Vilevyi gani havitoi harufu kinywani baada ya kunywa

Vilevyi gani havitoi harufu kinywani baada ya kunywa

Kwema wakuu

Napenda kunywa bia Ila sasa zinanipa tabu baada ya kunywa kuna harufu inabaki mdomoni na kila nikiongea na mtu ananiuliza vipi Leo umekunywa pombe..

Nikaamia kwenye nyagi nako ni vile vile mtu akiwa karibu yako harufu yote anaipata ya nyagi

Nikaona isiwe ishu ngoja niweke kambi kwenye dompo huko ndo hapafai kabisa harufu inatema sana..

Niko katika jamii ambayo hawatumii vilevyi vya aina yoyote ile hivyo nataka nisiwe tabu kwa watu wengine

Naomba kujuzwa ni kilevi gani naweza kutumia bila harufu yake kubaki kinywani...

Nawasilisha kwenu wakuu wenu mtiifu katika ujenzi wa viwanda
Aisee kaka mimi ni mpenzi sana wa The Castle lager toka nijue bia nayo ina harufu ukinywa nyingi but ukinywa 1-5 harufu hutosikia.Ila Dry Savanna ni habari nyingine unaweza ukanywa kumi na ukaenda kufanya usaili na mtu hasikusome kabisa!Kunywa savanna unapokuwa na mkutano na watu wa muhimu harufu sahau
 
Heineken na Windhoek ndo pombe zisizokuwa na harufu sana!
 
Ndizi noma ukiwa umekunywa, inapeleka mapigo ya moyo mbio.

Pombe zisizo na harufu ni whiskey zinazozalishwa ulaya uko like Teachers, hii haiachi harufu kabsa, unaweza ukanywa harafu ukaenda mtafuna mtoto wa kirokole bila ya kukufaham kama umepombeka
 
Pata Smirnoff Black ice.

Ila mdogo mdogo... Ni tamu so unaweza kufakamia mwisho wa siku ukaita maji - 'mma'
hhaha naiheshimu sana hii kitu !sema tamuuu !sasa wewe gonga had 7 uone habari yake
 
Back
Top Bottom