Vikosi vya Israel vinawashambulia kikatili Wakisto wa Orthodox huko Jerusalem kwa kupinga mauaji ya halaiki huko Gaza

halafu kwa pich ahiyo hapo, kwa namna walivyofuga hizo ndevu na kuzisuka, hao ni wayahudi wenye siasa kali.
 
halafu kwa pich ahiyo hapo, kwa namna walivyofuga hizo ndevu na kuzisuka, hao ni wayahudi wenye siasa kali.
WEWE NENDA KWA MWAMPOSA AKAKUUZIA MAFUTA NA MCHANGA KISHA AKUIMBISHE MAPAMBIO YA KULISIFU ISRAEL TAIFA LA MUNGU,HUNA UNALOJUA MGALATIA
 
Dini zote zililetwa.
Allah ni mungu wa kiarabu na anasikia lugha moja tu ya kiarabu.
Wewe ngozi nyeusi unayejifananisha na mwaarabu, bila kutumia lugha ya mwaarabu hakusikii. Hata bila kuvaa nguo za waarabo allah hakutaki.
we jamaa unaubongo matakoni si bure. [emoji23]
 
WEWE NENDA KWA MWAMPOSA AKAKUUZIA MAFUTA NA MCHANGA KISHA AKUIMBISHE MAPAMBIO YA KULISIFU ISRAEL TAIFA LA MUNGU,HUNA UNALOJUA MGALATIA
siwezi kwenda kwa mwamposa hata siku moja. ila siwezi zaidi kwenye kwenye imani yako ya makobazi hata iweje.
 
Ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
Japo mimi ni mjinga lakini kamwe siwezi kuchumbia Katoto ka miaka sita na kukaoa kakiwa na miaka tisa kama alivyofanya mohamed.
Japo mimi ni mjinga kamwe siwezi kujitoa Muhanga ili nipewe bikira 72 za kiarabu.

Wahi gaza kawasaidie magaidi wa hamas kazi ya allah sabana watala.
 
Wawashambulie tu kwa kweli. Hao Wakristo wanajua uchungu wanaopitia waisrael kushambuliwa na wapalestine?
 
Kwa Hali ya Sasa ilivyo hao wanastahili kufanywa hivyo.
 
Maskini wakristo wamepigwa mkwara huko kwa kutetea wapalestina wenzao.
Wakristo wa kiafrika wametekwa nyara kwa kuletewa makanisa ya kisabato. Wanajiita ni wakristo kumbe ni wayahudi.
Wakristo wanajielewa wanajua wanachokiabudu
 
Ningependa kukujibu hoja yako lakini kwakuwa unatumia maneno makali na yasiyo na staha wakati mwingine,acha uwe mshindi hapa Mkuu [emoji122][emoji122].
 
Wewe endelea tu kutumia dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili utapona Inshallah ukiziacha utarudishwa tena Mirembe pole sana
 
Ningependa kukujibu hoja yako lakini kwakuwa unatumia maneno makali na yasiyo na staha wakati mwingine,acha uwe mshindi hapa Mkuu [emoji122][emoji122].
Sioni hoja ya kunijibu labda ungeniambia ni kwann nyinyi warokole kutoka bara la giza mnajipendekeza kwa wayahudi hali ya kuwa hamna mahusiano yeyote ya kiimani,sasa mnatakiwa mtuambie huwa mnajipendekeza kwa misingi ipi ?

Mbona wakristo wenzenu kutoka mabara mengine hawana huo ufala?
 
Sasa mimi kutoka Bara la giza kumbe naweza jibizana na wewe pure mwarabu wa Oman au Yemen?
 
🤔hii video inawezekana ni ya siku nyingi haihusiani na vita ya sasa
Na ni Orthodox Jews sio Christians.
Orthodox Jews ndiyo wale wenye siasa Kali kabisa hawamtambui palestina.
Orthodox jews hata marekani juzi waliandamana ndio wanataka kuishi na wapelistina kwa amani na walikuwa wanampinga biden kwenye mkutano wake wakitaka asitishe vita na asipeleke silaha israel, wanaotaka vita na wanaoiba ardhi ni settlers ambao wengi ni wazungu kutoka ulaya
 
Unazo akili ila hujui kuzitumia
 
🤔hii video inawezekana ni ya siku nyingi haihusiani na vita ya sasa
Na ni Orthodox Jews sio Christians.
Orthodox Jews ndiyo wale wenye siasa Kali kabisa hawamtambui palestina.
Hii marekani jew rabbi ame muattack biden asitishe vita hawa ndio orthodox jews ni watu ambao wameishi na wapalestina kwa amani miaka yote kabla ya hawa settlers au wazayuni kuanza siasa zao za kizayuni
 

Attachments

  • Screenshot_20231102-120604_Instagram.jpg
    77.7 KB · Views: 1
Chanzo cha taarifa?
Orthodox jews ndio jews wenyewe sio hawa settlers kutoka europe , miaka ya nyuma kabla ya siasa za kizayuni jews na palestines waliishi kwa amani na upendo wa hali ya juu hadi sasa dunia nzima orthodox jews wanaandamana hawataki vita viendelee na hawampendi netanyahu kwa siasa zake za kizayuni , wizi na rushwa ndio hao wanaomshinikiza atoke hadi kaenda kujificha,
 

Attachments

  • Screenshot_20231102-184828_Chrome.jpg
    93.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20231102-120604_Instagram.jpg
    77.7 KB · Views: 1
Maskini wakristo wamepigwa mkwara huko kwa kutetea wapalestina wenzao.
Wakristo wa kiafrika wametekwa nyara kwa kuletewa makanisa ya kisabato. Wanajiita ni wakristo kumbe ni wayahudi.
kwann mnaleta udini sana kwenye mambo ya kisiasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…