Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Ujamuelewa isome kinyume hio postSidhani Kama una akili timamu
Uchumi wa mji wa Las Vegas ni mkubwa kuliko nchi zote za Afrika
Wewe unayejengewa matundu ya vyoo kwa hisani ya watu wa Marekani ndio
wa kuonewa wivu
Punguza ushamba
Huyo jamaa ni wale wafuga N'gombe aliekuwa akiwaongelea Nape atakusumbua ni mawazo mgando.Sidhani Kama una akili timamu
Uchumi wa mji wa Las Vegas ni mkubwa kuliko nchi zote za Afrika
Wewe unayejengewa matundu ya vyoo kwa hisani ya watu wa Marekani ndio
wa kuonewa wivu
Punguza ushamba
Utajisikia Kama bashite tu siku hizi anaiangalia USA and europe kwenye youtube tu.Huko akafuate nini Corona. Kuna nchi duniani ukiwa na hela yako ukipigwa BAN Kichwa kinauma sio Huo cjui hong kong cjui China. Mpango mzima ni USA mkuu. Wew hapo ulipo uambiwe marufuku US na mpunga unao utajisikiaje.usipime mkuu
JUZI LILIKUWA KWENYE MSIBA WA MAMA FULANI KITENDAGULO, NILILIANGALIA NIKATEMA MATEJaji mpuuzi kweli huyu halafu utakuta nayeye anaenda kanisani
Imezibwa kwa wasio na chapa pekeeYaani mkuu Ukitaka kuishi kama sultani kwenye awamu ya huyu Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
LA sivyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
kwahiyo....Pompeo mwenyewe kawekewa vikwazo haruhusiwi kukanyaga China na Hongkong.
Kwani wewe wakati uchaguzi unachakachuliwa hukuwepo Tanzania? Basi kama ndivyo, hayo majina hayakuhusu.Majina ya waliowekewa vikwazo yako wapi?
Hii mijitu ya Sengerema wewe acha kabisa mkuu. Inatia hasira hakuna mfano.Wanataka kasoro zipelekwe mahakama zao. Watapeleleza miaka mitano.
Hii mijitu ni laana tupu. Pompeo ameeleza sababu za kutosha zenye ushahidi.
Ngoja muda uamue
Hizo ni orders ambazo ziko kwenye mafaili zitakuja kua revised. Sio kwamba sababu kaondoka ofisini basi yameisha.Pombeo aliandika kusudio lake na serikali yake ya Trump ambayo imeshafungashwa virago na makusudio mengi aliyoweka Trump Raisi mpya jana kayafutilia mbali.
Hilo kusudio lake sasa ampelekee mkewe
Hahahahaa
Pompeo kawekewa vikwazo China Mainland,HongKong na Macau
Sasa angalia CCP officials wamewekewa wapi na wapi?DUNIA NZIMA!
I mean,DUNIA NZIMA!
Who's the boss?
Europe hawawezi kupingana na tamko la visa katoa Marekani. Marekani kalitoa kwa niaba ya washirika wake wote.Kina Jaji Kaijage na Mahera waende Yuropu na Asia ila Marekani wasahau au kama vipi Chato ipo!
Ni jambo jema
Anayeweka vikwazo sio pompeo bali ni wizara, anayefunga mtu sio jaji/hakimu bali ni mahakamaPompeo mwenyewe kawekewa vikwazo haruhusiwi kukanyaga China na Hongkong.