Mbona Iran inaikana hii habari?Israel's Elite Forces Capture Iranians During 'Ground Raid' In Syria? IRGC Dismisses βComplete Lieβ - News18
Israeli special forces carried out a raid on an Iranian weapons facility in Syria, according to Israeli media reports. The raid in Syriaβs Maysaf area is said to have occurred during IDFβs airstrikes on military sites in western Syria on Sept. 8.IDFβs special forces destroyed a missile factory...www.news18.com
La Ismail Haniyeh na hili ni tofauti.Hata lile la Ismael Haniye wangesema ni uongo ila kwasababu ni kifo hawakuweza kukanusha
Mbona haiingii akilini, Eneo muhimu kama hilo inawezekana vipi kukosa ulinzi wakueleweka kiasi kwamba Adui awezekuingia kwa muda mfupi tu na kulitawala!?Uvamizi huo umefanywa na vikosi maalum vya Israel kwenye "kituo cha kutengeneza makombora cha Hezbollah" nchini Syria.
Serikali ya Israel haijasema lolote kuhusu operesheni hiyo ambayo kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Marekani, ilifanyika mwanzoni mwa wiki.
Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vinasema watu 18 waliuawa siku ya Jumatatu katika uvamizi huo karibu na mji wa Masyaf nchini Syria - karibu maili 25 (kilomita 40) kaskazini mwa mpaka wa Lebanon - na wenginekadhaa walijeruhiwa.
Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, vikosi maalum vya Israel vilishuka kutoka kwa helikopta, kuweka vilipuzi ndani ya kituo kilichojengwa na Iran na kuondoka na stakabadhi zenye taarifa nyeti.
Maafisa wa Marekani na wengine walionukuliwa kwenye gazeti hilo wanachora taswira ya operesheni ya kijasiri, iliyoundwa kuharibu kituo cha kijeshi cha chinichini.
Mashambulizi ya anga yalitumika kupunguza ulinzi wa Syria na kuzuia uimarishaji kufikia eneo hilo.
Kwingineko, ripoti ya tovuti ya habari ya Axios - ikinukuu vyanzo vitatu vinavyosemekana kufahamu operesheni hiyo - inasema kitengo maalum cha Shaldag cha Jeshi la Wanahewa la Israel kilifanya uvamizi huo.
Axios pia inaripoti kuwa Israel iliiarifu Marekani kabla ya operesheni hiyo kupangwa na kufanyika, na haikukabiliwa na upinzani wowote kutoka Ikulu ya Marekani.
BBC bado haijaweza kuthibitisha ripoti hizi kwa njia uhuru.
Serikali ya Israel haijatoa maoni yoyote, lakini uvamizi huo unaonekana kuwa umeundwa ili kuzuia Iran kusambaza makombora ya usahihi kwa Hezbollah, mshirika wake wa Lebanon na wakala.
Israel ilishambulia kituo hicho miaka sita iliyopita na imetekeleza makumi ya mashambulizi ya anga dhidi ya Syria tangu vita vya Gaza kuanza karibu mwaka mmoja uliopita.
Lakini, kuweka wanajeshi wa Israel ndani ya Syria ni jambo lisilo la kawaida.
Hii itakuwa moja ya operesheni ya kisasa zaidi ya aina yake katika miaka.
Source.
NY. Times
BBc
Myahudi akiamua anapenya popote pale. Majuzi tu hapa alimtungua Haniyeh akiwa chini ya ulinzi mkali wa ayatollahMbona haiingii akilini, Eneo muhimu kama hilo inawezekana vipi kukosa ulinzi wakueleweka kiasi kwamba Adui awezekuingia kwa muda mfupi tu na kulitawala!?
Kwamba ndani ya muda mfupi waisrael walifanikiwa kuliteka eneo muhimu sana tena la kijeshi na wakapata muda wakufanya watakalo bila kupoteza hata askari wao mmoja!? Basi sawa!La Ismail Haniyeh na hili ni tofauti.
