Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Yaani mkuu Ukitaka kuishi kama sultani kwenye awamu ya huyu Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
LA sivyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Kodi za kujenga Chato lipeni nyinyi wa Chato.
 
Mpaka vizazi Vyao
 
Ukiangalia hizi comments za watu humu ndio utaona tofauti kati yetu waafrika na wazungu, ukiacha hayo mengine tusioweza kuyafanya ya kimaendeleo yani sisi hata kupambania kile tunachoona hakipo sawa napo hatuwezi mpaka hilo nalo mzungu atusaidie sie tunachoweza hapo ni kushabikia tu. Sie hakuna chochote cha maana tunachoweza kufanya duniani hii kazi ni kuangaika kudai demokrasia unaweza kusema ndio kila kitu hata hivyo pia mpaka watusaidie wazungu.
 
Kwa hiyo watalazimisha kupata viza? Wajaribu tuone jeuri kama wanayo
 
Judge wetu wewe, maadili ya kazi yako unayajua vyema kabisa, je ulitenda haki sawa na maadili hayo? Mola ndie muamuzi wa haki na ndie atakuhukumu kwa haki sawa na matendo na kiapo chako!
Kuna Majaji huwa wanatishiwa kwa kushikiwa bastola na mawakala wa TISS kabla ya maamuzi. Namuelewa vizuri Jaji Kaijage si mtu wa kupindisha, ila kulikuwa na nguvu ya kutishia maisha yake.
 
NEC wanafanana na Kaini wa Bibilia , Mungu anamuuliza yu wapi nduguyo anasema mim si mlinzi wake. Zaburi 53: 1 Mpumbavu anasema moyoni mwake hakuna Mungu. Hivyo hutenda maovu, hukataa haki, hukataa mema kufikiri hakuna aliye mwema na moyoni mwake amemkataa Mungu n unataka sheria
 
Mkuu ukweli utabaki pale pale
Wapiga dili lazima muumie sana kwenye awamu hii maana mianya imeziba kabisa
Lakini Sisi wazalendo tunapeta tu
We are driving V8
Do you have any idea what is V8?
 
Mahakama zipi hizo mpinzani atasikilizwa zimeshapuuzwa ukiona watu hawaendi mahakamani jitafakari Sana mahakama zenyewe zinasubiri maagizo Toka juu. Cdm walifungua kesi mahakamani za kupinga wagombea kuenguliwa mpaka Leo mahakama ipo kimya
 
“Hatujapata taarifa rasmi zaidi ya kuona katika mitandao na hatuwezi kufanyia kazi vitu vya mitandaoni. Wizara yetu ina utaratibu mzuri wa mawasiliano na Balozi na hatujaletewa taarifa rasmi,” alisema Buhohela.
Viongozi badilikeni , Nchi na Taasisi nyingi Duniani kwa sasa zinaongozwa kidigiatli, watu wana twit na ujumbe unafika. Mkisubiri taarifa rasmi wenzenu wana chanja mbuga, Wanafanya mamuzi . Trump ameongoza Marekani miaka 4 kwa twitter.
 
Pompeo asubiri kwenda kwa mparange??? habari yake haitushtui🤣🤣🤣
 
Nani anataka kwenda marekani?

Mabeberu wanatuonea wivu kwa sababu tupo Uchumi wa kati na RAIA WOTE wa Tanzania wanamaisha mazuri sana tofauti na zamani
Sidhani Kama una akili timamu
Uchumi wa mji wa Las Vegas ni mkubwa kuliko nchi zote za Afrika
Wewe unayejengewa matundu ya vyoo kwa hisani ya watu wa Marekani ndio
wa kuonewa wivu
Punguza ushamba
 
Pompeo mwenyewe kawekewa vikwazo haruhusiwi kukanyaga China na Hongkong.
Huko akafuate nini Corona. Kuna nchi duniani ukiwa na hela yako ukipigwa BAN Kichwa kinauma sio Huo cjui hong kong cjui China. Mpango mzima ni USA mkuu. Wew hapo ulipo uambiwe marufuku US na mpunga unao utajisikiaje.usipime mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…