A
Anonymous
Guest
Tunakosa hata huduma ya Bajaj na Daladala sababu ya njia mbovu, hutulazimu kutumia bodaboda na kukatisha kwenye viwanja vya watu. Mamlaka zinazohusika na Miundombinu hii ziangalie namna ya kutusaidia Wananchi tunaoishi maeneo ya huku tunapata changamoto kubwa kupita.
Ikitokea una dharura kama ni ya mgonjwa inabidi apande Bodaboda wakati wa mvua hata hizo Bodaboda nazo ni shughuli kuzipata.
Ikitokea una dharura kama ni ya mgonjwa inabidi apande Bodaboda wakati wa mvua hata hizo Bodaboda nazo ni shughuli kuzipata.