Vioja vya pombe kukolea kichwani, ngono zembe na ujasiri fake

Vioja vya pombe kukolea kichwani, ngono zembe na ujasiri fake

De Professor

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2021
Posts
237
Reaction score
505
Wakuu, bila kupoteza wakati kuna haka ka kitu kanaitwa Mtungi, ama wanasema Bia tamu, Japo kiukweli mimi sijawah onja, ukiachilia mbali imani ya dini, ila kuna vioja ambavyo vinafanya Pombe niingalie tu.
Kama unakumbuka kioja chochote kilichotokea kwako au kwa jamaa aliekua tungi emu kishushe hapa.

1.Mimi, Nakumbuka kuna Manzi wakati naanza ujana nilivusha Manzi alikua ametokea kwenye sherehe kumbe alikunywa zile wisk za gharama ilikua ni hafla ya wakubwa, sasa yeye muda ule anafakamia kichwani haisikii kumbe ile muda unavyoenda ndo inakolea kichwani, Manzi kufika gheto yupo bwii, akaenda kuoga hapo mi najaindaa na show namfata bafuni namkuta kalala kwenye sink 😄, nilimtoa nikamuogesha nikamlaza sikula mbususu japo nilishindana sana na kichwa ya chini, Asubuhi anashtuka yupo uchi na akajua sikumgusa alinipenda yule mpake kesho maana aliona ni jamaa Gentle siri kwa kubaka.

Kisa cha pili
Bro wangu, hapo ndo nilijua sisi hatuna kichwa cha kunywa pombe kuna siku akajimix akapiga ulabu, alirudi home kajikojolea akataka kulala seblen, afu badala ya kwenda kwake anapoishi akaenda home kabisa kule kuna Bi mkubwa na sister, nasikia sister ndo alimpekela room, akamuacha vile vile badae pombe inaisha anajikuta home kitanda na nguo zinanuka mkojo.
Hii stor hataki kabisa kuizungumzia wala kumkumbushia.

3.Kuna stor kibao wana tukiwa tunasimliana unasikia jamaa baada ya kulewa alianzisha ugomvi...mwingine baada ya kulewa akatongoza mke wa mtu, basi ni balaa tupu, ila kubwa kuliko ni wale wa kuanzisha ugomvi huku hawawezi mikiki, na wale wa kwenda kulala na manzi bila kujali Afya, hizi sijashuhudia kwa macho yangu ila najua watu mnazo
 
Kiukweli mm pombe kali sjui k vant sjui konyagi staki kuziskia nakunywa lite zangu 4 au 5 naenjoy hzo pombe kali kitu kilichonifanyia staki kukumbuka kbsa
Hahaha emu tupe tupe kisa, hiyo ndo tunataka kusikia.
Yule manzi angu alikua hivyo hivyo hanywi sana pombe kali, hiyo siku alialikwa na rafiki aki Don ivi walikua na part, so kule ata vinywaji vingi vilikua vile classic akabugia
 
Wakuu, bila kupoteza wakati kuna haka ka kitu kanaitwa Mtungi, ama wanasema Bia tamu, Japo kiukweli mimi sijawah onja, ukiachilia mbali imani ya dini, ila kuna vioja ambavyo vinafanya Pombe niingalie tu.
Kama unakumbuka kioja chochote kilichotokea kwako au kwa jamaa aliekua tungi emu kishushe hapa.

1.Mimi, Nakumbuka kuna Manzi wakati naanza ujana nilivusha Manzi alikua ametokea kwenye sherehe kumbe alikunywa zile wisk za gharama ilikua ni hafla ya wakubwa, sasa yeye muda ule anafakamia kichwani haisikii kumbe ile muda unavyoenda ndo inakolea kichwani, Manzi kufika gheto yupo bwii, akaenda kuoga hapo mi najaindaa na show namfata bafuni namkuta kalala kwenye sink 😄, nilimtoa nikamuogesha nikamlaza sikula mbususu japo nilishindana sana na kichwa ya chini, Asubuhi anashtuka yupo uchi na akajua sikumgusa alinipenda yule mpake kesho maana aliona ni jamaa Gentle siri kwa kubaka.

Kisa cha pili
Bro wangu, hapo ndo nilijua sisi hatuna kichwa cha kunywa pombe kuna siku akajimix akapiga ulabu, alirudi home kajikojolea akataka kulala seblen, afu badala ya kwenda kwake anapoishi akaenda home kabisa kule kuna Bi mkubwa na sister, nasikia sister ndo alimpekela room, akamuacha vile vile badae pombe inaisha anajikuta home kitanda na nguo zinanuka mkojo.
Hii stor hataki kabisa kuizungumzia wala kumkumbushia.

