Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Vipi JPM hakutajwa?
 
Mlamba makalio katika ubora wake
 

ahahaha daaah ndo maaana mko ufipa, edward snowden unamjua?
 
Kwa kawaida hizo makatazo ya visa huambatana na vikwazo vya uchumi.
Subiri kelele za shubiri ya hivi vikwazo.
 
These people have started being restless. Nobody mentioned Kaijage, why would he go public for something that doesn't concern him or is he responding on someone's behalf?
 
Jaji Kapaniki au siyo maana anajua Jina lake halikosekani hapo yeye, Mkewe na Watoto wake...na Wahaya wanavopenda Marekani huyu Lazima afe kwa Kihoro

Akili nyingine bwana!! Sasa hapo suala la Wahaya linaingia ingiaje?
 
Sidhani Kama una akili timamu
Uchumi wa mji wa Las Vegas ni mkubwa kuliko nchi zote za Afrika
Wewe unayejengewa matundu ya vyoo kwa hisani ya watu wa Marekani ndio
wa kuonewa wivu
Punguza ushamba
Wazungu wanataka kututawala Ndio maana inawaima kusikia tupo Uchumi wa kati
Wakiona midege hewani wanajisikia vibaya
Na kwa sasa jinsi maisha yalivyokua bora kwa kila mtanzania lazima waumie
Yaani kuanzia Wafanyabiashara. Wafanyakazi hata Wakulima maisha ni bam bam
Shule bure kuanzia msingi mpaka secondary
Huduma za afya bure
Zahanati kila kona
Yaani Tanzania ya Magufuli neema tupu
 
Watu waliokuzidi miaka 300 mbele wakoonee wivu ambae bado unategemea msaada wa kujengewa choo miaka 60 ya Uhuru watu wako wanakufa kwa kukosa 500 ya Panadol
 
Hivi vikwazo sijui vinaenda umbari gani kama mwenyekiti Ban inatakiwa iwalambe watoto na wajukuu,tena kama kuna wanaosoma USA rudisha huku wamekosa vigezo.Hapo kifungo ndo kitapendeza
 
Bwana Mahera na Bwana Kaijage hii ban inawahusu kwa vyovyote!
 
Mahakama za kutenda haki kwa wapinzani ziko wapi Tanzania hii kama hata na huyo jaji naye ni zao la hizo mahakama.

Kwenye kesi yoyote ambayo mpinzani anashitakiwa na serikali hukumu huamuliwa na rais na kusomwa na hakimu au jaji tuliona hata kwa kesi ya Sugu, Lema nk, mahakama ni za kisiasa tu ni Kangaroo Courts.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…