Vikosi maalum vya Israel vyavamia 'eneo la makombora' nchini Syria

Vikosi maalum vya Israel vyavamia 'eneo la makombora' nchini Syria

Mrengwa wa kulia

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
1,091
Reaction score
3,695
Uvamizi huo umefanywa na vikosi maalum vya Israel kwenye "kituo cha kutengeneza makombora cha Hezbollah" nchini Syria.

Serikali ya Israel haijasema lolote kuhusu operesheni hiyo ambayo kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Marekani, ilifanyika mwanzoni mwa wiki.

Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vinasema watu 18 waliuawa siku ya Jumatatu katika uvamizi huo karibu na mji wa Masyaf nchini Syria - karibu maili 25 (kilomita 40) kaskazini mwa mpaka wa Lebanon - na wenginekadhaa walijeruhiwa.

Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, vikosi maalum vya Israel vilishuka kutoka kwa helikopta, kuweka vilipuzi ndani ya kituo kilichojengwa na Iran na kuondoka na stakabadhi zenye taarifa nyeti.

Maafisa wa Marekani na wengine walionukuliwa kwenye gazeti hilo wanachora taswira ya operesheni ya kijasiri, iliyoundwa kuharibu kituo cha kijeshi cha chinichini.

Mashambulizi ya anga yalitumika kupunguza ulinzi wa Syria na kuzuia uimarishaji kufikia eneo hilo.

Kwingineko, ripoti ya tovuti ya habari ya Axios - ikinukuu vyanzo vitatu vinavyosemekana kufahamu operesheni hiyo - inasema kitengo maalum cha Shaldag cha Jeshi la Wanahewa la Israel kilifanya uvamizi huo.

Axios pia inaripoti kuwa Israel iliiarifu Marekani kabla ya operesheni hiyo kupangwa na kufanyika, na haikukabiliwa na upinzani wowote kutoka Ikulu ya Marekani.

BBC bado haijaweza kuthibitisha ripoti hizi kwa njia uhuru.

Serikali ya Israel haijatoa maoni yoyote, lakini uvamizi huo unaonekana kuwa umeundwa ili kuzuia Iran kusambaza makombora ya usahihi kwa Hezbollah, mshirika wake wa Lebanon na wakala.

Israel ilishambulia kituo hicho miaka sita iliyopita na imetekeleza makumi ya mashambulizi ya anga dhidi ya Syria tangu vita vya Gaza kuanza karibu mwaka mmoja uliopita.

Lakini, kuweka wanajeshi wa Israel ndani ya Syria ni jambo lisilo la kawaida.

Hii itakuwa moja ya operesheni ya kisasa zaidi ya aina yake katika miaka.
Source.
NY. Times
BBc
 
Uvamizi huo umefanywa na vikosi maalum vya Israel kwenye "kituo cha kutengeneza makombora cha Hezbollah" nchini Syria.

Serikali ya Israel haijasema lolote kuhusu operesheni hiyo ambayo kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Marekani, ilifanyika mwanzoni mwa wiki.

Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vinasema watu 18 waliuawa siku ya Jumatatu katika uvamizi huo karibu na mji wa Masyaf nchini Syria - karibu maili 25 (kilomita 40) kaskazini mwa mpaka wa Lebanon - na wenginekadhaa walijeruhiwa.

Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, vikosi maalum vya Israel vilishuka kutoka kwa helikopta, kuweka vilipuzi ndani ya kituo kilichojengwa na Iran na kuondoka na stakabadhi zenye taarifa nyeti.

Maafisa wa Marekani na wengine walionukuliwa kwenye gazeti hilo wanachora taswira ya operesheni ya kijasiri, iliyoundwa kuharibu kituo cha kijeshi cha chinichini.

Mashambulizi ya anga yalitumika kupunguza ulinzi wa Syria na kuzuia uimarishaji kufikia eneo hilo.

Kwingineko, ripoti ya tovuti ya habari ya Axios - ikinukuu vyanzo vitatu vinavyosemekana kufahamu operesheni hiyo - inasema kitengo maalum cha Shaldag cha Jeshi la Wanahewa la Israel kilifanya uvamizi huo.

