Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Sidhani Kama una akili timamu
Uchumi wa mji wa Las Vegas ni mkubwa kuliko nchi zote za Afrika
Wewe unayejengewa matundu ya vyoo kwa hisani ya watu wa Marekani ndio
wa kuonewa wivu
Punguza ushamba
Ujamuelewa isome kinyume hio post
 
Sidhani Kama una akili timamu
Uchumi wa mji wa Las Vegas ni mkubwa kuliko nchi zote za Afrika
Wewe unayejengewa matundu ya vyoo kwa hisani ya watu wa Marekani ndio
wa kuonewa wivu
Punguza ushamba
Huyo jamaa ni wale wafuga N'gombe aliekuwa akiwaongelea Nape atakusumbua ni mawazo mgando.
 
Huko akafuate nini Corona. Kuna nchi duniani ukiwa na hela yako ukipigwa BAN Kichwa kinauma sio Huo cjui hong kong cjui China. Mpango mzima ni USA mkuu. Wew hapo ulipo uambiwe marufuku US na mpunga unao utajisikiaje.usipime mkuu
Utajisikia Kama bashite tu siku hizi anaiangalia USA and europe kwenye youtube tu.
 
Hata kama Marekani hawajataja wahusika, kila mtanzania anafahamu kilichotokea na wahusika wakuu ni akina nani. Asidhani kila mtanzania ni mbumbumbu.
 
Yaani mkuu Ukitaka kuishi kama sultani kwenye awamu ya huyu Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
LA sivyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Imezibwa kwa wasio na chapa pekee
 
Pompeo mwenyewe kawekewa vikwazo haruhusiwi kukanyaga China na Hongkong.
kwahiyo....
wewe na china mpo sawa? wacheni fimbo za mkubwa ziwaingie mana mlijiona hakuna wa kuwagusa mtafanya mpendavyo.
 
Tena wangeanza kabisa na kuwafurusha watoto,ndugu na jamaa zao wanaosoma huko warudishwe kuisoma namba.
 
Pombeo aliandika kusudio lake na serikali yake ya Trump ambayo imeshafungashwa virago na makusudio mengi aliyoweka Trump Raisi mpya jana kayafutilia mbali.

Hilo kusudio lake sasa ampelekee mkewe
Hizo ni orders ambazo ziko kwenye mafaili zitakuja kua revised. Sio kwamba sababu kaondoka ofisini basi yameisha.

Na utawala ambao utakua mkali zaidi kwa wakiukaji wa demokrasia ni huu wa Biden. So don't think kuwa hayo maamuzi yatukua reversed.
Yanaweza kutiliwa mkazo na kuongezewa vikwazo zaidi.
 
Kina Jaji Kaijage na Mahera waende Yuropu na Asia ila Marekani wasahau au kama vipi Chato ipo!
 
Sijui majaji wengine wamepataje ujaji. Uchafuzi ulifanyika hadharani na bado unabisha. Katiba yenyewe inakataza matokeo ya rais kuhojiwa mahakamani na jaji anawataka watu waende mahakamani. Marekani wako sahihi.
 
Hahahahaa

Pompeo kawekewa vikwazo China Mainland,HongKong na Macau

Sasa angalia CCP officials wamewekewa wapi na wapi?DUNIA NZIMA!

I mean,DUNIA NZIMA!

Who's the boss?

huezi wekewa vikwazo dunia nzima, nchi nyingi ni soverign na haziendani na upuuzi wa Marekani! halafu waliowekewa vikwazo lit umeiona?
 
POMPEO ndo keshaamua KUANZIA LEO VIKWAZO VIMEANZA KWA MIITU YOOOTE ILIYOFANYA UCHAFUZI. sasa kama hutaki kashtaki unakojua ila marufuku ishetangazwa tuone sasa mtakula wapi hakuna ruzuku wala nini mamamaaa....eeee
 
Back
Top Bottom