Tupo hapa.Nakusubiri uje ukanushe unachikiamini muda sio mwingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo hapa.Nakusubiri uje ukanushe unachikiamini muda sio mwingi
Watu wengi wamerishwa tango pori za kwenye bible mpaka basi.Oh ! Haleluya
Nani kaongelea ushoga au wewe mwenyewe nilishoga unafikiri wote kama wewe sasa magaidi kama magaidi wenzio hawarudi nyuma mbona mnalia lia dunia imewatenga mnaposhushia kipondo na israel hivi mnapigana au mnapigwa mbona mimi sielewi maana gaza imegeuka majivumashoga mnatakiwa muelewe magaii haturudi nyuma na hatutaisha milele daima mpk ushoga utokomee duniani
Sasa huo ni ushindi kwa kwa nyie magaidi jeshi bora linalinda raia wake ila nyie magaidi mnajikinga na raia ndio maana israel imeondoa raia wake wasipande madhara ila magaidi kama hamas wanawazuia raia wasihame ili wajikinge naoWakati unaropoka huo utumbo Israel kaskazini HAINA MKAAZI HATA MMOJA.
Wamehama kwa kukwepa mabomu ya Hizbollah.
Na wewe ukawaamini iran?????Iran wamesema ni uwongo mtupu
Lete ushahidi wa raia kukatazwa na Hamas kuhama!?Sasa huo ni ushindi kwa kwa nyie magaidi jeshi bora linalinda raia wake ila nyie magaidi mnajikinga na raia ndio maana israel imeondoa raia wake wasipande madhara ila magaidi kama hamas wanawazuia raia wasihame ili wajikinge nao
Ilibidi makomandoo wateule washuke kwasababu walijenga chini ya ardhi ambapo makombora yasingeharibu mahandaki hayo ya kigaidi. Na kabla ya kuchukua documents na vifaa vingine akaweka vilipuzi na walipoondoka kukalipuka muajemi wakabaki kushangaa hawa ni binadamu wa ajabu wa aina gani.Uvamizi huo umefanywa na vikosi maalum vya Israel kwenye "kituo cha kutengeneza makombora cha Hezbollah" nchini Syria.
Serikali ya Israel haijasema lolote kuhusu operesheni hiyo ambayo kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Marekani, ilifanyika mwanzoni mwa wiki.
Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vinasema watu 18 waliuawa siku ya Jumatatu katika uvamizi huo karibu na mji wa Masyaf nchini Syria - karibu maili 25 (kilomita 40) kaskazini mwa mpaka wa Lebanon - na wenginekadhaa walijeruhiwa.
Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, vikosi maalum vya Israel vilishuka kutoka kwa helikopta, kuweka vilipuzi ndani ya kituo kilichojengwa na Iran na kuondoka na stakabadhi zenye taarifa nyeti.
Maafisa wa Marekani na wengine walionukuliwa kwenye gazeti hilo wanachora taswira ya operesheni ya kijasiri, iliyoundwa kuharibu kituo cha kijeshi cha chinichini.
Mashambulizi ya anga yalitumika kupunguza ulinzi wa Syria na kuzuia uimarishaji kufikia eneo hilo.
Kwingineko, ripoti ya tovuti ya habari ya Axios - ikinukuu vyanzo vitatu vinavyosemekana kufahamu operesheni hiyo - inasema kitengo maalum cha Shaldag cha Jeshi la Wanahewa la Israel kilifanya uvamizi huo.
Axios pia inaripoti kuwa Israel iliiarifu Marekani kabla ya operesheni hiyo kupangwa na kufanyika, na haikukabiliwa na upinzani wowote kutoka Ikulu ya Marekani.
BBC bado haijaweza kuthibitisha ripoti hizi kwa njia uhuru.
Serikali ya Israel haijatoa maoni yoyote, lakini uvamizi huo unaonekana kuwa umeundwa ili kuzuia Iran kusambaza makombora ya usahihi kwa Hezbollah, mshirika wake wa Lebanon na wakala.
Israel ilishambulia kituo hicho miaka sita iliyopita na imetekeleza makumi ya mashambulizi ya anga dhidi ya Syria tangu vita vya Gaza kuanza karibu mwaka mmoja uliopita.
Lakini, kuweka wanajeshi wa Israel ndani ya Syria ni jambo lisilo la kawaida.
Hii itakuwa moja ya operesheni ya kisasa zaidi ya aina yake katika miaka.
Source.
NY. Times
BBc
Hao Syria wanatumika kinyume na maslahi yao. Wanaingia hasara ya bure kisa IranIlibidi makomandoo wateule washuke kwasababu walijenga chini ya ardhi ambapo makombora yasingeharibu mahandaki hayo ya kigaidi. Na kabla ya kuchukua documents na vifaa vingine akaweka vilipuzi na walipoondoka kukalipuka muajemi wakabaki kushangaa hawa ni binadamu wa ajabu wa aina gani.
T14 Armata
From Hebrews Media 😄
MadrasaHivi wafia dini kwanini hawataki kuelewa israel hawaiwezi?
Wewe ni mfia dini?Wakati unaropoka huo utumbo Israel kaskazini HAINA MKAAZI HATA MMOJA.
Wamehama kwa kukwepa mabomu ya Hizbollah.
Ipo kazimashoga mnatakiwa muelewe magaii haturudi nyuma na hatutaisha milele daima mpk ushoga utokomee duniani
Huyu anaweza kuwa Alikuwa aki act film vipi achukuliwe kafurahi na badaye ana lia? Hio inaweza kuwa bollywoodTusisikie tu vilio vya mbwa koko
Hao hao magaidi ndiyo mashoga og..
View: https://youtube.com/watch?v=Vyuvi1uqaJs&si=tfYqC6xQD3AmRRRf
View: https://youtube.com/shorts/_JZwtSJl_mI?si=xzyK3pnUEzW7HHRJ
Na wewe chukua LIKE hiyo mkuuHata hapa Tz maeneo ya pwani hasa Zbar, Mombasa na Tanga ndio wanaongoza kwa uchafu wa sodoma na Gomorrah
Wameamua kuhifadhi magaidi, wacha washughulikiwe.Hao Syria wanatumika kinyume na maslahi yao. Wanaingia hasara ya bure kisa Iran
Bado ya moto mbonaHii habari ni ya jana.
But not bad.
Israel inambinu mashallah. Waarabu tuna jambo la kujifunza hapa.Kwamba ndani ya muda mfupi waisrael walifanikiwa kuliteka eneo muhimu sana tena la kijeshi na wakapata muda wakufanya watakalo bila kupoteza hata askari wao mmoja!? Basi sawa!
Unazijua helcopta za apatche wewe?Fighter jet sio sawa na chopper/helikopta.
Tena fighter jet huwa zikija hapo dakika zimepotea baada ya kushambulia.
Sio sawa na hili la helikopta kuja huku linashusha watu taratibu hadi wanashuka na kushambulia.
Tena eneo lenyewe ni nyeti na sio tu nyeti bali Iran ndio analisimamia.
Embu msituone sisi mapunguani.
Mkuu siwanapitia Syria na Lebanon wameisha kwenda wako Syria.
Na leo wamepiga Israel kwa missiles.
View: https://youtu.be/dIWXyXTnj3k?si=YrLy3AD2WsCCrH67