Hii kweli kabisawazazi wengi tunapenda kuwa nunulia watoto midori ya ya kucheza mara nyingi inapatikana kwenye masoko ya mitumba.
huko ilipotoka imebeba mambo mengi na inaweza kuwa imetumika kichawi kabisa.
kuna visa vingi japo vinapuuziwa kuhusu haya mamidori ila inawezekana vikawa kweli.
Ulipo Ishia Ndio Ulipaswa Uanzie Hapowazazi wengi tunapenda kuwa nunulia watoto midori ya ya kucheza mara nyingi inapatikana kwenye masoko ya mitumba.
huko ilipotoka imebeba mambo mengi na inaweza kuwa imetumika kichawi kabisa.
kuna visa vingi japo vinapuuziwa kuhusu haya mamidori ila inawezekana vikawa kweli.
Mkuu, Huyo alifanyaje kwani?
Ulaya hamna uchawi mkuu acha kutushika masikio
Ulaya hamna uchawi mkuu acha kutushika masikio
Thread 'Vinyago/midoli vina roho' Vinyago/midoli vina rohowazazi wengi tunapenda kuwa nunulia watoto midori ya ya kucheza mara nyingi inapatikana kwenye masoko ya mitumba.
huko ilipotoka imebeba mambo mengi na inaweza kuwa imetumika kichawi kabisa.
kuna visa vingi japo vinapuuziwa kuhusu haya mamidori ila inawezekana vikawa kweli.
Kwani ni nani anayeifikisha hapo nyumbani kwako halafu wewe unaichoma moto?Mbona ipo wazi kitambo tu, wengi hawana elimu kuhusu ulimwengu usioonekana unavyoathiri maisha yao. Midori sio ya kuweka kabisa nyumbani. Mimi huwa nachoma moto.
Uchawi upo duniani nzima sema afrika unaonekana zaidi kwa sababu waafrika wanafanya uchawi duni uchawi wa kimasikini black magic kumroga jirani yako kisa anakula nyama,au watoto wake wasisome.Ulaya hamna uchawi mkuu acha kutushika masikio
Member yeyeto wa familia asiyejua nini kilochomo nyuma ya mdoriKwani ni nani anayeifikisha hapo nyumbani kwako halafu wewe unaichoma moto?
Weka mifano hai basi.wazazi wengi tunapenda kuwa nunulia watoto midori ya ya kucheza mara nyingi inapatikana kwenye masoko ya mitumba.
huko ilipotoka imebeba mambo mengi na inaweza kuwa imetumika kichawi kabisa.
kuna visa vingi japo vinapuuziwa kuhusu haya mamidori ila inawezekana vikawa kweli.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sisi wenyewe bado hatujamalizana jamaa amewahi tu kurukia ulaya.Tupunguze imani za kishirikina ndugu zangu, baada ya kuchoka kushikana uchawi sisi kwa sisi sasa tumehamia Ulaya.!