Axios pia inaripoti kuwa Israel iliiarifu Marekani kabla ya operesheni hiyo kupangwa na kufanyika, na haikukabiliwa na upinzani wowote kutoka Ikulu ya Marekani.

BBC bado haijaweza kuthibitisha ripoti hizi kwa njia uhuru.

Serikali ya Israel haijatoa maoni yoyote, lakini uvamizi huo unaonekana kuwa umeundwa ili kuzuia Iran kusambaza makombora ya usahihi kwa Hezbollah, mshirika wake wa Lebanon na wakala.

Israel ilishambulia kituo hicho miaka sita iliyopita na imetekeleza makumi ya mashambulizi ya anga dhidi ya Syria tangu vita vya Gaza kuanza karibu mwaka mmoja uliopita.

Lakini, kuweka wanajeshi wa Israel ndani ya Syria ni jambo lisilo la kawaida.

Hii itakuwa moja ya operesheni ya kisasa zaidi ya aina yake katika miaka.
Source.
NY. Times
BBc
Hivi wafia dini kwanini hawataki kuelewa israel hawaiwezi?
 
Uvamizi huo umefanywa na vikosi maalum vya Israel kwenye "kituo cha kutengeneza makombora cha Hezbollah" nchini Syria.

Serikali ya Israel haijasema lolote kuhusu operesheni hiyo ambayo kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Marekani, ilifanyika mwanzoni mwa wiki.

Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vinasema watu 18 waliuawa siku ya Jumatatu katika uvamizi huo karibu na mji wa Masyaf nchini Syria - karibu maili 25 (kilomita 40) kaskazini mwa mpaka wa Lebanon - na wenginekadhaa walijeruhiwa.

Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, vikosi maalum vya Israel vilishuka kutoka kwa helikopta, kuweka vilipuzi ndani ya kituo kilichojengwa na Iran na kuondoka na stakabadhi zenye taarifa nyeti.

Maafisa wa Marekani na wengine walionukuliwa kwenye gazeti hilo wanachora taswira ya operesheni ya kijasiri, iliyoundwa kuharibu kituo cha kijeshi cha chinichini.

Mashambulizi ya anga yalitumika kupunguza ulinzi wa Syria na kuzuia uimarishaji kufikia eneo hilo.

Kwingineko, ripoti ya tovuti ya habari ya Axios - ikinukuu vyanzo vitatu vinavyosemekana kufahamu operesheni hiyo - inasema kitengo maalum cha Shaldag cha Jeshi la Wanahewa la Israel kilifanya uvamizi huo.

Axios pia inaripoti kuwa Israel iliiarifu Marekani kabla ya operesheni hiyo kupangwa na kufanyika, na haikukabiliwa na upinzani wowote kutoka Ikulu ya Marekani.

BBC bado haijaweza kuthibitisha ripoti hizi kwa njia uhuru.

Serikali ya Israel haijatoa maoni yoyote, lakini uvamizi huo unaonekana kuwa umeundwa ili kuzuia Iran kusambaza makombora ya usahihi kwa Hezbollah, mshirika wake wa Lebanon na wakala.

Israel ilishambulia kituo hicho miaka sita iliyopita na imetekeleza makumi ya mashambulizi ya anga dhidi ya Syria tangu vita vya Gaza kuanza karibu mwaka mmoja uliopita.

Lakini, kuweka wanajeshi wa Israel ndani ya Syria ni jambo lisilo la kawaida.

Hii itakuwa moja ya operesheni ya kisasa zaidi ya aina yake katika miaka.
Source.
NY. Times
BBc
Hivi kobazi mbona hata wakipigwa vipi wanajiona wameshinda? Wanaamini ipo siku Allah atawasaidia lakini myahudi anawapa kichapo kikali kila wakati
 
Uvamizi huo umefanywa na vikosi maalum vya Israel kwenye "kituo cha kutengeneza makombora cha Hezbollah" nchini Syria.

Serikali ya Israel haijasema lolote kuhusu operesheni hiyo ambayo kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Marekani, ilifanyika mwanzoni mwa wiki.

Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vinasema watu 18 waliuawa siku ya Jumatatu katika uvamizi huo karibu na mji wa Masyaf nchini Syria - karibu maili 25 (kilomita 40) kaskazini mwa mpaka wa Lebanon - na wenginekadhaa walijeruhiwa.

Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, vikosi maalum vya Israel vilishuka kutoka kwa helikopta, kuweka vilipuzi ndani ya kituo kilichojengwa na Iran na kuondoka na stakabadhi zenye taarifa nyeti.

Maafisa wa Marekani na wengine walionukuliwa kwenye gazeti hilo wanachora taswira ya operesheni ya kijasiri, iliyoundwa kuharibu kituo cha kijeshi cha chinichini.

Mashambulizi ya anga yalitumika kupunguza ulinzi wa Syria na kuzuia uimarishaji kufikia eneo hilo.

Kwingineko, ripoti ya tovuti ya habari ya Axios - ikinukuu vyanzo vitatu vinavyosemekana kufahamu operesheni hiyo - inasema kitengo maalum cha Shaldag cha Jeshi la Wanahewa la Israel kilifanya uvamizi huo.

Axios pia inaripoti kuwa Israel iliiarifu Marekani kabla ya operesheni hiyo kupangwa na kufanyika, na haikukabiliwa na upinzani wowote kutoka Ikulu ya Marekani.

BBC bado haijaweza kuthibitisha ripoti hizi kwa njia uhuru.

Serikali ya Israel haijatoa maoni yoyote, lakini uvamizi huo unaonekana kuwa umeundwa ili kuzuia Iran kusambaza makombora ya usahihi kwa Hezbollah, mshirika wake wa Lebanon na wakala.

Israel ilishambulia kituo hicho miaka sita iliyopita na imetekeleza makumi ya mashambulizi ya anga dhidi ya Syria tangu vita vya Gaza kuanza karibu mwaka mmoja uliopita.

Lakini, kuweka wanajeshi wa Israel ndani ya Syria ni jambo lisilo la kawaida.

Hii itakuwa moja ya operesheni ya kisasa zaidi ya aina yake katika miaka.
Source.
NY. Times
BBc
Hii habari ni ya jana.
But not bad.
 
Uvamizi huo umefanywa na vikosi maalum vya Israel kwenye "kituo cha kutengeneza makombora cha Hezbollah" nchini Syria.

Serikali ya Israel haijasema lolote kuhusu operesheni hiyo ambayo kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Marekani, ilifanyika mwanzoni mwa wiki.

Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vinasema watu 18 waliuawa siku ya Jumatatu katika uvamizi huo karibu na mji wa Masyaf nchini Syria - karibu maili 25 (kilomita 40) kaskazini mwa mpaka wa Lebanon - na wenginekadhaa walijeruhiwa.

Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, vikosi maalum vya Israel vilishuka kutoka kwa helikopta, kuweka vilipuzi ndani ya kituo kilichojengwa na Iran na kuondoka na stakabadhi zenye taarifa nyeti.

Maafisa wa Marekani na wengine walionukuliwa kwenye gazeti hilo wanachora taswira ya operesheni ya kijasiri, iliyoundwa kuharibu kituo cha kijeshi cha chinichini.

Mashambulizi ya anga yalitumika kupunguza ulinzi wa Syria na kuzuia uimarishaji kufikia eneo hilo.

Kwingineko, ripoti ya tovuti ya habari ya Axios - ikinukuu vyanzo vitatu vinavyosemekana kufahamu operesheni hiyo - inasema kitengo maalum cha Shaldag cha Jeshi la Wanahewa la Israel kilifanya uvamizi huo.

Axios pia inaripoti kuwa Israel iliiarifu Marekani kabla ya operesheni hiyo kupangwa na kufanyika, na haikukabiliwa na upinzani wowote kutoka Ikulu ya Marekani.

BBC bado haijaweza kuthibitisha ripoti hizi kwa njia uhuru.

Serikali ya Israel haijatoa maoni yoyote, lakini uvamizi huo unaonekana kuwa umeundwa ili kuzuia Iran kusambaza makombora ya usahihi kwa Hezbollah, mshirika wake wa Lebanon na wakala.

Israel ilishambulia kituo hicho miaka sita iliyopita na imetekeleza makumi ya mashambulizi ya anga dhidi ya Syria tangu vita vya Gaza kuanza karibu mwaka mmoja uliopita.

