Vikosi maalum vya Israel vyavamia 'eneo la makombora' nchini Syria

Vikosi maalum vya Israel vyavamia 'eneo la makombora' nchini Syria

Mbona Iran inaikana hii habari?
😂😂😂😂😂😂😂😂Au wamerudia propaganda zao??
 
Hata lile la Ismael Haniye wangesema ni uongo ila kwasababu ni kifo hawakuweza kukanusha
La Ismail Haniyeh na hili ni tofauti.
Hii habari ina ukakasi.
Kwasababu huwezi ukaleta helikopta hadi ndani ya mipaka ya nchi nyingine na wao wasi react aisee.
Usichukulie watu viazi tunajielewa.
 
Uvamizi huo umefanywa na vikosi maalum vya Israel kwenye "kituo cha kutengeneza makombora cha Hezbollah" nchini Syria.

Serikali ya Israel haijasema lolote kuhusu operesheni hiyo ambayo kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Marekani, ilifanyika mwanzoni mwa wiki.

Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vinasema watu 18 waliuawa siku ya Jumatatu katika uvamizi huo karibu na mji wa Masyaf nchini Syria - karibu maili 25 (kilomita 40) kaskazini mwa mpaka wa Lebanon - na wenginekadhaa walijeruhiwa.

Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, vikosi maalum vya Israel vilishuka kutoka kwa helikopta, kuweka vilipuzi ndani ya kituo kilichojengwa na Iran na kuondoka na stakabadhi zenye taarifa nyeti.

Maafisa wa Marekani na wengine walionukuliwa kwenye gazeti hilo wanachora taswira ya operesheni ya kijasiri, iliyoundwa kuharibu kituo cha kijeshi cha chinichini.

Mashambulizi ya anga yalitumika kupunguza ulinzi wa Syria na kuzuia uimarishaji kufikia eneo hilo.

Kwingineko, ripoti ya tovuti ya habari ya Axios - ikinukuu vyanzo vitatu vinavyosemekana kufahamu operesheni hiyo - inasema kitengo maalum cha Shaldag cha Jeshi la Wanahewa la Israel kilifanya uvamizi huo.

Axios pia inaripoti kuwa Israel iliiarifu Marekani kabla ya operesheni hiyo kupangwa na kufanyika, na haikukabiliwa na upinzani wowote kutoka Ikulu ya Marekani.

BBC bado haijaweza kuthibitisha ripoti hizi kwa njia uhuru.

Serikali ya Israel haijatoa maoni yoyote, lakini uvamizi huo unaonekana kuwa umeundwa ili kuzuia Iran kusambaza makombora ya usahihi kwa Hezbollah, mshirika wake wa Lebanon na wakala.

Israel ilishambulia kituo hicho miaka sita iliyopita na imetekeleza makumi ya mashambulizi ya anga dhidi ya Syria tangu vita vya Gaza kuanza karibu mwaka mmoja uliopita.

Lakini, kuweka wanajeshi wa Israel ndani ya Syria ni jambo lisilo la kawaida.

Hii itakuwa moja ya operesheni ya kisasa zaidi ya aina yake katika miaka.
Source.
NY. Times
BBc
Mbona haiingii akilini, Eneo muhimu kama hilo inawezekana vipi kukosa ulinzi wakueleweka kiasi kwamba Adui awezekuingia kwa muda mfupi tu na kulitawala!?
 
La Ismail Haniyeh na hili ni tofauti.
Hii habari ina ukakasi.
Kwasababu huwezi ukaleta helikopta hadi ndani ya mipaka ya nchi nyingine na wao wasi react aisee.
Usichukulie watu viazi tunajielewa.
Kwamba ndani ya muda mfupi waisrael walifanikiwa kuliteka eneo muhimu sana tena la kijeshi na wakapata muda wakufanya watakalo bila kupoteza hata askari wao mmoja!? Basi sawa!
 
Kwamba ndani ya muda mfupi waisrael walifanikiwa kuliteka eneo muhimu sana tena la kijeshi na wakapata muda wakufanya watakalo bila kupoteza hata askari wao mmoja!? Basi sawa!
Halafu eneo lenyewe ni nchi nyingine tofauti na Israel na wamefika na helikopta inawateremsha taratiiibuuu kabisa.
😂😂😂😂😂
 
Hata hapa Tz maeneo ya pwani hasa Zbar, Mombasa na Tanga ndio wanaongoza kwa uchafu wa sodoma na Gomorrah
Kabisa mkuu,
Hapo Zenji tu "wakosa visogo" hadi maimamu wanamiliki wasenge lukuki, hawana habari na warembo...
 
Bado hawajampata Sinwar na mateka wao zaidi ya 100.
Ni suala la muda tu hakuna jiwe litaachwa juu ya jiwe, rejea ile operation yao ya kulipiza kisasi dhidi ya mauaji ya Munich kwenye michezo ya Olimpiki mwaka 1972. Mossad wakiamua jambo lao wameamua.
 
La Ismail Haniyeh na hili ni tofauti.
Hii habari ina ukakasi.
Kwasababu huwezi ukaleta helikopta hadi ndani ya mipaka ya nchi nyingine na wao wasi react aisee.
Usichukulie watu viazi tunajielewa.
Unazungumzia nchi gan mkuu. Hii Syria ambayo kila siku ndege za Israel zinashinda huko. Ungesema ile Syria ya miaka ile sio hii kila kipande cha nchi kina kundi linatawala.
 
Unazungumzia nchi gan mkuu. Hii Syria ambayo kila siku ndege za Israel zinashinda huko. Ungesema ile Syria ya miaka ile sio hii kila kipande cha nchi kina kundi linatawala.
Fighter jet sio sawa na chopper/helikopta.
Tena fighter jet huwa zikija hapo dakika zimepotea baada ya kushambulia.
Sio sawa na hili la helikopta kuja huku linashusha watu taratibu hadi wanashuka na kushambulia.
Tena eneo lenyewe ni nyeti na sio tu nyeti bali Iran ndio analisimamia.
Embu msituone sisi mapunguani.
 
Back
Top Bottom