Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Hapo nimekusoma mkuu,nilidhani watayaweka majina hadharani kama walivyofanya kwa Makonda.
Mimi huwa nacheka sana Wamarekani wanavyoona kuwanyima visa viongozi wa Tanzania ni kuwawekea vikwazo, wakati Magufuli mwenyewe ndiyo kwanza anaona wanamsaidia kazi ya kuzuia wafanyakazi wa serikali kusafiri nje.
 
Haya matoto bwana

Yanajiongelesha ongelesha kama mavichaa

Eti "hawajasema wanachokilalamikia"....etc etc

Wacha wajifanye kutokuelewa,wataelewa vizuri

Na atokee kiazi mwingine aongee mbovu kuhusu USA tena,wataona new SEC of State atanyanyua ban to higher state ya "Kuvunja Haki za Binadamu"

Sasa hivi wameachwa kwenye "Kuvuruga Uchaguzi Mkuu".

Sasa watokee vibaraka wa serikali watoe matamko ya kipumbavu kuidharau USA waone next step!

Maana hii aliitoa Pompeo pale tu jiwe alipotoa maneno mabovu kwa US mbele ya balozi wa UK alipokua anafungua shule ya Ihungo....

Baada ya matamko yale tu,in an hour or so,Pompeo ka-launch ana arsenal,uzuri hajataja watu,bado list ni confidential

Siku kapumbavu kama sijui Ole Sabaya kanaenda kuomba visa popote,kanapigwa decline ndio mtajua whats up!

Na hii sio kwa hivi vijiongozi mavi mavi tu,hadi familia zao,any binadamu related to these monkeys!

Na uzuri wa Ban ya USA ni worldwide,sio eti kwenda USA pekee yake,mzee ni worldwide hata kwenda hapo Kenya....

Now you get the fvcking picture how dangerous this is!
Mkuu umeandika KWA hasira Sana,punguza hasira mkuu, japo Kuna Jambo nimeelewa kupitia andiko lako
 
Haya matoto bwana

Yanajiongelesha ongelesha kama mavichaa

Eti "hawajasema wanachokilalamikia"....etc etc

Wacha wajifanye kutokuelewa,wataelewa vizuri

Na atokee kiazi mwingine aongee mbovu kuhusu USA tena,wataona new SEC of State atanyanyua ban to higher state ya "Kuvunja Haki za Binadamu"

Sasa hivi wameachwa kwenye "Kuvuruga Uchaguzi Mkuu".

Sasa watokee vibaraka wa serikali watoe matamko ya kipumbavu kuidharau USA waone next step!

Maana hii aliitoa Pompeo pale tu jiwe alipotoa maneno mabovu kwa US mbele ya balozi wa UK alipokua anafungua shule ya Ihungo....

Baada ya matamko yale tu,in an hour or so,Pompeo ka-launch ana arsenal,uzuri hajataja watu,bado list ni confidential

Siku kapumbavu kama sijui Ole Sabaya kanaenda kuomba visa popote,kanapigwa decline ndio mtajua whats up!

Na hii sio kwa hivi vijiongozi mavi mavi tu,hadi familia zao,any binadamu related to these monkeys!

Na uzuri wa Ban ya USA ni worldwide,sio eti kwenda USA pekee yake,mzee ni worldwide hata kwenda hapo Kenya....

Now you get the fvcking picture how dangerous this is!
Mkuu ulichokiandika ni kweli? Ban ya USA ni dunia nzima!!
 
Atakuwa amewekewa vikwazo mbowe maana mpaka Sasa hawajui wanamuwekea Nani hivyo vikwazo.
Kama ni IGP sidhani Kama alishaenda huko kuspend Sasa anayependa kwenda huko ni mbowe na nyarandu kwa wanasiasa.
Mkuu si busara kujitoa ufahamu.
Kwani Mbowe kavuruga uchaguzi upi?

Nijuavyo upinzani na wapiga kura wamevurugiwa uchaguzi na mamlaka zote za maCCM.

Tamko linawalenga wao na huyo IGP ana mradi unaofadhiliwa na wamarekani, sasa asahau.
 
Hivi kweli wewe Jaji Kaijage ni mzima kweli?

Unawezaje kusema kuwa wale ambao hawakuridhika na matokeo wapeleke malalamiko yao kwenye vyombo vya sheria?

