BuhahahahaMimi kijijini wananiita Mpenzile Mwagwayenje Mwagwima Mgagagigikoko Nwabamayenza Ila town hapa naitwa Jophrey Joseph yaan ukifupisha unaniita JJ
Alafu uache kuanzisha uzi juu ya uzi anzisha uzi wako (nimeongea haya huku nimekushika shati)
Nimefurahi sana kumuona asee[emoji16][emoji16]...kumbe anakomenti toka April hukoo, mi nimeona leoNimecheka sana Witty!!![emoji28]
Naona jina ni lile lile..Ila ID kwa mwaka sio ule...sijui imekuwaje....
NB....The List naomba usisome hapa[emoji2]
Ha ha ha...Nimefurahi sana kumuona asee[emoji16][emoji16]...kumbe anakomenti toka April hukoo, mi nimeona leo
Mzee wa " wasted sperm[emoji16][emoji16]
Mtani nimeshakupa taarifa ya ugeni wako wiki hii [emoji23]Yuko poa tu
Ni jirani yangu hapa ila tunakimbiana...[emoji1787][emoji1787]
Kama kuna kitu naheshimu basi ni mwili usio na uhai tena! Maana hauwezi kupambana wala kujibu mapigo tofauti na mwili ulio haiAu nakosea mkuu?
[emoji1545][emoji1545][emoji419][emoji375]Mshana Jr mzungu wa roho, mtu smart sana
Maneno hayo π€£
Siku akiwa mwana CCM atapona kabisa[emoji2]5. Ni mchawi
6. Roho mbaya
7. Msukule wa mbowe
Siku akiwa mwana CCM atapona kabisa
Nakufahamu vizuri sana ila huwa tukionana tunajifanya hatufahamiani JF[emoji1544][emoji1549]Namfaham sana Mshana Jr, ila hajui mimi ndo....... Jamii forum raha sana.
Kaka Mshana upo? Mshana Jr
Trust me mtani sasa hivi location inasoma Kwamfipa hapaManeno hayo [emoji1787]
π³π³π³ ukigoma kuingia kwenye jokofu unafanyaje?Kama kuna kitu naheshimu basi ni mwili usio na uhai tena! Maana hauwezi kupambana wala kujibu mapigo tofauti na mwili ulio hai
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna namna ya kuongea nao kwa upole na kwa heshima wanasikia na wanatiiπ³π³π³ ukigoma kuingia kwenye jokofu unafanyaje?
ππππKuna namna ya kuongea nao kwa upole na kwa heshima wanasikia na wanatii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr ngoja tutafute kigagula kutoka Nigeria akuroge uipende CCM, na utakuwa shabiki kindakindaki. Wewe subiri tu, nianzishe campaign ya kuchangia hela kwa ajili ya kugaharamia mganga toka Nigeria kwa ajili ya kukurogaSiku akiwa mwana CCM atapona kabisa[emoji2]
Over my dead carcas [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha .. Niliikacha CCM mwaka 1984 wakati wa vita ya uhujumu uchumi na sijawahi kurudi huko mpaka leo hii nazeekaMshana Jr ngoja tutafute kigagula kutoka Nigeria akuroge uipende CCM, na utakuwa shabiki kindakindaki. Wewe subiri tu, nianzishe campaign ya kuchangia hela kwa ajili ya kugaharamia mganga toka Nigeria kwa ajili ya kukuroga
Kumbe Mshana Jr ni kibabu, ngoja tukuongezee sifa zako mbaya β Mshana Jr ni kibabu, kikongwe, chawi la wa chawi β ila ukihamia CCM tuhuma zote za uchawi zitafutwaHa ha ha ha .. Niliikacha CCM mwaka 1984 wakati wa vita ya uhujumu uchumi na sijawahi kurudi huko mpaka leo hii nazeeka
Sent using Jamii Forums mobile app