yuda kama tundulissu pale, au wewe unaonaje?
 
Mkuu achana nae huyo!

Nasikia hata mmewe akitaka kumpanda ana kimbia ana hisi ni mzimu wa marehemu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanang’ang’ana kusema eti keshakufa na kuzikwa lakini cha ajabu hawataki kumsahau!

Bado yupo anaishi kwenye vichwa [fikra zao] vyao.
 
Yaani unalazimisha ukabila kwa udi na uvumba. Kulikoni kamanda?
Mkuu unajua nyie haya mambo huwa mnayashabikia sana yakiwa sio ya upande wenu, wakati mnaendesha kampeni za kikabila we were getting the same feelings, sasa duhwasha linawarudia mnaona sio sawa..
Angalao mkuu Nyani Ngabu kuna kipindi aliweka hisia pembeni, na pengine hapa mengi tunamuonea ila wengi wenu mlivaa viatu vya kikabila wazi wazi na kuendesha siasa za kibabe dhidi ya wale ambao walikuwa hawawaungi mkono... .. time to take your lunch Mr.
 
Mbona unateseka?
 
DUh!🤦🏾‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…