Vikosi maalum vya Israel vyavamia 'eneo la makombora' nchini Syria

Vikosi maalum vya Israel vyavamia 'eneo la makombora' nchini Syria

Unazijua helcopta za apatche wewe?
Muulize pakistan ndo anajua utamu na machungu ya hizi helcopta hata alquaeda wanazijua. Kukubali au kukataa hizo sio shida zetu.
Nani asiyezijua hizo Apache!?
Kwahiyo unataka kunidanganya kuwa hizo ni stealth chopper haziwi detected!??
Basi huko ni mbali,yani kitendo cha kuingia ndani ya nchi nyingine halafu mnashusha watu na helikopta taratiiibuuu kabisa wanashuka mbaka wanamaliza wenyeji wamekaa tu!??
Tena mwenyeji mmoja wapo Iran!??
EMbu muulize Obama na Trump watakupa jibu.
Hiyo haijatosha wameenda askari 18 tu na wakarudi kama walivyo.
Weeeh huongei na watoto wadogo hapa sawa mzee!?
 
Israel ni Israil yaani ni mtoa roho! Halafu hawaogopi tu hawa kobazi
Wailsm Wana hulka ya ujasiri ingekuwa sisi wakristo tungewapa mpaka wake zetu,wewe angalia ni wao walifukuza wakoloni sisi ni kushangilia tuu. mafundisho yetu kumuona mzungu ni mungu,
 
Nani asiyezijua hizo Apache!?
Kwahiyo unataka kunidanganya kuwa hizo ni stealth chopper haziwi detected!??
Basi huko ni mbali,yani kitendo cha kuingia ndani ya nchi nyingine halafu mnashusha

Nani asiyezijua hizo Apache!?
Kwahiyo unataka kunidanganya kuwa hizo ni stealth chopper haziwi detected!??
Basi huko ni mbali,yani kitendo cha kuingia ndani ya nchi nyingine halafu mnashusha watu na helikopta taratiiibuuu kabisa wanashuka mbaka wanamaliza wenyeji wamekaa tu!??
Tena mwenyeji mmoja wapo Iran!??
EMbu muulize Obama na Trump watakupa jibu.
Hiyo haijatosha wameenda askari 18 tu na wakarudi kama walivyo.
Weeeh huongei na watoto wadogo hapa sawa mzee!?
Unajibu kitoto ndo mana huna ushahidi. Hadi pakistan ililalamika UN. Kwamba oparation ya US. Ilikiuka sheria za kimataifa na kuvamia anga na mipaka yake. We huko toka mkoga mimba unashupaa tu.
 
Unajibu kitoto ndo mana huna ushahidi. Hadi pakistan ililalamika UN. Kwamba oparation ya US. Ilikiuka sheria za kimataifa na kuvamia anga na mipaka yake. We huko toka mkoga mimba unashupaa tu.
NI kawaida yenu huwa mkikosa hoja mnasema watu wanajibu kitoto.
Tayari unajichanganya wewe mwenyewe,Pakistan alikua aware na hiyo operation na hata hizo Apache zilivyokua zimeingia anga lake alifahamu pia.
Ila USA ni nchi strong geopolitically ndio maana Pakistan alibaki kulalamika.

Ila tofautisha na Israel ambaye Syria na Iran wanamwinda kila leo ashushe askari katika territory yenye wanamgambo wa Lebanon na Iran tena wakiwa 18 kesha watoke salama.
ACHA UPUNGUANI KIJANA.
 
Back
Top Bottom