Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Hizo habari mimi nilijua fake ndo mana hata sikutaka kujibu utumbo wa hi mada. Israel analia huko anasema Yemen anataka kuwashambulia kwa kutumia ground force. Israel wanasema Al Houth wako Syria wanafanya mazoezi ya kutumia tunnels na vipi namna watakavyo vamia base za Israel. Wacha mwenye mada na wafuasi wa 1=3 wajifurahishe 😄La Ismail Haniyeh na hili ni tofauti.
Hii habari ina ukakasi.
Kwasababu huwezi ukaleta helikopta hadi ndani ya mipaka ya nchi nyingine na wao wasi react aisee.
Usichukulie watu viazi tunajielewa.
Kenge sana hawa,yani helikopta ishushe askari wa nchi nyingine taratiibuu halafu eti wawe 18 tu😂😂😅😅😅😅😅.Hizo habari mimi nilijua fake ndo mana hata sikutaka kujibu utumbo wa hi mada. Israel analia huko anasema Yemen anataka kuwashambulia kwa kutumia ground force. Israel wanasema Al Houth wako Syria wanafanya mazoezi ya kutumia tunnels na vipi namna watakavyo vamia base za Israel. Wacha mwenye mada na wafuasi wa 1=3 wajifurahishe 😄
Tulishakubaliana kuwa IRAN ndo taifa lenye wayahudi wengi. Hivyo huwezi jua kuwa siku ya kuitekeleza operation upande wa WALINZI WA IRAN kulikuwa na moles wa kiyahudi. Unategemea nini sasa hapo.Kenge sana hawa,yani helikopta ishushe askari wa nchi nyingine taratiibuu halafu eti wawe 18 tu😂😂😅😅😅😅😅.
Na anayevamiwa ni Iran😅😂😂😂😂😂zingepigwa bomba hapo Israel wakataftana.
Aisee usiongee kiwepesi hivyo.Tulishakubaliana kuwa IRAN ndo taifa lenye wayahudi wengi. Hivyo huwezi jua kuwa siku ya kuitekeleza operation upande wa WALINZI WA IRAN kulikuwa na moles wa kiyahudi. Unategemea nini sasa hapo.
Ipo siku kitamkuta KOMENI afu tutaulizana imekuwaje tena?????
Kwenye hiyo operation huko syria wameua zaidi ya magaidi 18. Na wengine wa Iran wametekwaFighter jet sio sawa na chopper/helikopta.
Tena fighter jet huwa zikija hapo dakika zimepotea baada ya kushambulia.
Sio sawa na hili la helikopta kuja huku linashusha watu taratibu hadi wanashuka na kushambulia.
Tena eneo lenyewe ni nyeti na sio tu nyeti bali Iran ndio analisimamia.
Embu msituone sisi mapunguani.
Hawa 1=3 hata kenge ni bora kuliko wao. Iran kamuwacha US ale hasara wee mwisho kamua kuondoa carries 😄 Afu Iran muhuni kweli anawambia kipigo kipo pale pale sijui watarudisha tena carries.Kenge sana hawa,yani helikopta ishushe askari wa nchi nyingine taratiibuu halafu eti wawe 18 tu😂😂😅😅😅😅😅.
Na anayevamiwa ni Iran😅😂😂😂😂😂zingepigwa bomba hapo Israel wakataftana.
Hizo nyimbo ya kanisani au? Hebu tuonyesheni hao matekwa basi 😄Kwenye hiyo operation huko syria wameua zaidi ya magaidi 18. Na wengine wa Iran wametekwa
Hizo nyimbo ya kanisani au? Hebu tuonyesheni hao matekwa basi 😄
Punguza kupiga gongo kesho si unaenda imba kwaya ya 1=3
Bado hawajaamua kuwaokoa mateka lakini hasara ya mali na maisha iliyotokea baada ya tukio lile si umeiona, huenda hata hao Hamas wanajutia walichokifanya October 7.
Hata syria ni moja ya nchi yenye wayahudi wengi. Myahudi yupo vixuri kwenye intelijensia naamini hata wewe unakubaliana nae. Hupachika moles wengi kwenye jeshi pinzani au nchi adui zakeAisee usiongee kiwepesi hivyo.
Yani jambo kama hili unatoa point nyepesi namna hii!??
Halafu bora ungesema IDF walikuja kwa siri eti na helikopta inaunguruma.
Hivi hao askari wa Syria nao walilala au!?
Lete ushahidi wa Syria kuwa na wayahudi wengi kama Iran.Hata syria ni moja ya nchi yenye wayahudi wengi. Myahudi yupo vixuri kwenye intelijensia naamini hata wewe unakubaliana nae. Hupachika moles wengi kwenye jeshi pinzani au nchi adui zake
Lete ushahidi wa Syria kuwa na wayahudi wengi kama Iran.Hata syria ni moja ya nchi yenye wayahudi wengi. Myahudi yupo vixuri kwenye intelijensia naamini hata wewe unakubaliana nae. Hupachika moles wengi kwenye jeshi pinzani au nchi adui zake
Ulipotoa izo takwimu unapaamini etiLete ushahidi wa Syria kuwa na wayahudi wengi kama Iran.
Maana Iran mayahudi wanafika laki nane.
Ni Iran wenyewe kwanini nisipaamini?Ulipotoa izo takwimu unapaamini eti
Endelea kuwaamini etiiiiii huko huko ndo kuna moles wengi wa IDF.Ni Iran wenyewe kwanini nisipaamini?
Hueleweki nini unapinga.Endelea kuwaamini etiiiiii huko huko ndo kuna moles wengi wa IDF.
Mimi sipingi chochote napokea taarifa kama zinavyotolewa na waliopo uwanja wa medani. Wewe kaza komwe eti waliwezaje kuja na helicopter wasionekana. Sasa hapo hujiulizi kuna uzembe kiwango cha SGR jeshi la IRAN na SYRIA na yumkini vikosi vya IRAN au SYRIA vina mamluki wengi wa IDF?;;?Hueleweki nini unapinga.
Hueleweki nini unalenga.Mimi sipingi chochote napokea taarifa kama zinavyotolewa na waliopo uwanja wa medani. Wewe kaza komwe eti waliwezaje kuja na helicopter wasionekana. Sasa hapo hujiulizi kuna uzembe kiwango cha SGR jeshi la IRAN na SYRIA na yumkini vikosi vya IRAN au SYRIA vina mamluki wengi wa IDF?;;?
Nakusubiri uje ukanushe unachikiamini muda sio mwingiHueleweki nini unalenga.
Ila kiufupi Iran imekanusha hiyo taarifa ya Israel kuvamia.
Na kiuhalisia hata mimi nashawishika na kukanusha kwa Iran.
Kwasababu hilo eneo kuna millitant wengi hadi Hizbollah huwezi ukanishawishi mshuke na helikopta mkiwa 18 tu na mrudi kama mlivyo.
Brooo am an adult with my sanity.