3.Kuna stor kibao wana tukiwa tunasimliana unasikia jamaa baada ya kulewa alianzisha ugomvi...mwingine baada ya kulewa akatongoza mke wa mtu, basi ni balaa tupu, ila kubwa kuliko ni wale wa kuanzisha ugomvi huku hawawezi mikiki, na wale wa kwenda kulala na manzi bila kujali Afya, hizi sijashuhudia kwa macho yangu ila najua watu mnazo
Pombe siyo chai

Kuna mwaka huko nyuma traffic police mmoja alizidisha gauge, aliopoa binti akafanya yake, asubuhi anazinduliwa akiwa amevaa zana kidoleni na kofia ya kazi iliokotwa njiani alikoiangusha usiku
 
Nakumbuka niko na wanangu mshkaji mmoja akasema nakuja naend kugonga malaya kidog alivyo rudi akawa ananisimulia kuwa wakat nagonga nikawa sikojoi nikamwambia demu anipe kavu malaya akakubali alivyokubali nikamuongezea na hela.
Kwa kweli japo sijagonga mm ila niliumia sana na kumlaumu mshkaj kwa kufanya ujinga kwa kweli pombe kali miyeyusho
 
Nililikata jibapa, tena dry, yule mhudumu akaja kuniuliza "kaka nikuongeze nyingine"? Nilimwambia tu pumbavu! we unafikiri ni chai ya maziwa hii?! Baada ya hapo nakumbuka tu nilijikuta nipo naye chumbani nampa mikito ya hatari pembeni yangu kuna chupa tatu za maji ya kunywa makubwa na saint Anne moja kwaajili yake. Ila sura yake ilikuwa ni ngumu kiasi kwamba kama sio kilevi nisingethubutu kum**mba yule chuda
 
Nakumbuka niko na wanangu mshkaji mmoja akasema nakuja naend kugonga malaya kidog alivyo rudi akawa ananisimulia kuwa wakat nagonga nikawa sikojoi nikamwambia demu anipe kavu malaya akakubali alivyokubali nikamuongezea na hela.
Kwa kweli japo sijagonga mm ila niliumia sana na kumlaumu mshkaj kwa kufanya ujinga kwa kweli pombe kali miyeyusho
Hapo kesho yake ndo akili inawaka hajaingia kwenye grid kweli, nahisi ndomaana walevi wengi ata umwambie nini hakubali kupima
 
Nililikata jibapa, tena dry, yule mhudumu akaja kuniuliza "kaka nikuongeze nyingine"? Nilimwambia tu pumbavu! we unafikiri ni chai ya maziwa hii?! Baada ya hapo nakumbuka tu nilijikuta nipo naye chumbani nampa mikito ya hatari pembeni yangu kuna chupa tatu za maji ya kunywa makubwa na saint Anne moja kwaajili yake. Ila sura yake ilikuwa ni ngumu kiasi kwamba kama sio kilevi nisingethubutu kum**mba yule chuda
😂😂😂😂😂😂
 
Mimi na akili zangu hizi nikinywa pombe natafuta ugomvi, yaani dk sifuri naanzisha ambushi la maana na nikiwa na mpenzi wangu kwa bed najituma km shangingi la magomeni [emoji1787]
Ivi kuna ukweli kwamba pombe inaongeza nyege au sio ni vile tu unakua huna haya so unafanya chochote unachopenda
 
Inaongeza kujiamini ata km mzigo mkubwa unaona kawaida tu haunitishi, unapiga hadi shilingi inazama meli inaelea ukisindikiza na paka chongo [emoji41]
😂😂😂😂 umeniongezea neno hapa, ivi huwa wadada mnaogopa jamaa akiwa na mzigo mkubwa?
Maana mnachanganya hampendi kibamia na hapo hapo kuna manzi nilikua napanga nae match akaanza kuulizia kama unayokubwa mi hamna 😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeniongezea neno hapa, ivi huwa wadada mnaogopa jamaa akiwa na mzigo mkubwa?
Maana mnachanganya hampendi kibamia na hapo hapo kuna manzi nilikua napanga nae match akaanza kuulizia kama unayokubwa mi hamna [emoji23][emoji23]

Duniani tunaogopa kaburi tu! Ebu acha kunichimba nitakosa mume bure [emoji1787]
 
Back
Top Bottom