Haya matoto bwana
Yanajiongelesha ongelesha kama mavichaa
Eti "hawajasema wanachokilalamikia"....etc etc
Wacha wajifanye kutokuelewa,wataelewa vizuri
Na atokee kiazi mwingine aongee mbovu kuhusu USA tena,wataona new SEC of State atanyanyua ban to higher state ya "Kuvunja Haki za Binadamu"
Sasa hivi wameachwa kwenye "Kuvuruga Uchaguzi Mkuu".
Sasa watokee vibaraka wa serikali watoe matamko ya kipumbavu kuidharau USA waone next step!
Maana hii aliitoa Pompeo pale tu jiwe alipotoa maneno mabovu kwa US mbele ya balozi wa UK alipokua anafungua shule ya Ihungo....
Baada ya matamko yale tu,in an hour or so,Pompeo ka-launch ana arsenal,uzuri hajataja watu,bado list ni confidential
Siku kapumbavu kama sijui Ole Sabaya kanaenda kuomba visa popote,kanapigwa decline ndio mtajua whats up!
Na hii sio kwa hivi vijiongozi mavi mavi tu,hadi familia zao,any binadamu related to these monkeys!
Na uzuri wa Ban ya USA ni worldwide,sio eti kwenda USA pekee yake,mzee ni worldwide hata kwenda hapo Kenya....
Now you get the fvcking picture how dangerous this is!