Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Yeye na Trump wake waliibana China RAISI MPYA KAJA kasema atarudisha uhusiano wa marekani ulioharibiwa na Pompeo na kamtaja kwa jina kabisa kuwa ndie mharibufu mkubwa aliyeharibu uhusiano wa Marekani na mataifa mengine.Kwenye hotuba kamtaja kwa jina

Uhusiano wa Tanzania na marekani ulikuwa mzuri mno ndio maana maraisi kibao wa marekani walifurika hapa lilivyoingia li Pompeo likaharibu kabisa kutwa kutuponda twitter safari hii kakutana na kidume Biden Kamtaja kabisa kama mtu aliyeharibu mahusiano ya marekani na nchi zingine
Vipi JPM hakutajwa?
 
Sina haja ya kwenda nchi za watu maana mimi nipo Kwangu Tanzania na napata mahitaji yote Bure
Shule bure
Huduma za afya bure
Ajira ya kumwaga
Maisha rahisi sana
Yaani Tanzania ya Magufuli neema tupu
Tatizo lipo kwa wapiga dili Yaani lazima waumie tu maana mianya imeziba kabisa
Mlamba makalio katika ubora wake
 
Ndio shida ya mafuasi ya Magufuli

Akili mavi matupu

Hivi wewe unadhani viongozi wa nchi serious wakiongea wanaongea blah blah,tishia nyau?

Hiyo umezoea kwenye linchi mavi kunuka huko la CCM!

Watu wapo serious na wanachokisema

Ukipigwa BAN na USA umepigwa ban nchi nzima,unabisha nini wewe maiti?

Ukipigwa na USA ban maana yake G20 yote hupeleki matako

Baada ya hapo vinakuja vinchi vidogo vyote vyenye kunuka mavi,vyote vinapewa directive,hii list ni banned,sasa wewe pitisha hao wasenge then uone what is next!

Yaani wewe unadhani hii dunia una-run wewe?Hu-run wewe maiti!

Hiyo ni travel ban,ukijifanya una matako makubwa unajibu mavi,wanakufata na financial ban.....hutakaa utume hela nje ya nchi kununua chochote,sio wewe tu,na uzao wako wote na makampuni yote yenye uhusiano na wewe TZ......

Hutaweza agiza gari Japan au kununua toothpick China,na hiyo sio wewe tu,wewe na ukoo wako wote na watu wako wa karibu suspected una-benefit from!

Panueni matako zaidi muone Biden atawafanya nini....mavi matupu nyie

ahahaha daaah ndo maaana mko ufipa, edward snowden unamjua?
 
Viongozi wote wakuu, Raisi, makamu, waziri mkuu, IGP, mkuu wa majeshi, mwenyekiti wa tume ya uchaguzi,na wote waliosimamia uchaguzi kwa kofia ya tume, Spika, naibu Spika, Hawa wote hawastahili kupata visa ya kwenda, USA, UK, canada, Wapewe na vikwazo vya kiuchumi.
Kwa kawaida hizo makatazo ya visa huambatana na vikwazo vya uchumi.
Subiri kelele za shubiri ya hivi vikwazo.
 
These people have started being restless. Nobody mentioned Kaijage, why would he go public for something that doesn't concern him or is he responding on someone's behalf?
 
Jaji Kapaniki au siyo maana anajua Jina lake halikosekani hapo yeye, Mkewe na Watoto wake...na Wahaya wanavopenda Marekani huyu Lazima afe kwa Kihoro

Akili nyingine bwana!! Sasa hapo suala la Wahaya linaingia ingiaje?
 
Sidhani Kama una akili timamu
Uchumi wa mji wa Las Vegas ni mkubwa kuliko nchi zote za Afrika
Wewe unayejengewa matundu ya vyoo kwa hisani ya watu wa Marekani ndio
wa kuonewa wivu
Punguza ushamba
Wazungu wanataka kututawala Ndio maana inawaima kusikia tupo Uchumi wa kati
Wakiona midege hewani wanajisikia vibaya
Na kwa sasa jinsi maisha yalivyokua bora kwa kila mtanzania lazima waumie
Yaani kuanzia Wafanyabiashara. Wafanyakazi hata Wakulima maisha ni bam bam
Shule bure kuanzia msingi mpaka secondary
Huduma za afya bure
Zahanati kila kona
Yaani Tanzania ya Magufuli neema tupu
 
Wazungu wanataka kututawala Ndio maana inawaima kusikia tupo Uchumi wa kati
Wakiona midege hewani wanajisikia vibaya
Na kwa sasa jinsi maisha yalivyokua bora kwa kila mtanzania lazima waumie
Yaani kuanzia Wafanyabiashara. Wafanyakazi hata Wakulima maisha ni bam bam
Shule bure kuanzia msingi mpaka secondary
Huduma za afya bure
Zahanati kila kona
Yaani Tanzania ya Magufuli neema tupu
Watu waliokuzidi miaka 300 mbele wakoonee wivu ambae bado unategemea msaada wa kujengewa choo miaka 60 ya Uhuru watu wako wanakufa kwa kukosa 500 ya Panadol
 
Hivi vikwazo sijui vinaenda umbari gani kama mwenyekiti Ban inatakiwa iwalambe watoto na wajukuu,tena kama kuna wanaosoma USA rudisha huku wamekosa vigezo.Hapo kifungo ndo kitapendeza
 
Bwana Mahera na Bwana Kaijage hii ban inawahusu kwa vyovyote!
 
Mahakama za kutenda haki kwa wapinzani ziko wapi Tanzania hii kama hata na huyo jaji naye ni zao la hizo mahakama.

Kwenye kesi yoyote ambayo mpinzani anashitakiwa na serikali hukumu huamuliwa na rais na kusomwa na hakimu au jaji tuliona hata kwa kesi ya Sugu, Lema nk, mahakama ni za kisiasa tu ni Kangaroo Courts.
 
Back
Top Bottom