Mm nipo na mwanangu Wa 4.5 yrs ni shida hataki nimguse mama yake
Sasa cku moja nkajua kuwa ameshalala nkaanza kujilia vyangu na Mamake kumbe asimama atuangali mzee niliona aibu sana
Nkaanza kymkomalia alale mwenyw ila kuna wakat anaaigilizia sauti ya kelele za mama yake nkiwa nambandua
Sent using Jamii Forums mobile app
Muombee ulinzi wa MunguMimi wa kwangu ni Anamika 2 Sasa huyu mtoto amejua kuhesabu 1..10 kwa kiswahili na kingereza tangu akiwa na mwaka 1.2 na hakuna day care Wala shule yoyote alio enda zaidi ya mama take.
Huyu mtoto mkifika ugenini Basi akitulia zake anaanza kuhesabu ile serious na kwa sauti Hadi watu wanashangaa kwa umri wake imewezekanaje Hadi Kuna siku babu yake akajisifia eti mtoto kachukua akili zake na katika wajukuu ametokea kumpenda haswa.
Dogo janja anaendeleaje sasaMi wangu aliona utabiri wa hali ya hewa kwamba mji tuliopo kesho utakuwa na mvua kesho yake ilipofika asubuhi ananiambia mama ule utabiri unadanganya mbona hakuna mvua wakati jana walisema kutakuwa na mvua.
Ikabidi nimwambie mji mkubwa huu hivyo mvua haiwezi kunyesha mji mzima kwa wakati mmoja.
Hajambo kabisa.Dogo janja anaendeleaje sasa
Mungu awabarikiHajambo kabisa.
ππ π€Mungu awabariki
That's a very smart kid.1.8 anaijua simu ya mama yake na simu zangu na hataki niguse si ya mama ake ama mama yake kugusa simu yangu lah sivyo hua anakua mtata sana mpaka umuamuru akupe kwa rudhaa yake' , anajua ela kuanzia 200 kua ni ndogo na elfu kumi ni kubwa pia anaijua wallet yangu vilivyo na hua nikifika anaichukua na kuihifadhi na ikitokea safari ya dukani ama mama yake anaenda dukani hua anaitoa na kutoa elfu 10 na yeye akijichukulia 500 ama 200 ya coin na akirudi lazima adai change: akiwa macho hataki mtu yeyote kumgusa mama ake hata mm, anajua chombo kichafu na mkimaloza kula yeye ndio hutoa vyombo ikatokea umevigusa hapo ni kazi mpya ya kum'bembeleza" hapendi katuni ni muvee haswa za magari na pikipiki anajua vitu vingi kiasi kwamba namshangaa sana sana tofauti na watoto wengine ninao wa fahamu
Huyu anafanana kama mimi nilivyo muda huu!4.Kupenda safari akiona mtu anatoka tu anaanza kuaga bye bye akijua nayeye anahusika na safari[emoji23] [emoji23]
Kama siyo waumini wa dini, huyu wa kukaa macho usiku na kulala mchana mnatakiwa mumubadilishe jina. Anatakiwa kupewa jina la mtu mwingine, especially kama amechukua jina kutoka ukoo wa mama, mnatakiwa mmbadilishe mmpe jina kutoka ukoo wa Baba.Mi wa kwangu balaa natamani akue kidogo labda nitapata zuri la kueleza, leo ni wiki ya tatu sijalala nakesha, dogo analala mchana wakati mimi nipo job, usiku halali na akilala mikononi ukimuweka kitandani tuu yani kabla hata hujakiacha kitanda kishaamka na kelele nyingi, kingine asee usikae karibu na mamaake ugomvi wake c mdogo atalia hapo hadi utashangaa, kingine tangu wiki iliyopita hajacheka sijui ndo kutabasamu hakuna. Ana miezi 4. Hataki kulazwa kama watoto wengine anapokuwa macho, yeye anataka kukaa na anakaa...huyo ni mdogo, kakayake yeye anapenda ngumi, anajua bunduki zote kwa majina, hili nimejaribu kumuonya mamayake asiwe akimuwekea movie za mapigano zaidi ya cartoon lakini sijui huyu kijana anajifunzia wapi maana hakawii kukwambia anataka awe mwanajeshi sababu hapendi majambazi, huyo Ana miaka mi 4, anajua kikorea, kajifunza wapi mi sijui...ila ana shida moja anapenda tambi tuu, vyakula vingine kula mpaka mpigizane kelele sana na husingizia anataka kukojoa akienda harudi..ana huruma sana na mamayake, mjanja mjanja sana ukikasiririka atajua jinsi ya kukufanya ucheke tuu, shida usimuache na mdogo wake peke yao, unaweza kuta mtoto analishwa ugali.
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Wa kwangu ana miaka 3, kuna siku nimetoka safari nimekaa sebuleni akanifata na kuniuliza "baba leo unalala na mkeo?"
Siku ingine naongea nae kwenye Simu nikamtia mkwara ili ale chakula nae akanambia " baba ntakufumua" Daaaahh nkaona sasa hapa ipo haja ya kununua bunduki mapema.
Ikitokea akaona nimemshika mkono tu mama ake anakasirika sana na kwakua anajua mi haniwezi inabidi aanze kumpiga mama ake ili atoke hapo nilipo (Huyu jamaa anajionaga kama ye ndo ana hati miliki kwa mama ake)
Watoto ni raha sana, wana mambo yao ambayo ni ya kushangaza na kufurahisha kwa pamoja.
Hasa watoto wa kiume[emoji16][emoji16][emoji1787]Huyo ana dalili za wivu kama mwanangu , hata akiwa anacheza bize kiasi gani ukimkumbatia mama yake dogo anakuja mbio mbio anataka mama yake ambebe[emoji23] [emoji23]
khaaaa hii balaaaWakwangu anamiaka 4 juzi kaniuliza baba nani kamzaa shetani