Vikosi maalum vya Israel vyavamia 'eneo la makombora' nchini Syria

mashoga mnatakiwa muelewe magaii haturudi nyuma na hatutaisha milele daima mpk ushoga utokomee duniani
Nani kaongelea ushoga au wewe mwenyewe nilishoga unafikiri wote kama wewe sasa magaidi kama magaidi wenzio hawarudi nyuma mbona mnalia lia dunia imewatenga mnaposhushia kipondo na israel hivi mnapigana au mnapigwa mbona mimi sielewi maana gaza imegeuka majivu
 
Wakati unaropoka huo utumbo Israel kaskazini HAINA MKAAZI HATA MMOJA.
Wamehama kwa kukwepa mabomu ya Hizbollah.
Sasa huo ni ushindi kwa kwa nyie magaidi jeshi bora linalinda raia wake ila nyie magaidi mnajikinga na raia ndio maana israel imeondoa raia wake wasipande madhara ila magaidi kama hamas wanawazuia raia wasihame ili wajikinge nao
 
Sasa huo ni ushindi kwa kwa nyie magaidi jeshi bora linalinda raia wake ila nyie magaidi mnajikinga na raia ndio maana israel imeondoa raia wake wasipande madhara ila magaidi kama hamas wanawazuia raia wasihame ili wajikinge nao
Lete ushahidi wa raia kukatazwa na Hamas kuhama!?
Israel iliwahamisha raia na kuwapeleka Khani Younis,na Hamas wapo Central na Northen Gaza.
Wao wakawa wanashambulia hadi Khani Younis.Ilipelekea hadi kumuua French consulate official.
Haijatosha wakawahamisha Rafah.
Bado kule kule Rafah wakawa wanawalipua hao raia ilhali Hamas kule hawapo.
Ilipelekea kuua hadi raia wanne wa USA walioenda kupeleka msaada wa chakula Rafah.

Lete ushahidi wa Hamas kuzuia raia kuhama.
 
Ilibidi makomandoo wateule washuke kwasababu walijenga chini ya ardhi ambapo makombora yasingeharibu mahandaki hayo ya kigaidi. Na kabla ya kuchukua documents na vifaa vingine akaweka vilipuzi na walipoondoka kukalipuka muajemi wakabaki kushangaa hawa ni binadamu wa ajabu wa aina gani.

T14 Armata
 
Hao Syria wanatumika kinyume na maslahi yao. Wanaingia hasara ya bure kisa Iran
 
Wakati unaropoka huo utumbo Israel kaskazini HAINA MKAAZI HATA MMOJA.
Wamehama kwa kukwepa mabomu ya Hizbollah.
Wewe ni mfia dini?
 

Attachments

  • 5520872-194fc953bea427ccfef7832aef21a538.mp4
    7.4 MB
Kwamba ndani ya muda mfupi waisrael walifanikiwa kuliteka eneo muhimu sana tena la kijeshi na wakapata muda wakufanya watakalo bila kupoteza hata askari wao mmoja!? Basi sawa!
Israel inambinu mashallah. Waarabu tuna jambo la kujifunza hapa.
 
Unazijua helcopta za apatche wewe?
Muulize pakistan ndo anajua utamu na machungu ya hizi helcopta hata alquaeda wanazijua. Kukubali au kukataa hizo sio shida zetu.
 
Mkuu siwanapitia Syria na Lebanon wameisha kwenda wako Syria.

Na leo wamepiga Israel kwa missiles.



View: https://youtu.be/dIWXyXTnj3k?si=YrLy3AD2WsCCrH67
Acha masghara bana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐ŸŽถMtoto kautaa mtoto kautaa
Mtoto kautaa mtoto kautakaa๐ŸŽถ๐ŸŽถ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Hawa jamaa mirungi ishakaa kichwani uwaambie nini tena!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