Ni mshauri mzuri pia....Yesu akutunze kaka Mshana JrNAMKUBALI SANA MSHANA JR Mshana Jr KUNA KIPINDI NILIKWAMA SANA NIKAMCHEK ANICHEKIE JAPO KIBARUA. BILA SHIDA JAMAA ALINIOMBA CV NA AKAOMBA NIENDE TUONANE KIBAHA. ALIONESHA MOYO WA KUNISAIDIA KWA DHATI.
SIKUFANIKIWA KWENDA KWA SABABU NILIKUWA MBALI KWA WAKATI ULE, ILA NI MTU POA SANA. SIJUI KAMA ANAKUMBUKA HILI, ILA MIMI HUWA NAKUMBUKA SIKU ZOTE.
UBARIKIWE SANA NDUGU Mshana Jr
NB:MSIMSUMBUE NDUGU YETU PM MKADHANI ANAZO AJIRA.
Pm yake amezuia watu wasiendeNAMKUBALI SANA MSHANA JR Mshana Jr KUNA KIPINDI NILIKWAMA SANA NIKAMCHEK ANICHEKIE JAPO KIBARUA. BILA SHIDA JAMAA ALINIOMBA CV NA AKAOMBA NIENDE TUONANE KIBAHA. ALIONESHA MOYO WA KUNISAIDIA KWA DHATI.
SIKUFANIKIWA KWENDA KWA SABABU NILIKUWA MBALI KWA WAKATI ULE, ILA NI MTU POA SANA. SIJUI KAMA ANAKUMBUKA HILI, ILA MIMI HUWA NAKUMBUKA SIKU ZOTE.
UBARIKIWE SANA NDUGU Mshana Jr
NB:MSIMSUMBUE NDUGU YETU PM MKADHANI ANAZO AJIRA.
Na huyu kwenye avatar ndio wewe nilikuona kule selfikaHiyo number Moja sio unahisi,alishatumaga picha yake ndio yeye,Uzi wake wa selfika sijui
Sijawahi fungua Huo Uzi,haitakuwa na maana ya kuwa kwenye anonymous platform......my privacy matterNa huyu kwenye avatar ndio wewe nilikuona kule selfika
Okay nimekuelewa mkuuSijawahi fungua Huo Uzi,haitakuwa na maana ya kuwa kwenye anonymous platform......my privacy matter
Mimi kijijini wananiita Mpenzile Mwagwayenje Mwagwima Mgagagigikoko Nwabamayenza Ila town hapa naitwa Jophrey Joseph yaan ukifupisha unaniita JJTulio badilisha majina baada ya kufika mjini tujuane naanza mimi kijijini naitwa Marwa Mahende ila mjini naitwa Emmanuel John
1. Nahisi Mshana Jr ni huyo wa kwenye avatar.
2. Nahisi anafanya kazi ya kuhifadhi miili ya marehemu kwenye hospitali moja hapa mjini.
3. Nahisi ni mtu katili sana kwa maiti yaani kuna muda anazipiga makofi huku anafoka.
4. Sidhani kama panya wanakatiza karibu yake.
5. Ni mchawi1. Nahisi Mshana Jr ni huyo wa kwenye avatar.
2. Nahisi anafanya kazi ya kuhifadhi miili ya marehemu kwenye hospitali moja hapa mjini.
3. Nahisi ni mtu katili sana kwa maiti yaani kuna muda anazipiga makofi huku anafoka.
4. Sidhani kama panya wanakatiza karibu yake.
Dah!!! Ngoja nifunge bakuli langu😁Sijawahi fungua Huo Uzi,haitakuwa na maana ya kuwa kwenye anonymous platform......my privacy matter
Nahisi ni mtu katili sana kwa maiti yaani kuna muda anazipiga makofi huku anafoka.[emoji23]1. Nahisi Mshana Jr ni huyo wa kwenye avatar.
2. Nahisi anafanya kazi ya kuhifadhi miili ya marehemu kwenye hospitali moja hapa mjini.
3. Nahisi ni mtu katili sana kwa maiti yaani kuna muda anazipiga makofi huku anafoka.
4. Sidhani kama panya wanakatiza karibu yake.
[emoji419][emoji375][emoji1545][emoji173][emoji16][emoji16] nachojua ni Brother mmoja Poa sana [emoji1431]