Lakini, kuweka wanajeshi wa Israel ndani ya Syria ni jambo lisilo la kawaida.

Hii itakuwa moja ya operesheni ya kisasa zaidi ya aina yake katika miaka.
Source.
NY. Times
BBc
 
Uvamizi huo umefanywa na vikosi maalum vya Israel kwenye "kituo cha kutengeneza makombora cha Hezbollah" nchini Syria.

Serikali ya Israel haijasema lolote kuhusu operesheni hiyo ambayo kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Marekani, ilifanyika mwanzoni mwa wiki.

Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vinasema watu 18 waliuawa siku ya Jumatatu katika uvamizi huo karibu na mji wa Masyaf nchini Syria - karibu maili 25 (kilomita 40) kaskazini mwa mpaka wa Lebanon - na wenginekadhaa walijeruhiwa.

Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, vikosi maalum vya Israel vilishuka kutoka kwa helikopta, kuweka vilipuzi ndani ya kituo kilichojengwa na Iran na kuondoka na stakabadhi zenye taarifa nyeti.

Maafisa wa Marekani na wengine walionukuliwa kwenye gazeti hilo wanachora taswira ya operesheni ya kijasiri, iliyoundwa kuharibu kituo cha kijeshi cha chinichini.

Mashambulizi ya anga yalitumika kupunguza ulinzi wa Syria na kuzuia uimarishaji kufikia eneo hilo.

Kwingineko, ripoti ya tovuti ya habari ya Axios - ikinukuu vyanzo vitatu vinavyosemekana kufahamu operesheni hiyo - inasema kitengo maalum cha Shaldag cha Jeshi la Wanahewa la Israel kilifanya uvamizi huo.

Axios pia inaripoti kuwa Israel iliiarifu Marekani kabla ya operesheni hiyo kupangwa na kufanyika, na haikukabiliwa na upinzani wowote kutoka Ikulu ya Marekani.

BBC bado haijaweza kuthibitisha ripoti hizi kwa njia uhuru.

Serikali ya Israel haijatoa maoni yoyote, lakini uvamizi huo unaonekana kuwa umeundwa ili kuzuia Iran kusambaza makombora ya usahihi kwa Hezbollah, mshirika wake wa Lebanon na wakala.

Israel ilishambulia kituo hicho miaka sita iliyopita na imetekeleza makumi ya mashambulizi ya anga dhidi ya Syria tangu vita vya Gaza kuanza karibu mwaka mmoja uliopita.

Lakini, kuweka wanajeshi wa Israel ndani ya Syria ni jambo lisilo la kawaida.

Hii itakuwa moja ya operesheni ya kisasa zaidi ya aina yake katika miaka.
Source.
NY. Times
BBc


Daaaah....
Ritz Webabu tunafanyaje sasa hapa? Nimechanganyikiwa.....
 
Waache wajifariji kidogo mbona hampendi walokole wawe nafuraha wanatunga story zao kusifia taifa teule bila ya kufikiria huo uongo kuwa Kuna watu wana akili zao humu hv kweli uingie ndani ya Syria kwa helicopter 🤣🤣🤣
Times of israel ikinukuu chombo cha habari kingine wanadai kulikua na cover ya attack helicopter zingine
 
Waarabu kuliko kugombana na Israel bora wagombane na NATO, jamii za kiarabu wana roho mbaya sana, hata wayahudi au waisraeli ni jamii ile ile ya kiarabu iliyoendelea kitechnolojia, kiuchumi, kielimu, kisiasa, kijamii, kijeshi, kiintelijensia baada ya kuishi ulaya maelfu ya miaka. Mwisrael pure ambaye siyo chotara kila kitu anafanana na mwarabu, sura , rangi, nywele, mwonekano, ukimuangalia Ehud Barak waziri mstaafu wa Israel ni mwarabu pure, ukimwangalia waziri wa vita mwenye misimamo mikali sana kuliko Netanyahu Itamar Gvir kila kitu anafanana na mwarabu, huyo ndo alimwambia Netanyahu ukisitisha vita tunakutoa madarakani.
 
Back
Top Bottom