Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Nilisha fanya toba na nikamuomba msamaha...😪Ulimdanganya dada wa watu nini😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisha fanya toba na nikamuomba msamaha...😪Ulimdanganya dada wa watu nini😃😃
Ohooo Hallelujah...ni hatua nzuri umeifanyaNilisha fanya toba na nikamuomba msamaha...😪
kalock pmSasa mkuu mtandaoni huku unaogopa za uso je mtaani kwako si unawakimbia kabisa, hebu jikaze mpe ya moyoni mwanaume inatakiwa uwe na ujasili.
Ndugu wa mume nipo hapaWengine tunaingia kwenye ndoa sasa, kwa hii hii Jf
Kama nakuona ndugu yangu siku hiyo unavyotamba, umepata wifi mtulivu sio kivuruge kama yule kisebengo[emoji23]Ndugu wa mume nipo hapa
Ewaaaaaa......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chizi wewe
Acha kabisa wifi kama wifi yule kivuruge angevuruga familia hafaiKama nakuona ndugu yangu siku hiyo unavyotamba, umepata wifi mtulivu sio kivuruge kama yule kisebengo[emoji23]
HahahhahahaEwaaaaaa......
Karogwa tena![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chizi wewe
Chawa wangu kwenye ubora wako kabisa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siwaelewi nyie watuu!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Ewaaaaaa......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chizi wewe
😀We peperusha tu ndege wangu.
Kwakweli nawe uumize kichwa mi sikuambii kitu, mwenyewe nilihangaika sana hadi kifua kilibana kwa kukaa na maneno sina pa kuyaongelea.....😁Siwaelewi nyie watuu!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Niling'amua mapema saana hilo, nikaona huyu nyama huyu, atasumbua mtima wangu nami sijaumbwa nije kupata tabu kisa mapenzi.. [emoji57] Nikapiga kidochi cha juma nature.. (sio necha we isome, na tu re) [emoji23]Acha kabisa wifi kama wifi yule kivuruge angevuruga familia hafai
Kisebengo yupo humu humu?Kama nakuona ndugu yangu siku hiyo unavyotamba, umepata wifi mtulivu sio kivuruge kama yule kisebengo[emoji23]
Hahahahha
Hapana, hayupo humu.Kisebengo yupo humu humu?
Yule maka hapana nikikumbuka ile siku sitasahau halafu usiku ghafla tu anapayukaNiling'amua mapema saana hilo, nikaona huyu nyama huyu, atasumbua mtima wangu nami sijaumbwa nije kupata tabu kisa mapenzi.. [emoji57] Nikapiga kidochi cha juma nature.. (sio necha we isome, na tu re) [emoji23]
Sidhani kama yupo humuKisebengo yupo humu humu?
Nilikua nateseka hujui tu yani nahangaika utadhani nalipwa 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Halafu mara ya kwanza unauliza nikakupotezea ya pili umeshindwa kuvumilia