Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

Yuko na mama yake huko anakopiga job (as no uhamisho) ana 2.6 yrs siku mbili mfululizo kagoma kila kitu anataka amwone baba...nikipiga simu analia tu na kusema njoo huku haraka, niletee mkoba na peni!!!!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mtafute huyo mtoto ndugu yangu..

Hakuna raha kama kucheza na kuwa rafiki wa watoto wako..

Mnawakosea haki sana watoto nyinyi watelekezaji.
 
Ana miezi 5 yeye hata akiwa analia jifanye unaongea na simu ananyamaza kusikiliza maongezi ukiacha tuu anashusha kilio....anapenda sana kusikiliza maongezi ya simu hata kama anasinzia ataamka
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Wakwangu anamiaka 4 juzi kaniuliza baba nani kamzaa shetani
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji14]
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
aise watoto ni raha sana.uyu wakwangu mdogo mwenye mwaka 1na miezi 8 sitaki kabisa akue kwa vituko anavyonipa.yaani ningekua na uwezo wakuzuia ujuaji wake ningefanya ivyo kwa kweli.yeye katuni anaita kukuti na anakatuni yake moja anataka iyo iyo iwekwe siku nzima.ukibadilisha tu vi ugomvi.akishasema kukuti kuwe na umeme kusiwe yeye ilo hajui ata taarifa ya habari imekua shida kuangalia.ila sasa hivi nimemuweza,nimemtafutia mtumba wa laptop kupunguza kelele.
 
watoto ni faraja sana wangu ana 1.5 analipenda lile tangazo la cocacola hata akiwa mbali vp akisikia tu anakuja.. Anavoitamka cocacola ss... Ndo kichekesho
Wa kwangu ameanza kulipenda ilo tangazo akiwa na miezi mitano hata kama ungekua analia likianza anajipa break ya kulitizama likiisha anaanza upya na program yake ya kulia ila mpaka Leo ana 1.1year still analipenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…