Vioja vya pombe kukolea kichwani, ngono zembe na ujasiri fake

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahahahaa..wee noma, kuna clip ilisambaa ya mwamba alikua anakojoa seblen kwenye home party watu wamejaa wanamshangaa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚
 
Hakunaga urafiki kati ya ke/me ni km kutembelea mua ipo siku utakate ule
Lakini wewe mroho sana...ukamnyang'anya bonge 50k yote bila kumrudishia hata fungu la kumi??πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23] hapo ndo ukaona bora wa swazi wenzako kibao ma hb tu umewaacha

Wa uswazi ndio sitaki hata wanizoee wasumbufu wanataka wakumiliki halafu mifuko imetoboka [emoji1787][emoji1787] kugawana elfu 10 sitaki na kushindia miguu ya kuku na chips za jero nehi
 
Lakini wewe mroho sana...ukamnyang'anya bonge 50k yote bila kumrudishia hata fungu la kumi??πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Afu ata busu kamnyima
 
Lakini wewe mroho sana...ukamnyang'anya bonge 50k yote bila kumrudishia hata fungu la kumi??[emoji23]

Sauti ya radi anatisha mweusi km usiku wa balaa sema pesa nilikuwa naichukua uku naogopa!! [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…