Hivi kwani wewe Jaji Kaijage, unadhani wale wagombea wa Urais, watapeleka wapi malalamiko yao, wakati nyinyi wenyewe mmeawafungia milango ili wasiweze kupeleka popote malalamiko yao?

Au ndio tuseme unajifanya umejisahaulisha, kwa kujifanya kuwa huijui ile sheria inayosema matokeo yakishatangazwa na Tume ya uchaguzi, hakuna mahakama yoyote hapa nchini itakayoruhusiwa kusikiliza Shauri hilo?
Huyu jaji ni hovyo kuwahi kutokea, anakera sana.
 
Waweke list ya wahusika bas, safi sana na waendelee kuweka vikwazo hadi kwenye Uchumi.
 
Mkuu si busara kujitoa ufahamu.
Kwani Mbowe kavuruga uchaguzi upi?
Nijuavyo upinzani na wapiga kura wamevurugiwa uchaguzi na mamlaka zote za maCCM.
Tamko linawalenga wao na huyo IGP ana mradi unaofadhiliwa na wamarekani, sasa asahau.
Mnahangaika saana, dua zenu kila mara zinagonga mwamba sasa sijui mtashika wapi?
 
Sasa China kuna jambo gani? Umeshawahi kusikia mtu analilia viza ya China?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenda kula vyura, wachina wenyewe wanakimbia kwao, wanejazana ubungo pale kibao lol.
 
Wakati Marekani ikitangaza kuweka vikwazo kwa baadhi ya maofisa wa Serikali ya Tanzania kwa madai ya kuvuruga uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imejibu madai hayo ikisema zipo sheria za kufuata kama kuna kasoro.

Taarifa ya kusudio la kuweka vikwazo vya visa kwa Watanzania imetolewa juzi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Michael Pompeo aliyeandika katika ukurasa wake wa Twitter akisema ni kutokana na vitendo vya kuingiliwa kwa uchaguzi huo.

“Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo (juzi), tunaweka vikwazo vya visa kwa wale waliohusika kuingilia uchaguzi nchini Tanzania. Tunaendelea kufanya kazi kuendeleza demokrasua na mafanikio ya pamoja kwa nchi zetu mbili,” umesomeka ujumbe wa Pompeo katika Twitter.

Hata hivyo, taarifa ya Pompeo iliyotolewa Januari 19 katika tovuti ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, haijataja maofisa wanaolengwa na vikwazo hivyo, lakini inafuatilia kwa karibu mwenendo wa demokrasia na haitasita kuchukua hatua zaidi.

Kwa upande wake Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Emmanuel Buhohela alipoulizwa kwa simu kuhusu taarifa hiyo alisema hawajaipata rasmi.

“Hatujapata taarifa rasmi zaidi ya kuona katika mitandao na hatuwezi kufanyia kazi vitu vya mitandaoni. Wizara yetu ina utaratibu mzuri wa mawasiliano na Balozi na hatujaletewa taarifa rasmi,” alisema Buhohela.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage alisema taarifa hiyo haijafafanua kinacholalamikiwa na sheria za Tanzania zinaelekeza kupeleka mashitaka mahakamani pale mlalamikaji anapoona sheria hazikufuatwa.

“Hayo ni maoni yao, sasa Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi atafanya nini? Waeleze basi huo uchaguzi uliingiliwaje? Maelezo yao hayajaeleweka bado,” alisema.

Jaji Kaijage aliyesema kwa sasa yuko likizo, alisema katika uchaguzi huo kulikuwa na waangalizi na walitoa ripoti zao za awali na wameendelea kutoa ripoti kuu.

“Kulikuwa na accredited observers (waangalizi waliopewa vibali) na walitoa ripoti. Tuone walisemaje kwenye ripoti zao. Kama Marekani walikuwa na waangalizi ripoti yao itaonyesha. Kwa sasa mimi niko likizo sijaona ripoti walizotoa.

Aliendelea kufafanua; “Unaposema uchaguzi umeingiliwa inakuwa ni general statement kauli ya jumla). Ni lazima useme umeingiliwa kivipi? sio sweeping statement. Sheria zetu ziko wazi kama unaona kuna kasoro baada ya uchaguzi unafanya uchunguzi wa kisheria uone kama kuna makosa labda katika uteuzi wa wagombea au wakati wa kupiga kura. Baada ya hapo unakwenda mahakamani kushitaki.”

