Vineno vidogo vya Kiingereza vinavyosumbua baadhi ya wazungumzaji

Steal, still, steel usiombe ukakutana na hayo maneno ktk ripoti (report) kama umesimama utaanguka
 
kwenye vijiwe vya football, liko neno ambalo hata watu linawasumbua. Defence and defend.Mfano: Timu ya Costa Rica inaji 'defence' zaidi.
Jitu lingine atasikia commentator anasema ''ten minutes to go'' ye anakuambia ''ten minutes ago'' akimaanisha zimebaki dk 10 gemu liishe
 
means standard of professional or group of professional
 
Namshukuru sana mzee wangu,nikiwa darasa la kwanza aliniambia penda kusoma magazeti ya kiingereza,tv angalia habari za kiingereza.leo hii pamoja na kuanza na kumalizia kayumba naburuza sana,na mpaka leo bado naendelea kusoma na kufanya mazoezi.namshukuru sana babaangu
 
Kiswahili msaada kati ya Mda/muda, Asubui/asubuhi, taarifa ya habari/taaarifa/habari, mwisho wa siku/hatimaye,...........
 
Kuna watu Tanzania hii hata lugha yao ya Taifa hawajuwi wapi waweke R na wapi waweke L, wewe unaona ajabu hiyo lugha ya kigeni?

Mkuu hujakosea hilo nalo janga maana kwenye h na a, gh na g mfano (hapendi anaandika apendi, magharibi anandika magaribi, mangaribi) akipatia spelling matamshi tabu.
 

Hivi huwa ni bangeee, ushamba au ni nini?
Wabongo kwa presentation si mchezo waambie watekeleze, mweee!
 
Mkuu hujakosea hilo nalo janga maana kwenye h na a, gh na g mfano (hapendi anaandika apendi, magharibi anandika magaribi, mangaribi) akipatia spelling matamshi tabu.

Ni kweli hata fridge wanaandika "frdge", mpaka maneno mengine hayasomeki!
 
kumbe kitu cha msingi ni angalau kusoma mara kwa mara zile kwa kiswahili tunaita NAFSI na kuzielewa maana hizo ndio tatizo kubwa....utakuta pahala pa kuwekanafsi ya kwanza umoja mtu anaweka nafsi ya tatu uwingi.... hili ni tatizo... na kama kuna walimu basi wawakazanie watoto haya mambo vizuri
Tatizo hata walimu wengi wa somo la kiingereza nao ni tatizo..
 


Haswaa! Wawe wanaanza sentensi japo kwa herufi kubwa na waachage nafasi kati ya neno na neno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…