Vikao vya CCM Ikulu vinakera

Vikao vya CCM Ikulu vinakera

Wabunge wepi Hawa waccm kina kingu lugola JUMA nkamia ntazimia mwezi[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
JPM acha kufanya vikao ikulu ....ikulu si mali ya CCM
 
waacheni wabunge wafanye shughuli zingine muhimu msiwaongezee mzigo usio wa lazima. jambo la kufanya vikao vya chama Ikulu ya nchi siyo sawa na hata alieitisha anaelewa hivyo ila kaamua kujitoa ufahamu tu.
 
Raisi haungwi mkono kwenye chama wala kwenye jeshi kwahiyo sehemu pekee salama kwake ni ikulu / anahisi.
Ulishawahi kuona wapi huko nyuma raisi akiongozana na mkuu wa usalama wa taifa kwenye ziara zake? Unajua kwanini?
Tukiwa arusha raisi alilazimika kwenda monduli usiku kwenda kuwapigia magoti wanajeshi baada ya kutaka kumgomea.
 
Inabidi muelewe Ikulu ndyo makao makuu ya CCM. Lumumba ni garasha tu.
 
24E7071A-9180-44A9-B987-C2707700F984.jpeg


Moja kati ya matamanio yangu ya muda mrefu sasa ni kuona vikao vya CCM kufanyika Ikulu vikikoma kabisa.

Sina uhakika sana huu mtindo ulianza lini lakini nakumbuka kipindi cha utawala wa Rais Kikwete, ulishamiri sana.

Ikulu ni mahali pa shughuli za kiserikali. Siyo mahala pa shughuli za chama cha kisiasa.

Itapendeza endapo huyu Rais wetu mpya hataendelea na huo mtindo.

Akiuendeleza, tutamkosoa tu. Haogopwi mtu. Hapendwi mtu.

Tanzania kwanza.
 
Waking'ang'ania kuendelea kukutania Ikulu basi akina TADEA na wengine wote waruhusiwe kutumia Ikulu kwa mikutano yao ya kisiasa. Iwe Ikulu vurugu.
 
Oh, halafu nawasubiri wale mtaosema kwa nini hatukuhoji kipindi Magufuli anaendesha vikao vya CCM Ikulu….nawasubiri kwa hamu kubwa sana!
Sio unawasubiri kwa hamu, we sema unajihami
 
Afanye tu kikubwa tuwe na Amani, Hamna kutekana, kuuana, kupigana risasi, kupotezana kama enzi za Magufuli.

Enzi za JK tulikuwa na Amani, hela ilikuwepo hatukuwahi kusikia vyuma vimekaza hata kama alifanya hayo usiyoyataka.

Mama pia achia hela kitaa wewe uendelee na mambo yako
 
Back
Top Bottom