Alipoulizwa kuhusu vikwazo hivyo alisema: “Issue sio mara ya kwanza au ya pili kuwekewa vikwazo, ila ni basis (msingi) ya hivyo vikwazo. Aulizwe yeye aliyechukua hatua na sio sisi. Lakini statement yao iko too general, haiko concrete.”

Katika tovuti ya Serikali ya Marekani umetolewa ufafanuzi wa kauli ya Pompeo ikisema vitendo vilivyofanywa na maofisa wanaotuhumiwa ni mwendelezo wa ukandamizaji wa demokrasia.

“Waangalizi wa uchaguzi na asasi za kiraia zilishuhudia ukandamizaji na uvunjifu wa haki za binadamu, kabla, wakati na baada ya uchaguzi. Wagombea wa upinzani walienguliwa, wananyanyaswa na kukamatwa.

“Kuongezeka kwa kasoro za upigaji kura, kufungwa kwa intaneti, manyanyaso kwa waandishi wa habari na vurugu zilizosababishwa na vyombo vya usalama vyote viliufanya uchaguzi huo usiwe huru wala wa haki. Viongozi wa asasi za kiraia walipata vitisho na wa upinzani wamekimbia nchi wakihofia usalama wao,” imesema taarifa hiyo.

Marekani imeitaka Serikali ya Tanzania kuchunguza na kuwachukulia hatua waliohusika na makosa ya uchaguzi na vurugu

Hii si mara ya kwanza kwa Marekani kuweka vikwazo vya visa kwa watendaji wa Serikali ya Tanzania. Januari 31, 2020, Pompeo alitangaza kumpiga marufuku aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na mkewe kuingia nchini humo kwa madai ya uvunjifu wa haki za binadamu.

Wafuate sheria ipi wakati wanafungwa kwa kutoa mawazo yao! Mahakama imewekwa mfukoni na CCM hakuna pakwenda na wananchi wwngi ni madogo wenye umri wa miaka 25 na kushuka na wengi hata hawajui dunia inavyoenda
 
Viongozi wote wakuu, Raisi, makamu, waziri mkuu, IGP, mkuu wa majeshi, mwenyekiti wa tume ya uchaguzi,na wote waliosimamia uchaguzi kwa kofia ya tume, Spika, naibu Spika, Hawa wote hawastahili kupata visa ya kwenda, USA, UK, canada, Wapewe na vikwazo vya kiuchumi.
Umeamua kurahisisha zoezi la kuwataja mkuu?
 
Mimi huwa nacheka sana Wamarekani wanavyoona kuwanyima visa viongozi wa Tanzania ni kuwawekea vikwazo, wakati Jiwe mwenyewe ndiyo kwanza anaona wanamsaidia kazi ya kuzuia wafanyakazi wa serikali kusafiri nje.
Sasa tatzo wafanyakazi hao wa Magufuli wanapenda kwenda nje.
Upo hapo?
 
Bado mnaota matokeo.
Haya matoto bwana

Yanajiongelesha ongelesha kama mavichaa

Eti "hawajasema wanachokilalamikia"....etc etc

Wacha wajifanye kutokuelewa,wataelewa vizuri

Na atokee kiazi mwingine aongee mbovu kuhusu USA tena,wataona new SEC of State atanyanyua ban to higher state ya "Kuvunja Haki za Binadamu"

Sasa hivi wameachwa kwenye "Kuvuruga Uchaguzi Mkuu".

Sasa watokee vibaraka wa serikali watoe matamko ya kipumbavu kuidharau USA waone next step!

Maana hii aliitoa Pompeo pale tu jiwe alipotoa maneno mabovu kwa US mbele ya balozi wa UK alipokua anafungua shule ya Ihungo....

Baada ya matamko yale tu,in an hour or so,Pompeo ka-launch ana arsenal,uzuri hajataja watu,bado list ni confidential

Siku kapumbavu kama sijui Ole Sabaya kanaenda kuomba visa popote,kanapigwa decline ndio mtajua whats up!

Na hii sio kwa hivi vijiongozi mavi mavi tu,hadi familia zao,any binadamu related to these monkeys!

Na uzuri wa Ban ya USA ni worldwide,sio eti kwenda USA pekee yake,mzee ni worldwide hata kwenda hapo Kenya....

Now you get the fvcking picture how dangerous this is!
 
Back
Top Bottom