Hii habari ina ukakasi.
Kwasababu huwezi ukaleta helikopta hadi ndani ya mipaka ya nchi nyingine na wao wasi react aisee.
Usichukulie watu viazi tunajielewa.
Basi sawa!Myahudi akiamua anapenya popote pale. Majuzi tu hapa alimtungua Haniyeh akiwa chini ya ulinzi mkali wa ayatollah
La Ismail Haniyeh na hili ni tofauti.
Hii habari ina ukakasi.
Kwasababu huwezi ukaleta helikopta hadi ndani ya mipaka ya nchi nyingine na wao wasi react aisee.
Usichukulie watu viazi tunajielewa.
Hizi operation za kushtukiza dhidi ya adui ni za kawaida sana kwa makomando wa Israel. Historia inajieleza..Basi sawa!
Bado hawajampata Sinwar na mateka wao zaidi ya 100.Sayeret Matkal hawanaga kazi mbovu
Halafu eneo lenyewe ni nchi nyingine tofauti na Israel na wamefika na helikopta inawateremsha taratiiibuuu kabisa.Kwamba ndani ya muda mfupi waisrael walifanikiwa kuliteka eneo muhimu sana tena la kijeshi na wakapata muda wakufanya watakalo bila kupoteza hata askari wao mmoja!? Basi sawa!
Usijali mkuu, hao ni kawaida yao kukanusha ukweliIran wamesema ni uwongo mtupu
Daah, hawa jamaa bhana!...waziri wa vita mwenye misimamo mikali sana kuliko Netanyahu Itamar Gvir kila kitu anafanana na mwarabu, huyo ndo alimwambia Netanyahu ukisitisha vita tunakutoa madarakani.
Hao hao magaidi ndiyo mashoga og..mashoga mnatakiwa muelewe magaii haturudi nyuma na hatutaisha milele daima mpk ushoga utokomee duniani
Hata hapa Tz maeneo ya pwani hasa Zbar, Mombasa na Tanga ndio wanaongoza kwa uchafu wa sodoma na GomorrahHao hao magaidi ndiyo mashoga og..
View: https://youtube.com/watch?v=Vyuvi1uqaJs&si=tfYqC6xQD3AmRRRf
View: https://youtube.com/shorts/_JZwtSJl_mI?si=xzyK3pnUEzW7HHRJ
Kabisa mkuu,Hata hapa Tz maeneo ya pwani hasa Zbar, Mombasa na Tanga ndio wanaongoza kwa uchafu wa sodoma na Gomorrah
Ni suala la muda tu hakuna jiwe litaachwa juu ya jiwe, rejea ile operation yao ya kulipiza kisasi dhidi ya mauaji ya Munich kwenye michezo ya Olimpiki mwaka 1972. Mossad wakiamua jambo lao wameamua.Bado hawajampata Sinwar na mateka wao zaidi ya 100.
Bado hawajaamua kuwaokoa mateka wao?Ni suala la muda tu hakuna jiwe litaachwa juu ya jiwe, rejea ile operation yao ya kulipiza kisasi dhidi ya mauaji ya Munich kwenye michezo ya Olimpiki mwaka 1972. Mossad wakiamua jambo lao wameamua.
Unazungumzia nchi gan mkuu. Hii Syria ambayo kila siku ndege za Israel zinashinda huko. Ungesema ile Syria ya miaka ile sio hii kila kipande cha nchi kina kundi linatawala.La Ismail Haniyeh na hili ni tofauti.
Hii habari ina ukakasi.
Kwasababu huwezi ukaleta helikopta hadi ndani ya mipaka ya nchi nyingine na wao wasi react aisee.
Usichukulie watu viazi tunajielewa.
Fighter jet sio sawa na chopper/helikopta.Unazungumzia nchi gan mkuu. Hii Syria ambayo kila siku ndege za Israel zinashinda huko. Ungesema ile Syria ya miaka ile sio hii kila kipande cha nchi kina kundi linatawala.