Vile ninavyohisi kuhusu member Mshana Jr

Ni mshauri mzuri pia....Yesu akutunze kaka Mshana Jr
 
Pm yake amezuia watu wasiende
 
Kwa mtazamo wako huenda upo sahihi, ingawa inawezakuwa sio kweli pia.

Sio rahisi kumjua mtu kupia machapisho yake humu jf, watu wanasiri nyingi sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tulio badilisha majina baada ya kufika mjini tujuane naanza mimi kijijini naitwa Marwa Mahende ila mjini naitwa Emmanuel John
Mimi kijijini wananiita Mpenzile Mwagwayenje Mwagwima Mgagagigikoko Nwabamayenza Ila town hapa naitwa Jophrey Joseph yaan ukifupisha unaniita JJ

Alafu uache kuanzisha uzi juu ya uzi anzisha uzi wako (nimeongea haya huku nimekushika shati)
 


Namfaham sana Mshana Jr, ila hajui mimi ndo....... Jamii forum raha sana.

Kaka Mshana upo? Mshana Jr
 
5. Ni mchawi
6. Roho mbaya
7. Msukule wa mbowe

Siku akiwa mwana CCM atapona kabisa
 
Nahisi ni mtu katili sana kwa maiti yaani kuna muda anazipiga makofi huku anafoka.[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…